Kwanini Mapadre wakimya, wastaarabu, wanyenyekevu na wenye subira? Kwanini huwezi kuta wanaropoka au kubishana hovyo vijiweni au vichochoroni?

Kwa yale maisha yao ya Seminarini, ni ngumu sana kuwa na tabia ya kupiga kelele hovyo au kushinda kwenye vijiwe vya kahawa.
 
Elimu inawasaidia sana wale jamaa. Sio kama sisi makanjanja tu ataka kutumia sehwmu ya ulaji na kuneemesha matumbo yetu. Lazima utakua muongeaji tu kulainisha mambo
 
Mda wote wanatafakari ni kwa nini hawaruhusiwi kuoa. Na ni kwa nini walikubali.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Sababu ninini? Elimu? Makuzi? Desturi? Mazoea?
Kwanini wengineo japo baadhi wapo tofauti? Tunabishana nao mitaa, tunagombana nao barabarani?

Tafakuri ya kina kwa wenye hekima

Kanisa moja takatifu la Mitume
Wewe unafikiria nini,ili utusaidie kukupa majibu sahihi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…