KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
ndio wenye nchi hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe utakufa lini?Atakufa tu nampa muda tena hakawii huu mwaka Israel anang'oa magugu😎
We unaona anajua? 😳Poor comment, Dunia ya leo unaongea mambo ya kiingereza?kwani Hangaya hajui kiinglish?
Big businessman King maker since Mkapa era and the rest who followed till now !Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
We binti, umenifurahisha sanaaaaaaaUsikute huyu jamaa ndio mwenye hii nchi🤔 sisi ni wapangaji wake
Upo sawaKikwete Jana amezungumza ni Rostam, Samweli sitta na Edward Lowassa ndio walimfuata akagombee urais 1995.
Rostam alikuwepo wakati wa utawala wa Mkapa.
Rostam alikuwepo wakati wa utawala wa Kikwete.
Rostam baada ya kuondoka pia alirudi wakati wa utawala wa Magufuli.
Na sasa yupo katika utawala wa Samia.
Na popote nje ya nchi atakapokuwepo Samia basi Rostam humkosi.
🫢Rais ni mwanamke na rostam ni mwanaume unauliza nini?
Tatizo hata wakifa wanarithisha madaraka kwa wajukuu waoHawa wazee wa CCM ebu wafe waishe kwanza wanaghasia sana katika nchi hii, ona kama huyo sasa🚮
Haya bhana mwenye kisu kikali ndiye anaruhusiwa kula nyama.Kikwete Jana amezungumza ni Rostam, Samweli sitta na Edward Lowassa ndio walimfuata akagombee urais 1995.
Rostam alikuwepo wakati wa utawala wa Mkapa.
Rostam alikuwepo wakati wa utawala wa Kikwete.
Rostam baada ya kuondoka pia alirudi wakati wa utawala wa Magufuli.
Na sasa yupo katika utawala wa Samia.
Na popote nje ya nchi atakapokuwepo Samia basi Rostam humkosi.
Sijaongelea mambo ya kimamlaka ila nimesema ukienda Vatican iko Rome na huenda Rostum anaenda kufanya Shopping Rome.Vatican Ni separate kwenye Kila kitu mpaka Utawala au hujui hilo?
JPM alikwenda kufungua Taifa Gas pale Kigamboni na pia Siku au miezi michache kabla ya kifo cha JPM walikuwa pamoja naye pale Morogoro katika ufunguzi wa kiwanda chake kingine !!Kipindi cha Pungu one jiwe huyu si alipitia joto la jiwe mpaka akataka kuhamia Zambia au nimechanganya files?