Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

Africa tunadharaulika sana, Trump ni moja ya maraisi ambae alituchana makavu kwamba inabidi tutawaliwe tena, mwanaume ni Kim wa NK, jamaa alimkaribisha Papa kijeshi licha ya kuwa ni kiongozi wa kidini.

Najisikia uchungu sana kuona bara langu na taifa tukidharaulika kiasi hiki,

Obama alikuja wakakata mpaka miti airport, waka install radar zao, yaani wanajifanya very special, tukawafagilia na barabara, tshirt zikachapwa, mabango yakatengenezwa

Hivi Africa tulikosa nini?
 
Tofautisha kati ya state visit na work visit..

Hii ya SSH ni work visit na itifaki zake utapokelewa Airport kimya kimya utaendelea na harakati zako zilizokupeleka..

Hata SSH angekuwa amefanya ziara ya kiserikali(state visit) bado itifaki ya mapokezi ya viongozi kwa US hutakutana na shamra shamra sijui gwaride wala mizinga Airport,kiongozi atapokelewa na Afisa mmoja wa US na kuelekea naye White House ambako huko ndiyo atakutana na gwaride,mizinga na yote yaliyomo kwenye package ya state visit..
 
Africa tunadharaulika sana, Trump ni moja ya maraisi ambae alituchana makavu kwamba inabidi tutawaliwe tena, mwanaume ni Kim wa NK, jamaa alimkaribisha Papa kijeshi licha ya kuwa ni kiongozi wa kidini...
Mkuu Papa ni Kiongozi wa Dini lakini pia ni Mkuu wa Nchi anazo kofia mbili,kupokelewa kijeshi ni sawa tu..
 
Mkuu Papa ni Kiongozi wa Dini lakini pia ni Mkuu wa Nchi anazo kofia mbili,kupokelewa kijeshi ni sawa tu..
Upo sahihi.
USA wanamheshimu Kim kuliko hata maraisi wetu wa Africa, Trump alipokutana na Kim wazungu walisema hio ni historical meeting.
Wanamheshimu na wanamuogopa, Africa inabidi na sisi tuogopwe na tuheshimike.
Mzungu ukiona anakusifu jua unafanya kama kwa kumnufaisha maslahi tofauti na hapo mnakwazana hata kama unajaribu kujijenga.

Mfano nikuulize.
USA ipo tayari kuona Africa tumeridhia kuungana tukitumia pesa moja na kuwa nchi moja?
 
Upo sahihi.
USA wanamheshimu Kim kuliko hata maraisi wetu wa Africa, Trump alipokutana na Kim wazungu walisema hio ni historical meeting. Wanamheshimu na wanamuogopa, Africa inabidi na sisi tuogopwe na tuheshimike...
Kama wako nyuma ya huo mpango tuungane Afrika na tuwe na sarafu moja watakubali ila kama sivyo yale yale ya Gadaffi yatatokea Afrika.
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, Kilicho nisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji. Hamna Mmarekani Anaye Jali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao...
Mkuu, kwanza Hongera kwa kuwa na bundle. Pili, Hongera kwa kuwa mwana JF. Tatu. Hongera kwa kuanzisha uzi.
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, Kilicho nisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji. Hamna Mmarekani Anaye Jali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao....
Nani apoteze muda wake kuja kukupokea wakati umeleta shida zako?wale wakija huku lazima uwajali kwani wanakuletea neema,
 
Kama wako nyuma ya huo mpango tuungane Afrika na tuwe na sarafu moja watakubali ila kama sivyo yale yale ya Gadaffi yatatokea Afrika.
Hapo nimekupata kwamba hawako tayari kuona tunaungana.
Africa ikiungana tutakuwa taifa la kwanza duniani kijeshi, kiuchumi, ushawishi na kila kitu
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, Kilicho nisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji. Hamna Mmarekani Anaye Jali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao...
Dah...., Swali fikirishi kweli.

Any way ni jinsi gani ma-rais wenyewe wanavyo jipendekeza kwao...🤔
 
Mbona ni kawaida sana, ni lini uliona hao marais wengine nje ya bara la Afrika wakienda US wanapata attention kutoka kwa raia.

Nachojua attetion wanayopata hao ambao si wa kutoka bara la Afrika ni covarage nzuri tu kwenye hizi media na sio kwa wamarekani na kitu kizuri ni kuwa rais wakutoka Afrika attention anapewa vipi sasa wakati wenyewe tunajiona kabisa kwamba mambo yetu chenga.

Ila kunamsemo unasema hivi maskini hana hasira wala kiburi.Haya yote tuliyachagua sisi basi tufurahie matunda ya uchaguzi wetu.
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, Kilicho nisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji. Hamna Mmarekani Anaye Jali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao...

Mimi nashangaa sijaona wale makomando wetu wakimzungumka pande zote, na migari mingi mingi
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kila siku Marekani wanaingia watu maarufu, inahitaji Biden ashinde airport kila siku kitu ambacho haiwezekani. Pia Wamarekani hawatakubali barabara zao zifunguwe kwa raia wa kawaida kila siku kisa watu fulani wa ulimwengu wa tatu wanapita.
 
Back
Top Bottom