MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
KKKT kwenye hela hawachomoiRostam Aziz aliwanunulia Vyombo vya muziki Kwaya ya KKKT Kinondoni 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KKKT kwenye hela hawachomoiRostam Aziz aliwanunulia Vyombo vya muziki Kwaya ya KKKT Kinondoni 😂
Anayesapoti ushogaDili Sasa ameenda Vatican Ili kumuunga mama na mjumbe wa Mungu
Wafe ili wabaki akina Makonda?Hawa wazee wa CCM ebu wafe waishe kwanza wanaghasia sana katika nchi hii, ona kama huyo sasa🚮
Hata sio mambo ya biashara kafuata Vatican manake Vatican hawafanyi biashara! Inaonekana Rostam ana kitu kikubwa na mama. Tutajua tuu!Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Wala haiwezi kushangaza kwa jinsi mambo yanavyoenda.Usikute huyu jamaa ndio mwenye hii nchi🤔 sisi ni wapangaji wake
Biashara ya majenereta inalipaNawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
HuyU jasusi wa CIA yuko kwenye mission kuhakikisha ushindi wamepata kuondoka jpm hauponyoki kwa kuhakikisha wanamdhibiti samia.. Mtu mwenyewe hana lolote zaidi ya ujuzi wa kupora kutoka umma wa tanzania. Samia anadanganywa kwamba wizi na uporaji wa umma eti ndio uwekezaji.Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Uko sawa kabisa maana Vatican hakuna Biashara wala hakuna HospitaliHata sio mambo ya biashara kafuata Vatican manake Vatican hawafanyi biashara! Inaonekana Rostam ana kitu kikubwa na mama. Tutajua tuu!
Sawa buroo..Rostam ni Mtanzania kama mimi na wewe tujadili hoja na Ideas hizo ndio kazi za Great Minds.
Mimi nimjuavyo Rostam ni moja ya Wafanyabiashara maarufu LABDA👈 anaufuata msafara wa Raisi ili kutafuta fursa zake za kibiashara.Sawa buroo..
Unaweza kunitajia Hata safari moja yoyote ambayo Mama samia alienda nje na Rostam hakuwepo..
Na kwanini awe yeye?
Kama sisi sote ni watanzania?
Kuna faida gani kwa Taifa yey kuwepo?
Sasa wewe ulisikia wapi Vatican kuna Biashara?Mimi nimjuavyo Rostam ni moja ya Wafanyabiashara maarufu LABDA anaufuata msafara wa Raisi ili kutafuta fursa zake za kibiashara.
Kwenye misafara ya viongozi kuna mambo mengi ambayo hatuyajui lakini ni vizuri IKULU iwe inatueleza kuliko kutuachia sisi wa huku uswazi maana kila mmoja wetu anaongea lake.