Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

Mkutano wenyewe hauna wahudhuriaji umedharaulika na inaonekana viongozi werevu wameona ni kwenda kupoteza muda tu! Useless.Hakukuwa na umuhimu wowote wa kuchoma kodi za watanzania kuhudhuria huu upupu
 
Brother Ukitaka na wewe Upigiwe magoti Jiimarishe Kiuchumi Tu. Otherwise Utaendelea kuwa Swipers Tu mchambaji
 
Atapokea wangapi? Kila week atashinda Airport?

Pia wengi wetu wanaenda kuomba so lazima wa waoneshe kutojali coz hawana shida kama zako.
Ukweli mchunguuu huu jamani.
Waafrika wanaenda na masinia na mabakuli ya kuombaomba..
Nani anataka karaha hiyo??

Madini na maliasili zote tunawagaia, watajirike, na wanatuona mabogus.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Tofautisha ugaidi kwa kigezo cha ccm na kilichowekwa kimataifa.
 
Brother I must SALUTE this One. Well said for sure.
 
Nakumbuka miaka ile Bendera ya Taifa ikipandishwa au kushushwa ni lazima msimame mguu sawa huku umetulia kama maji ya kisimani vile, Waafrika tuko na mbwembwe nyingi ambazo hazitusaidii kupata maendeleo
 
Kwanza tofautisha Ulaya na US au Amerika. Samia kaenda US, siyo Ulaya.
Pili baadhi yetu tunadhani kwenda nje ya nchi ni kitendo cha maendeleo. Ndo maana tunafuatilia kwa imani kwamba huyu kaendelea. JK aliwahi kutupumbaza kwa kusema kuna pesa nyingi huko, wakati alifikia hatua ya kupokelewa na wanamziki.

Huko yeye ni mtu wa mtaani tu! Ni kazi ya ubalozi wetu kuhangaika naye.
 
Ni kama wew tu kwenye familia ukiwa mlalahoi na wenzio wako vzur huwez thaminiwa
 
Kaangalie state visit ya nyerere hapo hapo Kwa Trump na Kwa malkia. Nadhani inategemea heshima ya Rais binafsi kwao .mapokezi ya wakati wa Vita ya ubaguzi.
 
Mzungu athamini cheo anathamini IQ sasa wewe unaenda marekani na iq ya mafii ya bata
 
Kwanini Biden hakujitokeza kumpokea?
Biden speaking at the United Nations General Assembly: “The future belongs to those who give their people the ability to breathe free, not those who seek to suffocate their people with an iron hand authority.
 
Kuna mtu mmoja aliniambia moja kati ya faida ya exposure ni kukunyenyekeza, it humbles you.

Ndio maana ni muhimu kwa viongozi kufanya kazi na kuishi kidogo nje ya nchi huko;

Unaweza ukawa mfalme kwenu, lakini mbele za watu wewe ni punda tu.
 
Wanajidharau wenyewe. Wanakurupuka wakipata sababu dhaifu za kwenda huko. Nasikia SSH amemuona Biden kwenye runinga tu.
 
Eti embassy na foreign affairs wanahaha Ili samia apate picha na biden. Ili waje kuwaringishia chadema. Huu ni ujinga na upumbavu
 
Mnafikri wamarekani wanaulimbukeni kama mlionao huku tanzania mkikutana na maccm wenzenu
 
Kwanza marais wenu wanaonekana wanaongoza a bunch of vilaza, sasa hiyo heshima watapewa na nani ?

Fikiria Rais anatumia gari la Milion 400 wakati kwenye taifa hilo hilo kuna raia hajui atakunywa maji safi na salama. Sasa hapo heshimu itoke wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…