Uchaguzi 2020 Kwanini Marais wanaoangalia maslahi ya nchi zao hawatakiwi na Marekani?

Uchaguzi 2020 Kwanini Marais wanaoangalia maslahi ya nchi zao hawatakiwi na Marekani?

Acha upuuzi kamanda Libya na Iraq kuna vita na kampuni za kibeberu zinachimba mafuta,wewe ni mmoja wa watu mnaokiabisha chama chetu kwa kuongea pumba,sasa tunaenda kushindwa vibaya sana.
Kwa hiyo unataka utuambue kuwa baada ya Sadam kufa , makampuni yaliyokuwepo yamekimbia yakaacha visima vyao vikachukuliwa na Marekani?
Hebu acheni siasa za kuwadanganya watu.
Duniani kote wanunuzi wakubwa mafuta na madini na watalii kote ni Wazungu.

Hivi kwa mfano unafikiri wazungu wanataka waje wabebe mlima Kilimanjaro waupeleke kwao ?

Makampuni ya mafuta ni yale yale na wanachima na kuwauzia hao hao wazungu.
Mfanyabiashara kote duniani anafanya kazi moja tu ya kutafuta faida.
Ndio maana ukienda Kariakoo maduka yote watakuuzia bidhaa bila kujali kuwa ni duka LA mchina au Mhindi ,au muarabu au Mchaga au Mkinga.
Wote lao moja wanataka faida.

Jeshi Letu ni imara na nchi inapaswa iwe na Bunge imara linaloweza kumhoji waziri au mtu yeyote anayehisiwa kuwa anasaini mikatana mibovu na kuliibia Taifa kama walivyofanya mawaziri wa CCM na mpaka sasa wanshauri rais Vibaya ili aone kuwa adui wa Mali za Tanzania ni Wapinzani kumbe wao ndio walioiba na wengine wakajenga mpaka huko Afrika ya kusini.

Hata Libya walificha Mali nyingi ni Waliokuwa madarakani.
Hata Iraq walioina na kuficha Mali nyingi ni Familia ya Sadam ; sasa huo uzalendo ni upi?
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.
Miaka 59 chama kimoja kimeongoza na maendeleo mpaka sasa ni baby step yaaani hatusongi , we unadhani kwa miaka 100 tunaweza kupiga hatua gani?
Kama cham hicho hicho chenye viongozi wenye mawazo hayo hayo wataendelea kuwepo?

Our society will be doomed.
 
Hakuna cha kujifunza kwa marais wakiokua wanakalia Ofisi kwa damu za watu.
Libya Tatizo lilikua halionekani mpaka wao walipouawa na kuona uchungu wa kupoteza ndugu wazazi na watoto ndio wakaanza nao kupayuka kuwa kuna mauaji!
Wakati wao walikua wanapita kuwauwaua wenzao wasio na madaraka walikua wanawaona kama Siasa na Panya lakini wao wakasahau kuwa Duniani hakuna mwanye mamlaka yote zaidi ya Mungu. Ukifanya jambo baya kwa binadamu usitaegemee kuwa salama.

Gadafi angeweza akafanya mema yake na kuwaachia wengine lakini aliamua kubadili Majengo na roho za watu huku akificha ukweli na kuwaonyesha walimwengu Yale anayodhani ni mazuri huku nyuma akiwa anazika watu wanaomkosoa.
Kwa sasa kinachoendelea kule Libya ni usawa mana waliozoea kucheka na kuwacheka wengine kwa kejeli huku wakijitangaza kuwa wao ndio wenye akili nao sasa wanalia na wanakosa pa kuweka vichwa vyao zaidi ya kujificha .

Timu iliyozoea kubebwa na Refa huku ikipata ushindi wa kubebwa siku Akitokea Refa anayechezesha kwa Haki na wakafungwa Mara nyingi wanafanya fujo uwanjani.

Hivi mfano Chadema ikashinda watavunja vipi amani ya nchi wakati wao ndio wanaotawala?
Hebu nifafafanulie hapo nijue mana hata hii amani iliyopo sio ya CCM wanaolinda mipaka ya nchi. Hakuna Rais anayekesha akilinda mipaka ya nchi zaidi ya majeshi yetu.
Ni vipi wao wakishindwa inadilike iwe vurugu. Libya Gadaff aliondolewa kwa vita na aliua sana watu hivyo watu walikua na hasira na Kundi lake lililokuwa linatumika kuua watu huku likijifanya kuwa linawapenda watu waoga.
Kumbe siku zote kila jambo baya lina mwisho wake.

Kuifananisha Tanzania na Libya ni ujinga mtupu. Utaifananisha na Libya kama mnaona kuwa kuua watu wanaomkosoa ni sawa lakini tukifuata sheria zetu wenyewe hatuna haja ya kuuana mana kila kitu kina taratibu zake.

Wakurugenzi wanaharibu uchaguzi kwa sababu ya Rushwa za fedha na vyeo. Ubinafsi wao wanaufanya kuwa ndiyo kanuni. Hawa unadhani wataacha lini hiyo tabia endapo watakua wananufaika na huo ujinga na uhuni wa makusudi ?
Matokeo yake kila mwenye nafasi ya kuwaumiza wapinzani anafanya hivyo utadhani anawafanyia wanyama.
OCD sijui RPC kila mmoja anawaza kupata umaarifu kwa kuwapiga na kuwaua wapinzani . Hiyo ndiyo amani endelevu au ni amani iliyojaa Chuki na visasi rohoni?
Unatagemea hali hiyo iendelee mpaka lini na akina nani wauawa hivyo na kupigwa tuu wao. Yani kundi kubwa LA watanzania liumizwe na kundi lingine halafu utegemee amani tuu siku zote!?
Inawezaje kuwa ndiyo maisha ya kawaida kwa kundi moja kuwaua wengine na kuwapoteza na kuwajeruhi bila hatua yoyote kuchukuliwa ?

Binadam hawezi kufanyiwa unyama wa wazi kila siku ndio maana hata yale maeneo yenye wachawi hua kuna wakati wanashughulikiwa mana watu wanachoka kulogwa tuu kila siku .

Tuwaombe wenye mamlaka wawatendee watanzania wote haki na usawa ili amani idumu.
Umeongea vile ninavotaka kuongea mkuu.
Muhimu sana hawa viongozi kujitambua kuwa wao ni binadamu wa kawaida sawa na binadamu wengine ambao wanawaonea ,kuwatesa hata kuwaua.

Madikteta wote miisho yao ni mibaya.
 
If this person who referred to himself as MWENDAWAZIMU is the best for our country then why is he scared of FREE AND FAIR elections!?
Mtakumbuka CCM na Rais Magufuli kwani hata Kenya walimwita hayati Rais Moi Dictator. Walimwondoa kwa mbwembwe na kupata katiba mpya lakini leo wakenya wamekuwa masikini kuliko enzi ya utawala wa Rais Moi na Ufisadi umezidi kuwa mbaya sana. Tundu Lissu katika kampeni zake ameipa somo zuri sana CCM na nategemea CCM itafanyia kazi. President Magufuli still is the best for this country
 
that is how things works.refer to the book how Europe underdevelop Africa.ch Walter Rodney.
they can be happy for you never
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.
Viongozi maboga wote hawatakiwi akiwemo huyu wenu.
 
The fight against corruption is a tried and tested tool in the kit of any dictator.

Besides, no one can effectively fight corruption when they are themselves tainted by it.

Your people are not only tainted by corruption.

They are wallowing in it.
 
Miaka 59 chama kimoja kimeongoza na maendeleo mpaka sasa ni baby step yaaani hatusongi , we unadhani kwa miaka 100 tunaweza kupiga hatua gani?
Kama cham hicho hicho chenye viongozi wenye mawazo hayo hayo wataendelea kuwepo?

Our society will be doomed.
Chama Cha kikominist cha China kimetawala miaka 70 na leo China ndio nchi yenye uchumi mkubwa duniani. Rais Magufuli ametawala miaka 5 na ameonyesha uwezo mkubwa kwanini asipewe miaka 5 mingine akamilishe kazi zote alizozianzisha.
 
Haiwezekani uminye uhuru na demokrasia watu wakuangalie tu.

Unafosi tulia na gambo wawe wabunge, ndo wananchi wanavyotaka? Nec na polisi wanavuruga uchaguzi halafu wananchi wakae kimya kisa nini

Sauti za wananchi zimefika ulaya ila kwa sasa bado sana 2025 ujinga huu ukiendelea tutalambishwa vikwazo hapo kipindupindu kitarudi na dawa hakuna
Uhuru na demokrasia peleka kwako na mkeo.
Hapo ulipo huwezi mpa uhuru mkeo akatembee kusikojulikana bila ruhusa yako au kuchelewa kuja home mida anayopenda,
sasa kama kwako unashindwa iweje utake nchi iruhusu ujinga wenu huo.
Mpe mkeo demokrasia, akijisikia kufanya chochote anachopenda basi usi muulize.
 
If this person who referred to himself as MWENDAWAZIMU is the best for our country then why is he scared of FREE AND FAIR elections!?
BAK unafikiri bila kuwa kiongozi wazimu nchi hii ingerudi kwenye mstari. Huko lake Victoria bila kufanya operation ya kupambana na uvuvi haramu leo Samaki wangeisha. Suala la uwindaji haramu na kusafirisha wanyama wetu wa pori ilishamiri sana katika kipindi cha miaka 5 idadi ya wanyama pori imeongezeka kwa kiasi kikubwa mpaka Mbogo wameingia Dar na Arusha mjini.
Tundu Lissu anaweza kuwa Presidential material mzuri in future lakini amwache Rais Magufuli amsafishie vichaka.
 
Hofu yenu nini? si nyie nchi tajiri sana donor country na hao mabeberu mmeshasema hawawababaishi.
 

Only ZWAZWA will have this notion that Nchi imerudi kwenye mstari just because those who were severely affected with this corrupt government has nothing to do with you! Mkuki kwa NGURUWE! He is the worst president ever and Nchi haijarudi kwenye mstari please stop your LIES!


BAK unafikiri bila kuwa kiongozi wazimu nchi hii ingerudi kwenye mstari. Huko lake Victoria bila kufanya operation ya kupambana na uvuvi haramu leo Samaki wangeisha. Suala la uwindaji haramu na kusafirisha wanyama wetu wa pori ilishamiri sana katika kipindi cha miaka 5 idadi ya wanyama pori imeongezeka kwa kiasi kikubwa mpaka Mbogo wameingia Dar na Arusha mjini.
Tundu Lissu anaweza kuwa Presidential material mzuri in future lakini amwache Rais Magufuli amsafishie vichaka.
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana eti marais wazalendo wanachukiwa na marekani kweli huu ndio utopolo mwingine hv marekani ndio wamemtuma magufuli kwamba Asiajiri watumishi ,ndio wamemtuma asiwapandishe madaraja watumishi,ndio wamemtuma asitafute masoko ya mazao ya wakulima,ndio wamemtuma aondoe nyongeza ya mishahara ya watumishi,Tusiwasingizie WAMAREKANI TUNA OMBWE TU LA UONGOZI,Baba wa Taifa Mwl Nyerere alisema Tabia za kutojali maisha ya watu ziko Africa zaidi kuliko mabara mengine.Viongozi hawajali watu alafu unaanzisha thread ya kusingizia mataifa mengine.Kwa mfano mtu leo hii ameng'ang'ana Eti anazindua usafiri wa treni kutoka Dar kuelekea Arusha,Hv hili ni jambo jipya hadi tufike mahali tuanze kusifia wakati tunarudi nyuma kimaendeleo Leo hii tungekuwa tunazungumzia RELI kwenye mikoa kama ya Rukwa pale Sumbawanga ungesema tuna akili sana sasa bado tumo mlemle alimoacha mkoloni alafu tunajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe.Tusifanye usanii kwenye maisha ya watu.Yaani viongozi wanajivua akili AIBU KABISA .
 
Only ZWAZWA will have this notion that Nchi imerudi kwenye mstari just because those who were severely affected with this corrupt government has nothing to do with you! Mkuki kwa NGURUWE! He is the worst president ever and Nchi haijarudi kwenye mstari please stop your LIES!
Wewe always ni radical katika siasa wakati wa Kikwete ulipinga sana. Kwa kifupi wewe sio muona maono
 

Kwa mwenye UFINYU wa akili tu. Sasa Kikwete alifanya lipi la maana ndani ya miaka 10? Kudanganya Taifa kwamba pesa za ESCROW si pesa za umma!? Fungua akili yako wewe!
Wewe always ni radical katika siasa wakati wa Kikwete ulipinga sana. Kwa kifupi wewe sio muona maono
 
..Mabeberu wanapenda nchi zenye amani na viongozi walarushwa ili wazinyonye vizuri.

..Tanzania na Magufuli wanavyo vigezo nilivyovitaja hapo juu.

..Amani ikikosekana hapa Tanzania, makampuni ya madini kama Barrick hayataweza kuchimba madini.

..Pia kukiwa hakuna kiongozi fisadi kama Jiwe, Tanzania haitanunua midege tusiyoihitaji toka kwa mabeberu.

..Kwa hiyo Mabeberu kama Marekani wanapenda Tanzania iwe na amani, na zaidi iwe na kiongozi fisadi anayewapelekea mapesa ya bure kama Jiwe na miradi yake ya ununuzi wa midege[dreamliners] tusiyoihitaji.

cc Chige
Ficha upumbavu wako chawa wewe.
 
..Mabeberu wanapenda nchi zenye amani na viongozi walarushwa ili wazinyonye vizuri.

..Tanzania na Magufuli wanavyo vigezo nilivyovitaja hapo juu.

..Amani ikikosekana hapa Tanzania, makampuni ya madini kama Barrick hayataweza kuchimba madini.

..Pia kukiwa hakuna kiongozi fisadi kama Jiwe, Tanzania haitanunua midege tusiyoihitaji toka kwa mabeberu.

..Kwa hiyo Mabeberu kama Marekani wanapenda Tanzania iwe na amani, na zaidi iwe na kiongozi fisadi anayewapelekea mapesa ya bure kama Jiwe na miradi yake ya ununuzi wa midege[dreamliners] tusiyoihitaji.

cc Chige
Nakushauri kama upo kwenye umri wa kusoma ujiongeze kwani inaonekana unahitaji Elimu/maarifa ya kukufanya uweze kutafsiri mambo ya kimataifa
 
Hivi kweli watanzania leo tuone Tanzania ikiongozwa na mawaziri ya aina ya Hallima Mdee, Lema ama Heche. Dunia itatushangaa sana
Eti sugu anakuwa waziri wa fedha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katika vitu wanavyo kosea Mabeberu na vibaraka wao ni kujaribu ku mtisha kwa namna yoyote JPM. Kumtishia JPM ni kupiga rangi upepo,JPM ni chuma Cha pua.
Kwan ye ni jeuri kuliko Pinochet,musolini,hitler, Gadaffi, Saddam. Wameng'oka Sugu sembuse uchwara.
 
Back
Top Bottom