Kwanini maonyesho mazingaombwe yaliacha kuonyeshwa shuleni na nchini?

Hiyo ndio maana ya magic, huwezi kujua kila trick inabidi ibaki inakufikirisha, ukielewa magic tricks katika hali ya kawaida inakuwa sio tena mazingaombwe. Hapa inawezekana aliwaaminisha anachotafuna ni chupa wakati ni kitu kingine kabisa, inawezekana ni chupa kweli ila namna ya utafunaji na umezaji wake ndio haimletei madhara.
 
Sio kila mazingaombwe yapo YouTube, pia mazingaombwe live yana ladha na tofauti kubwa sana na yaliyorekodiwa YouTube. Halafu watoto gani wana muda wa kuangalia YouTube??
 
Yamehamia American talents
 
Siku hizi vijàna wà Mwamposa wako kila màhali wàkiingia na mafuta ya upako mwànamazingaombwe anakimbia, hii niliiona morogoro pale masika stand ya zamani jamaa alitaka kufanya mazingaombwe akaja mzee na upako akamwaga mfanya mazingaombwe akajitia kimtisha halafu àkala kona.
Hii niliona kweli maana mwana mazingaombwe alikuwa kakusanya watu anafanya viini macho watu wakaanza kununua zile sijui dawa ndo mzee wa upako akatokea kila kitu kikaharibika.
Nilishangaa sana kumbe zile roho ni kinzani sana.
Cc Mshana Jr
 
Wanamazingaombwe wa kweli hawafanyi hizo biashara za kuuza dawa, hao ni matapeli.
 
Sio kila mazingaombwe yapo YouTube, pia mazingaombwe live yana ladha na tofauti kubwa sana na yaliyorekodiwa YouTube. Halafu watoto gani wana muda wa kuangalia YouTube??
Mazingaombwe ni trickery and to be tricked you must not know what is happening tofauti na sasa its just a fingertip away kujua ni nini kinafanyika....

Mbili entertainment zimekuwa nyingi za kumwaga there is more choice ndio maana nikasema tangia mwanzo unahitaji kuwa performer unless otherwise utakuwa unafanya maonyesho audience ikiwa kuta with no one in sight

By the way hapa kusema youtube inamaanisha information (dunia ya leo hakuna information ambayo haipo its widely available na watoto with their keen mind of finding out things usishangae wanakwambia rabbit yupo wapi hata kabla haujamtoa from the Bag....
 
Dah!....yamepotea kabisa nyakati hizi.

Kina Kababayee enzi hizo walitisha..
 
Mazingaombwe ilikuwa burudani tosha aisee. Siku moja mwanamazingaombwe alivunja saa na kutupa vipande chooni kisha akafanya mambo yake saa ikarudi ikiwa nzima kabisa na mkanda wake. Pia alikatakata majani ya mpera na kisha kuyageuza kuwa noti. Siku hiyo tuliburudika sana.
 
Taratibu za kitaalam za kuendesha education institution kwa Tanzania ni kama hakuna. Kwa mfano shule ni lazima iwe na viwanja, maabara, library, michezo, debate, etc. CCM kwa sababu ya uzuzu wao walifanya shule iwe ni sehemu yoyote ambayo wanafunzi wanakaa na kukariri ili kujibu maswali ya mitihani.
 
Umenikumbusha shule shikizi mkuu!🤣,
Hakika kwa bongo "shule ni sehemu yoyote ambayo wanafunzi wanakaa na kukariri kujibu maswali ya mitihani", ila shule ilipaswa uwe kituo cha kulea na kukuza vipaji na ubunifu.
 
Labda ubora wao mdogo au mambo ya kidini pia watu wengine wanaona ni kama uchawi tu.
Ni issue ya kidini
Niliwaruhusu wanangu waende waumini walimaind sana.
Nikawaambia huyo Yesu namjua sana kuliko wanavyomjua.
Hata chakula cha sadaka ya miungu ni dhambi lakini kwa wenye Imani kubwa wanaruhusiwa kula alisema mtume Paul
 
Kweli kabisa mkuu. CCM imegeuza shule kuwa sehemu za kupigia siasa uchwara. Lengo la elimu ya nchi hii sio kupata maarifa bali ni kukariri na kufaulu vizuri mitihani. Hapa ndipo hawa wapuuzi walipoifikisha elimu ya nchi hii.i inasikitisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…