Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa tunawamudu.Wafe ili wabaki akina Makonda?
Vatican iko Italy labda alitaka kwenda kufanya Shopping Rome.Sasa wewe ulisikia wapi Vatican kuna Biashara?
Vatikan sio tu biashara hata hospitali kule hakuna
So what!!!???Rostam Aziz aliwanunulia Vyombo vya muziki Kwaya ya KKKT Kinondoni 😂
Na ndiye aliyemrudisha Lowasa CCM 😁😁Mu Irani huyo.Wairani wanajua kula na vipofu. Imagine Rostam alikuwa anapatana na Magufuli pia.
Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Vatican na Italy ni sehemu tofauti kiutawala na kila kitu..Vatican iko Italy labda alitaka kwenda kufanya Shopping Rome.
Poor comment, Dunia ya leo unaongea mambo ya kiingereza?kwani Hangaya hajui kiinglish?Rostam ni mtu muhimu hata kwenye kiingereza anakifahamu vizuri na ana exposure. Acheni amsaidie rahisi.
Ulikua hujui,hamia CongoUsikute huyu jamaa ndio mwenye hii nchi🤔 sisi ni wapangaji wake
Ni wa huko piwa huko Igunga anazuga tu.Alizaliwa wapi?
Ana fungamano na Iran?
Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047