Kwanini Marais Nyerere, Mwinyi na Mkapa walikuwa hawakohoi Wakihutubia, kama ilivyo kwa Marais Kikwete, Magufuli na Samia?

Kazi na kitabu vmentinga mkuu acha kabisa
Unaitafuta sasa Doctorate ya Ujasusi ( Unjagu ) baada ya kuwa na Masters Degree zako kadhaa?

Hongereni mnaosoma na wenye Elimu zenu Sisi wengine tumeishia zetu tu Darasa la Saba na tupo tupo tu.
 
Unaitafuta sasa Doctorate ya Ujasusi ( Unjagu ) baada ya kuwa na Masters Degree zako kadhaa?

Hongereni mnaosoma na wenye Elimu zenu Sisi wengine tumeishia zetu tu Darasa la Saba na tupo tupo tu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜
 
Unaitafuta sasa Doctorate ya Ujasusi ( Unjagu ) baada ya kuwa na Masters Degree zako kadhaa?

Hongereni mnaosoma na wenye Elimu zenu Sisi wengine tumeishia zetu tu Darasa la Saba na tupo tupo tu.
Ujasusi na unjagu ndo nini aisee
 

Nadhani (sina uhakika) sababu kubwa ni kuwa Nyerere, Mwinyi na Mkapa hawakua na hypertension wakati wakiwa madarakani, tofauti na hao wengine unaohoji. Madawa ya hypertension hufanya watu kukohoa; kwa hiyo hao unaohoji kuna wasiwasi kuwa wana hypertension na wanatumia madawa ambayo yatawafanya wakohoe.
 
Haaa haaaa haaaa najibu Kwa mfano kama Yesu. MH kikwete aliulizwa kama zike pesa za Rugemalila ni za serikali alikohoa hadi akaletewa duramu ya maji kabla ya kujaribu kujibu swali lilivyokuwa matata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…