Atakufa tu nampa muda tena hakawii huu mwaka Israel anang'oa magugu😎Huyu jamaa ndio kwanza yupo kwenye 50s 😃
Kwa sasa Tanganyika kuna Rostam na Makonda.. Naomba niishie hapo...!!!Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Ila kweli ujueUsikute huyu jamaa ndio mwenye hii nchi🤔 sisi ni wapangaji wake
Anakuja kupewa kisiwaHatariiii Sana halafu yupo Vatican
Kuna kitu sio bure
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwahyo mkuu Unamaanisha katumwa na Kikwete 😅😅Mleta mada hebu soma hapa kwanza
View: https://twitter.com/eastafricatv/status/1757008821107454017?t=cDt3-UV9RG50nwpbG6cpHA&s=19
Kwan kunashida gani akiwa mtu yake yà mkono 🐒Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Mburushi wa Iran huyo. Sema waarabu wa Igunga, Bukene, ukenyenge wanakijua kisukuma na walishaassimilate. Sema ni ili malengo yao ya kibiashara yatimie.Rostam ni msukuma wa igunga.
Wewe nawe buanaRostam Aziz aliwanunulia Vyombo vya muziki Kwaya ya KKKT Kinondoni 😂
Huyu aliweka hela kwa hao watu wawili mmojawapo abebe nchi ila mwalimu akachana mkeka wakeKwahyo mkuu Unamaanisha katumwa na Kikwete 😅😅