Kwanini mara kadhaa alipo Rais Samia huambatana na Rostam Aziz?

Kwanini mara kadhaa alipo Rais Samia huambatana na Rostam Aziz?

Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..

Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..

Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047

Rostam ni King maker toka enzi za Mkapa. Usikute hata hii miradi anayo sain Maza na Waarabu anamfanyia kazi Rostam.
 
Vatican iko Italy labda alitaka kwenda kufanya Shopping Rome.
Vatican na Italy ni sehemu tofauti kiutawala na kila kitu..
Unaweza ukawa Raia wa Italy lakini usiwe Na uraia wa Vatican..

Vatican Ni separate kwenye Kila kitu mpaka Utawala au hujui hilo?

hujui kama Rais wa Italy hana Mamlaka Vatican?
Na vatican ni Independency state so kwa Kiserkali haiko italy
 
Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..

Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..

Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
F9Nuw_WXYAA3qAr.jpeg
 
Back
Top Bottom