Uchaguzi 2020 Kwanini Marais wanaoangalia maslahi ya nchi zao hawatakiwi na Marekani?

Uchaguzi 2020 Kwanini Marais wanaoangalia maslahi ya nchi zao hawatakiwi na Marekani?

Hii pumba uliyoandika hapa haiendani kabisa na umri wako. Daah

..Ndio ukweli wenyewe huo.

..Mabeberu wanapenda nchi yenye amani, na kiongozi fisadi.

..Mfano mzuri ni Zaire ile ya enzi za Mobutu Sese Seko.

..Ni urongo kudai mabeberu huanzisha vita ili waibe rasilimali zetu.

..Hivi unafikiri mabeberu wakianzisha vita hapa Tanzania wataweza vipi kusafirisha makinikia?

..Vita huwa tunaanzisha Waafrika wenyewe kutokana na kudhulumiana ktk uchaguzi na siasa.
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.
Nitakutumia kitabu, in soft copy ujue ukweli wa unchokiu
 
Duuh
..Ndio ukweli wenyewe huo.

..Mabeberu wanapenda nchi yenye amani, na kiongozi fisadi.

..Mfano mzuri ni Zaire ile ya enzi za Mobutu Sese Seko.

..Ni urongo kudai mabeberu huanzisha vita ili waibe rasilimali zetu.

..Hivi unafikiri mabeberu wakianzisha vita hapa Tanzania wataweza vipi kusafirisha makinikia?

..Vita huwa tunaanzisha Waafrika wenyewe kutokana na kudhulumiana ktk uchaguzi na siasa.
Duuh huko Libya na Iraq wanakoiba mafuta kuna amani??

Huko Afghanistan wanakolima Opium kuna amani??

Venezuela wanayoitingisha ili waibe mafuta??

Daah.
 
Duuh
Duuh huko Libya na Iraq wanakoiba mafuta kuna amani??

Huko Afghanistan wanakolima Opium kuna amani??

Venezuela wanayoitingisha ili waibe mafuta??

Daah.

..mabeberu do not want to put " boots on the ground " ili kuiba rasilimali.

..kati ya Saudi Arabia na Libya unafikiri ni wapi mabeberu wanapiga pesa kubwa?

..Wamarekani walipendelea zaidi Iraq chini ya Saddam Hussein ambapo wao walikuwa wanaiba mafuta, na kumuacha Saddam akiua raia wake mwenyewe.

..Hivi unafikiri Marekani wanapenda Somalia ya Al-shabaab au Somalia chini ya Mohammed Siad Barre?

..Mabeberu hawajali kama kuna demokrasia au haki za binadamu. Wao wanataka utulivu, amani, na kiongozi fisadi, ili waibe rasilimali bila kuingia gharama ya kupoteza maisha ya vijana / askari wao.
 
Sema viongozi wanaowanyima haki raia wao,eti kutetea raslimali zao kwani hizo raslimali zao wanauzia wapi zaidi ya usa. Bei za tanzanite, dhahabu, nk zimeshuka uchumi wa sehemu zenye madini umeshuka Sana tangu awamu hii iingie, sasa zinalindwaje sasa
 
Back
Top Bottom