Uchaguzi 2020 Kwanini Marais wanaoangalia maslahi ya nchi zao hawatakiwi na Marekani?

Uchaguzi 2020 Kwanini Marais wanaoangalia maslahi ya nchi zao hawatakiwi na Marekani?

Marekani wanatamani sana natural resources zetu sasa wamekutana na Mzalendo wa kweli amekomaa lazima hizi resources ziwanufaishe Watanzania, ndio maana mnaona wameanza kuhangaika kuwatetea mawakala wao wa ubeberu washinde uchaguzi hata kwa kulazimisha.

Sisi wananchi wazalendo tutampigia kura za upendo mkubwa Rais Magufuli.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mtakumbuka CCM na Rais Magufuli kwani hata Kenya walimwita hayati Rais Moi Dictator. Walimwondoa kwa mbwembwe na kupata katiba mpya lakini leo wakenya wamekuwa masikini kuliko enzi ya utawala wa Rais Moi na Ufisadi umezidi kuwa mbaya sana. Tundu Lissu katika kampeni zake ameipa somo zuri sana CCM na nategemea CCM itafanyia kazi. President Magufuli still is the best for this country
Acha utani .
Kenye ya sasa utailinganisha na ile ya Kikabila ya Moi.!!
Kenya inayonunua mazao yote ya Tanzania.
Kenya yenye Fly over za kutosha.
Kenya yenye SGR .
Kenya yenye Viwanda vya magari !
Kenya yenye Jeshi la kisasa kabisa na zana za kivita za kisasa kabisa unaweza ukasema imerudi nyuma.

Uhuru wa vyombo vya habari ndio unaokufanya uyajue mapungufu ya serikali ya Kenya lakini Kenya wana uchumi stable sana na Bila muafaka na Demokrasia Ukabila Kenya ulikua wa kutisha.
Kwa sasa sisi ndio tunapita walipopita Kenya miaka 30 iliyopita.
Leo Tanzania ukabila unaanza kujionyesha kidogo kidogo hasa awamu hii ya Tano.
Kuteka na kuua watu kunakofanywa na akina Kheri kutetea maslahi ya familia.

Leo wakenya waamejitahidi sana kuimarisha umoja Wakati sisi tunawaruhusu wakina Polepole kusambaratisha nchi kwa sababu ya fedha na màdaraka.
 
Hujui hata Rais Donald Trump wa Marekani ni Dictator pia.
Sasa mdau kamtaja Trump au kaitaja Marekani?!!

Marekani inaongozwa na mfumo unaoeleweka, na huo mfumo unaoeleweka ndio unaopinag udikteta, na ndio maana ingawaje ni kweli kwamba Trump ana elements nyingi za kidikteta lakini system inamfunga speed-governor!
 
Hujui hata Rais Donald Trump wa Marekani ni Dictator pia.
Lini maamuzi yake ya kidikteta yamewahi tiiwa na mamlaka za USA.
Zipo nchi nyingi tu viongozi wao wanalinda raslimali zao na Wana uhusiano mzuru tu na USA.
 
Uko sahihi kwa asilimia 100! Naweka mkazo pale unaposema Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa kwani Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi. Tumeona barua aliyoandika mwanasheria wa Lissu akimuonya JPM kwa maneno makali kama vile anamuonya mtoto wake.

Umetoa mifano ya Venezuela na Bolivia ambazo zilikuwa zikijitutumua kulinda uchumi wao. Vivyo hivyo hata kwa Iraq na Libya. Tukaambiwa viongozi wao ni madikteta. Tunajionea wenyewe 'demokrasia' iliyofuatia kuuawa kwa Saddam Hussein na Moamar Gaddafi. Watanzania tujifunze kutokana na historia hiyo.
Hii ni mikuki ya kujichoma, kwani hatuwezi kujenga SGR bila kutekana, kupotezana, kutungiana Sheria za kukomoana????.
 
Kama kweli ataweza kuyarekebisha hayo atakuwa ni best President.
Japo alitakiwa aanze kwenye mchakato huu wa uchaguzi, hawa wateule wake wanavurunda sana mchakato wa uchaguzi na yeye ndiye rais , nadhani anaweza fanya jambo kutuliza munkali wa maofisa wa tume ya uchaguzi.
Pamoja tuistawishe amani ya nchi yetu.
Tabia ya mtu ni ngozi amini nakuambia atakuwa worse 100 times.Uncivilized and uneducated man never change
 
Mabeberu hawataki watu wajitambue na kujitegemea. Hupenda watu wanaowapigia magoti na kutembeza bakuli, wasiojua hakuna cha bure duniani. Sasa kiongozi anayewasanua watu wake, huwa kikwazo kwao. Ila huwapenda watu kama chama cha Mbowe, na Zitto wenye kujipendekeza na kuwalamba miguu.
 
Kwani kulinda maslai ya nchi ni lzm uwafanye wananchi wako wawe masikini, uteke watu, uuwe, ubambike, ufilisi, ubomoa nyumba zao, uzulumu pesa zao, mazao yao.
Huyu mtoa mada ni wale waliosoma sylbus za zamani zilizopandikiza chuki za kuwachukia wazungu juu ya kushindwa kwetu kujiletea maendeleo yetu.
 
Mabeberu hawataki watu wajitambue na kujitegemea. Hupenda watu wanaowapigia magoti na kutembeza bakuli, wasiojua hakuna cha bure duniani. Sasa kiongozi anayewasanua watu wake, huwa kikwazo kwao. Ila huwapenda watu kama chama cha Mbowe, na Zitto wenye kujipendekeza na kuwalamba miguu.

Mabeberu ni hoja za watu waliofilisika kifikra.
Umewahi ona wapi duniani dikteta yeyeto amewahi letea watu wake maendeleo.Asili ya udikteta ni malezi mabovu aliyopata muhusika utotoni baada ya mama kushindwa malezi bora,thus wenzetu huwezi ukapewa tu uongozi ni lzm wachunguze asili yako ulivyolelewa ili usije ukaharibu nchi.Tofauti na afrika
 
Mtakumbuka CCM na Rais Magufuli kwani hata Kenya walimwita hayati Rais Moi Dictator. Walimwondoa kwa mbwembwe na kupata katiba mpya lakini leo wakenya wamekuwa masikini kuliko enzi ya utawala wa Rais Moi na Ufisadi umezidi kuwa mbaya sana. Tundu Lissu katika kampeni zake ameipa somo zuri sana CCM na nategemea CCM itafanyia kazi. President Magufuli still is the best for this country
[/QUOTE
Lkn haiondoi udikteta wa Moi kwani moi hana sifa za udikteta? Moi ameua watu wengi tu kila mtu anajua hata yeye siku chache kabla ya kwenda kuzimu alikiri.Nchi zote za afrika baada ya Uhuru miaka ya mwanzo mwanzo zilikuwa na uchumi mzuri tu ni baada ya kuachiwa pesa na vitegauchumi na wakoloni hata Nyerere aliachiwa Mali nyingi Sana na wakoloni suala la kuwa masikini wakulaumiwa ni sisi waafrika kwa sera zetu mbovu na sio kuwalaumu wengine
 
Uko sahihi kwa asilimia 100! Naweka mkazo pale unaposema Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa kwani Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi. Tumeona barua aliyoandika mwanasheria wa Lissu akimuonya JPM kwa maneno makali kama vile anamuonya mtoto wake.

Umetoa mifano ya Venezuela na Bolivia ambazo zilikuwa zikijitutumua kulinda uchumi wao. Vivyo hivyo hata kwa Iraq na Libya. Tukaambiwa viongozi wao ni madikteta. Tunajionea wenyewe 'demokrasia' iliyofuatia kuuawa kwa Saddam Hussein na Moamar Gaddafi. Watanzania tujifunze kutokana na historia hiyo.

Hakuna cha kujifunza kwa marais wakiokua wanakalia Ofisi kwa damu za watu.
Libya Tatizo lilikua halionekani mpaka wao walipouawa na kuona uchungu wa kupoteza ndugu wazazi na watoto ndio wakaanza nao kupayuka kuwa kuna mauaji!
Wakati wao walikua wanapita kuwauwaua wenzao wasio na madaraka walikua wanawaona kama Siasa na Panya lakini wao wakasahau kuwa Duniani hakuna mwanye mamlaka yote zaidi ya Mungu. Ukifanya jambo baya kwa binadamu usitaegemee kuwa salama.

Gadafi angeweza akafanya mema yake na kuwaachia wengine lakini aliamua kubadili Majengo na roho za watu huku akificha ukweli na kuwaonyesha walimwengu Yale anayodhani ni mazuri huku nyuma akiwa anazika watu wanaomkosoa.
Kwa sasa kinachoendelea kule Libya ni usawa mana waliozoea kucheka na kuwacheka wengine kwa kejeli huku wakijitangaza kuwa wao ndio wenye akili nao sasa wanalia na wanakosa pa kuweka vichwa vyao zaidi ya kujificha .

Timu iliyozoea kubebwa na Refa huku ikipata ushindi wa kubebwa siku Akitokea Refa anayechezesha kwa Haki na wakafungwa Mara nyingi wanafanya fujo uwanjani.

Hivi mfano Chadema ikashinda watavunja vipi amani ya nchi wakati wao ndio wanaotawala?
Hebu nifafafanulie hapo nijue mana hata hii amani iliyopo sio ya CCM wanaolinda mipaka ya nchi. Hakuna Rais anayekesha akilinda mipaka ya nchi zaidi ya majeshi yetu.
Ni vipi wao wakishindwa inadilike iwe vurugu. Libya Gadaff aliondolewa kwa vita na aliua sana watu hivyo watu walikua na hasira na Kundi lake lililokuwa linatumika kuua watu huku likijifanya kuwa linawapenda watu waoga.
Kumbe siku zote kila jambo baya lina mwisho wake.

Kuifananisha Tanzania na Libya ni ujinga mtupu. Utaifananisha na Libya kama mnaona kuwa kuua watu wanaomkosoa ni sawa lakini tukifuata sheria zetu wenyewe hatuna haja ya kuuana mana kila kitu kina taratibu zake.

Wakurugenzi wanaharibu uchaguzi kwa sababu ya Rushwa za fedha na vyeo. Ubinafsi wao wanaufanya kuwa ndiyo kanuni. Hawa unadhani wataacha lini hiyo tabia endapo watakua wananufaika na huo ujinga na uhuni wa makusudi ?
Matokeo yake kila mwenye nafasi ya kuwaumiza wapinzani anafanya hivyo utadhani anawafanyia wanyama.
OCD sijui RPC kila mmoja anawaza kupata umaarifu kwa kuwapiga na kuwaua wapinzani . Hiyo ndiyo amani endelevu au ni amani iliyojaa Chuki na visasi rohoni?
Unatagemea hali hiyo iendelee mpaka lini na akina nani wauawa hivyo na kupigwa tuu wao. Yani kundi kubwa LA watanzania liumizwe na kundi lingine halafu utegemee amani tuu siku zote!?
Inawezaje kuwa ndiyo maisha ya kawaida kwa kundi moja kuwaua wengine na kuwapoteza na kuwajeruhi bila hatua yoyote kuchukuliwa ?

Binadam hawezi kufanyiwa unyama wa wazi kila siku ndio maana hata yale maeneo yenye wachawi hua kuna wakati wanashughulikiwa mana watu wanachoka kulogwa tuu kila siku .

Tuwaombe wenye mamlaka wawatendee watanzania wote haki na usawa ili amani idumu.
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.
Kuua watu, kuteka, kubambikia watu makesi ndo maslahi ya Taifa???
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.
Unaakili sana we jamaa..
Ni lazima utambue kuwa Marekani ni super power of the world (Economically & Millitaryly) kwa hiyo ili iendelee ku maintain hiyo position ni lazima iendelee kuchuma mali kwa wajinga hasa nchi za Asia (zenye mafuta) na nchi za Africa (zenye madini).

Na marekani mbinu inazotumia kuchuma pale inapotaka ni mwavuli wa demokrasia, haki za binadamu na sometime inasema inawapiga magaidi (kwa nchi zenye mafuta huko Asia).

Na marekani wana sera yao wanaiita " Niunge mkono ili uishi au Nipinge ili ufe" na ndiyo maana viongozi wengi wazalendo waliowahi kuipinga marekani wamekuwa wakitafutwa kwa mbinu zote ili wafe, Mfano mzuri ni Fidel Castrol aliyewahi kuwa Rais wa Cuba,kuna Hugho Chaves amewahi kuwa Rais wa Venezuela, Muammar Gaddafi (Libya), Patrice Lumumba (Congo DRC), Robert Mugabe (Zimbabwe).

Ukifatilia historia vizuri za hao viongozi hapo juu utaona ni namna gani waliweza kukutana na nyakati ngumu kipindi cha utawala wao kisa tu walijaribu kuwa wazalendo kwa nchi zao na kuchukuia Ubepari ambao ni mfumo wa kinyonyaji sana.

Na pia unaweza ona sasa viongozi kama Nicholaus Maduro (Venezuela),Bashar Al-Asaad (Syria),Kim Jong Un (North Korea) na wengineo ambao sijawataja unaweza ona ni jinsi gani wanapitia nyakati ngumu kwenye Mamlaka zao kisa tu hawakubaliani na matakwa ya marekani.

Kwa hiyo Magufuli hawezi pendwa na marekani kwa sababu ya jinsi alivoamua kuzilinda rasilimali za Tanzania, hata ukiona marekani wana msifu magufuli basi jua ni katika unafiki tu ila ki uhalisia hawamaanishi hivo.
 
Uko sahihi kwa asilimia 100! Naweka mkazo pale unaposema Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa kwani Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi. Tumeona barua aliyoandika mwanasheria wa Lissu akimuonya JPM kwa maneno makali kama vile anamuonya mtoto wake.

Umetoa mifano ya Venezuela na Bolivia ambazo zilikuwa zikijitutumua kulinda uchumi wao. Vivyo hivyo hata kwa Iraq na Libya. Tukaambiwa viongozi wao ni madikteta. Tunajionea wenyewe 'demokrasia' iliyofuatia kuuawa kwa Saddam Hussein na Moamar Gaddafi. Watanzania tujifunze kutokana na historia hiyo.
Mafisadi wote wako CCM na ndio maana Marekani haijawahi kuwagusa. Mara nyingi wamekua wakiisifia na hata kuwapandisha Daraja kuwa wapo Uchumi wa kati wakati mamiloni ya watanzania ni maskini .

Rasilimali karibu zote unazoziona zinamilikiwa na watawala waliopo na waliopita. Mijengo yote inayoonekana na wote wanaoitwa mabilionea wana mikono ya WanaCCM.
Shule zote za Private zinamilikiea na Makada na mawaziri waliowahi kushika wizara ya Elimu.
Hapo unasemaje kuwa Marekani haiwapendi CCM.
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.
Maghufuli aweza kuwa Rais bora, tatizo lake kubwa siyo democrat . Unapofanya vizuri lakini kila siku unatunga sheria za kudhibiti na kukandamiza raia wako. Then mwisho wa siku hufai
 
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama imekuwa kero kubwa kwa hawa wa Marekani.

Namkumbuka baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani kundi la maseneta waliwasili na kujaribu kuonana na Rais Magufuli lakini hawakufanikiwa.

Tumeona huko Venazuela na Bolivia jinsi serikali za nchi hizo zillizopata misukosuko baada ya kuvunja mikataba na makampuni za kinyonyaji za Marekani.

Watanzania tuache ushabiki wa kisiasa ni Rais Magufuli pekee ambaye atatuvusha watanzania kuelekea taifa lenye uchumi imara. Hawa wa Marekani wanapenda kukumbatia viongozi mafisadi.
Uchaguzi umeshapita na mshindi tayari anajulikana ndio maana unasikia mambo mengine off the field. Vitisho kamwe havitawexa kuwa suluhisho.

Tulushstoa ushauri humu jamvini miaka mingi iliyopita kama The so called opposition wanaona tatizo ni mfumo kwanini bado kila ikifika mda wa uchaguzi wanashiriki? badala ya kugomea ili Dunia ijue???

Na kwa wale wanaodhani sanctions ni solution ya tatizo, msisahau kuwa sanctions ni double-edged sword inakata waoigakura masikini wote waliopigwa kura opoosition na waliopigia kura chama tawala. Mwisho wake hata wale waliopigis kura opposition wataanza kuwachukia kwa sababu ya mateso watakaopata kwa sababu ya sanctions.

The opposition parties must grow up waache kutegemea huruma za wafadhili, waache kufanya mambo last minutes wakati wa uchaguzi, waache kupokea makapi ya chama tawala, Membe is the latest episode ya u-naive wa opposition parties.

Mambo ya kuonyesha immaturity ya opposition parties ni mengi:
1 Kupinga hatua za kupambana na Covid-19 kwa sala
2 Kupinga kila kitu miundombinu, elimu bure, maji etc
3 kuvaa plasta mdomoni bungeni badala ya kuwa mtetezi wa kweli...
etc

Sasa hayo ndio yanatumika against them ktk uchaguzi huu na yanawakosti kweli.

Hivi ukiponga vitu kama vituo vya afya na barabara, wewe kama mgombea ubunge wa upinzani utawaambia wananchi kuwa utawaletea vitu gani??

Anyway uchaguzi uneshausha na mshindi anajulikana, oppoition parties wanatakiwa kujipanga upya kimkakati zaidi toka mapema. Waimarishe mifumo yao ikiwemo kuwa na sera zinazoeleewka vizuri na mwananchi wa kawaida.

Opposition parties waachane na mihemuko ya last minutes kuchukua makapi ya chama tawala.

Na la mwisho, opposition parties waschsna na harakati za 'activistsm' wafanye SIASA kama enzi za akina Dr Slaa.


Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
 
..Mabeberu wanapenda nchi zenye amani na viongozi walarushwa ili wazinyonye vizuri.

..Tanzania na Magufuli wanavyo vigezo nilivyovitaja hapo juu.

..Amani ikikosekana hapa Tanzania, makampuni ya madini kama Barrick hayataweza kuchimba madini.

..Pia kukiwa hakuna kiongozi fisadi kama Jiwe, Tanzania haitanunua midege tusiyoihitaji toka kwa mabeberu.

..Kwa hiyo Mabeberu kama Marekani wanapenda Tanzania iwe na amani, na zaidi iwe na kiongozi fisadi anayewapelekea mapesa ya bure kama Jiwe na miradi yake ya ununuzi wa midege[dreamliners] tusiyoihitaji.

cc Chige
Usidanganyike mkuu Marekani anapenda sana kuona nchi inakuwa failed state ili waibe mali asili mfano halisi ni huko Syria kwasasa Wamarekani wanaiba mafuta nchini humo baada ya kuanzisha vita kwa jina la demokrasia


 
Narudia tena,jinsi unavyotype tu inadhihirisha wewe ni shoga. Endelea kuliwa makalio lakini ukimatwa ndio utakuja kujua ni kosa la jinai.
Dadangu nitarudia tena na tena!!!

Nasema hivi... kama akina Humphrey Polepole ndio wanaoshobokea uchi yako, au possibly na kinyeo chako, mimi sio mtu wa vibovu kwahiyo acha shobo... you're not my type !!!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom