Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

Sasa wengine Ni kama wameenda kutalii tu. Kuna mipango gani hapo UN ya kuendeleza Nchi yetu. Kama mipango ya maendeleo tusipoipanga kupitia Bunge na Mabaraza ya madiwani tusitarajie hivyo vikao kuna na lolote. Nionavyo mimi wengine wameenda kutalii na kufanya Shopping. Ujinga kama huu ndo aliukataa Magufuli.
Sijui ni Nani nimuagize na iPhone 13 Mana huko ni kitu Kama 2.34M i.e 1k USD nikiileta hapa nauza 1500 usd
 
Rais asiye na utambulisho wa kitaaluma, kipaji ama jambo lolote la kuweza kumtoa mzungu ofisini kwake usitegemee atapoelewa Kama unavyotaka mleta mada

Samia hajawahi hata kuandika makala kwenye vijigazeti achilia mbali magazeti yanayojulikana duniani. Wala hajawahi kutoa hotuba nzito iliyoweza kuhifadhiwa kama rejea ya vizazi vijavyo. Atampokea nani huyu?

Nyerere kwa uwezo wake wa kuandika vitabu na kutoa hotuba zenye mashiko wazungu walimheshimu sana ndiyo maana walikuwa wakimpokea
 
Mkuu ulitaka apokelewe na Biden pale JFK,unajua hii ni aina gani ya safari kwa hawa wakuu wa nchi wanachama wa UN?

Work visit haihitaji mambwembwe yale kama State visit sijui mizinga 21 na upokelewe kwa gwaride,hii ni ziara ya kikazi tena UN siyo kwenye Serikali ya US hivyo si Biden wala Harris wanaweza kwenda kumpokea.

Hapa wamepokewa na Liaison Officer mmoja toka UN na ulinzi anapewa kama Rais wote watakao hudhuria hii shughuli.

Usichanganye safari ya JPM South A na hii ya Hangaya UN(US).
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, Kilicho nisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji. Hamna Mmarekani Anaye Jali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao...

Siyo Marais wote wa Africa wanafanyiwa hivyo labda Kama hajafuatilia vizuri Mkuu.

Sisi Tanzania tumezidi sana, ohoo mala ngoma na za asili, yaan ata kupokea ndege mpya tunapanga folen airport na kuzichezea ngoma ndege as if ni Yesu au Mtume kashuka mbinguni....

Yaan mm nimefuatilia alivyopokelewa naona ndo saize yake tu. Tena Biden angekumbuka angemtumia boda boda tu maana ni usafiri pia.
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, Kilicho nisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji. Hamna Mmarekani Anaye Jali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao...
Tumezidi kujipendekeza.

Zaidi mwenye nacho huamkiwa SHIKAMOO MTOTOOO
 
Sisi wamarekani tunajiuliza kwanin kwenye listi za nchi zenye magaidi tumeisahau nchi ya Tanzania

Sisi wamarekani tunajiuliza kwanin kwenye listi za magaidi tumelisahau jina freeman mbowe

Kwa mambo hayo hapo juu imetupelekea sisi wamarekani kusahau kama upo ugeni kutoka Tanzania
Dah Hii comment [emoji38]
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, Kilicho nisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji. Hamna Mmarekani Anaye Jali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao...
Boss hanuniwi Mkuu
 
Mapokezi unaangalia nani wa kumpa pia. Sasa kama hawa wetu wenye Falsafa ya Mwanamke naye ni zamu atawale bila kujali Agenda, unategemea nini. Wenzetu Raisi ni mtu mwenye maono makubwa. Kimsingi Viongozi wengi wa Afrika wanachukuliwa kama Ceremonial Presidents tu.
Itx true kabisa...
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, Kilicho nisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji. Hamna Mmarekani Anaye Jali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao...
Endeleeni kuwanyenyekea mabeberu, siku akienda nchi za kiarabu kama kawa atapokelewa kwa heshima zote, refer kikwete na nyerere ndio mtambue waarabu ni wa2 karimu mno.

Lakini pa1 na yote haya still kuna wagalatia hawaachi kasumba yao ya kuwasema na kuwachukia vibaya mnoo waarabu kwamba ni wabaguzi, katili na wanaroho mbaya 😁
 
Back
Top Bottom