Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Kubishsana na kuropoka hovyo ni tabia ya jamii za watu wa pwani.Wadau hamjamboni nyote?
Sababu ninini? Elimu? Makuzi? Desturi? Mazoea?
Kwanini wengineo japo baadhi wapo tofauti? Tunabishana nao mitaa, tunagombana nao barabarani?
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Kanisa moja takatifu la Mitume
Daktari sule (PhD) katoka kuwaita wanaosubiri mwaka mpya saa sita usiku mabwegeh 🤣🤣Kwani sheikh mazinge na dokta sule wao wanasemaje ? Maana nao ni viongozi wa dini
Wewe unafikiria nini,ili utusaidie kukupa majibu sahihi?Wadau hamjamboni nyote?
Sababu ninini? Elimu? Makuzi? Desturi? Mazoea?
Kwanini wengineo japo baadhi wapo tofauti? Tunabishana nao mitaa, tunagombana nao barabarani?
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Kanisa moja takatifu la Mitume