Kwahiyo zawadi kutoka taasisi ya uraisi ni sehemu ya stahiki kisheria?Kila level ya utumishi wa umma ina mafao na pensheni zake.
Labda ebu tuwekee hizo titles za watumishi unaosema walifanya kazi kwa uaminifu ili tuone na wao wanastahiki zipi unazotaka ziwe...!!?
Brilliant messageRais analizwa na maisha ya Rais mstaafu
Rais anamnunulia BENZI la dollar 187,000 Rais mstaafu.?
Wakati huo mwanae akiwa Rais wa Zanzibar.
Rais anahailisha mechi inayofatiliwa na watu zaidi ya million 200+ Africa kwa sababu ya kitabu cha maisha ya mtu ambaye hana tena msaada tena kwa nchi.
Rais anampa nyumba Rais aliyekaa madarakani na kuchuma pesa ndefu sana ndani ya utawala wake zikiwemo kashifa kibao za wizi wa pesa za umma kama Richmond, Escrow, Dowans na kashifa ya bomba gesi kutoka mtwara.
Rais anaagiza Rais aliyefariki madarakani stahiki zake ziwaishwe
Wakati huo bado watoto wetu wanakaa chini
Madawa hakuna kwenye zahanati
Vyumba vya madarasa havitoshi
Walimu hawatoshi
Nyumba za walimu hakuna
Madakitari na manesi hawatoshi
Barabara nyingi bado hazipitiki
Huduma ya maji na umeme bado duni
Hakika nawaambia ccm hii laana itawatafuna kwa miaka mingi ijayo Baba wa taifa na familia yake ndiye alitakiwa kuenziwa kwa vitendo maana yeye hakuiba pesa kama waliomfuata.
Kama nchi tumepotea.
umetokwa povu bila sababu za msingi kiongozi.Wewe huna akili...
Utaratibu wa kuhakikisha tunawajali marais wastaafu unapunguza pressure za kuwafanya
'wajijali wenyewe wanapokuwa madarakani'
Faida yake ni kubwa kuliko unavyofikiri..
Halafu huu utaratibu haukuanzishwa na Samia..
Simu Ile ya msiba Kikwete alisema Magufuli alishamwambia nyumba yake iko tayari
Wanasubiri tarehe ya kumkabidhi..
Kwa yote aliyoyafanya Mwinyi nchi hii
Mpumbavu peke yake ndo anaweza sema
'hana faida tena na nchi'..
Jitu kama wewe lisilo na shukran za sacrifices
Walizofanya watu kama Mzee Ruksa Kwa nchi hii ndo jitu lisilo na faida
Nilitaka kukutukana sanaHivi toka Samia ameingia Madarakani Miezi 2 sasa kashazindua mradi wowote?
Pesa alizochota kikwete bado unamjengea nyumba ya nini?
Wewe una akili.
tumwombee marehemu apumzike.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na bado!
Si ulikuwa unademkia humu huku ukijifanya unamkomoa marehemu?
Mpaka 2025 mtaona rangi zote!
Mkuu weka kumbukumbu sawa..suala la nyumba ya JK alilimaliza mwenyewe Magufuli tena live kwenye Tv. Wewe ulikuwa wapi..Kwahiyo wote tu-flow na wewe sababu hukuona ?!? Ongelea lingine sio la nyumba.Hivi toka Samia ameingia Madarakani Miezi 2 sasa kashazindua mradi wowote?
Pesa alizochota kikwete bado unamjengea nyumba ya nini?
Wewe una akili.
Hizi sheria zilivyokaa utajua tu zilipitishwa na Bunge utopolo lenye wengi ccm... hata wakoloni haya mambo hawakufanta... ni utopolo mtupu kuendelea kuwapa nyumba wastaafu... mishara yao na marupurupu yote wanafanyia nini? Maana hata kuhonga nyumba ndogo hawawezi labda kama wanatumia viagra...hayo yote yapo kisheria..
na siyo Mama samia..
Ndugu hujafanya upembuzi yakinifu au umeongozwa na hisia kutoa hitimisho.
Marais wastaafu tulionao ni wawili tu. Itakuaje Rais awasahau wananchi 50M+ na kuwakumbuka hao 2 tu? Your argument does not make sense.
'Benzi moja, nyumba 2' marais wawili iwe mjadala kweli.
Ungeongelea suala la safari walau lina elements za objectivity.
kwahiyo unatakakusema hizo siku 53 alizokaa madalakani ameweza kujenga nyumba na kumalizika?Hivi toka Samia ameingia Madarakani Miezi 2 sasa kashazindua mradi wowote?
Pesa alizochota kikwete bado unamjengea nyumba ya nini?
Wewe una akili.
Unachosema ninakubaliana nacho 100%Rais analizwa na maisha ya Rais mstaafu
Rais anamnunulia BENZI la dollar 187,000 Rais mstaafu.?
Wakati huo mwanae akiwa Rais wa Zanzibar.
Rais anahailisha mechi inayofatiliwa na watu zaidi ya million 200+ Africa kwa sababu ya kitabu cha maisha ya mtu ambaye hana tena msaada tena kwa nchi.
Rais anampa nyumba Rais aliyekaa madarakani na kuchuma pesa ndefu sana ndani ya utawala wake zikiwemo kashifa kibao za wizi wa pesa za umma kama Richmond, Escrow, Dowans na kashifa ya bomba gesi kutoka mtwara.
Rais anaagiza Rais aliyefariki madarakani stahiki zake ziwaishwe
Wakati huo bado watoto wetu wanakaa chini
Madawa hakuna kwenye zahanati
Vyumba vya madarasa havitoshi
Walimu hawatoshi
Nyumba za walimu hakuna
Madakitari na manesi hawatoshi
Barabara nyingi bado hazipitiki
Huduma ya maji na umeme bado duni
Hakika nawaambia ccm hii laana itawatafuna kwa miaka mingi ijayo Baba wa taifa na familia yake ndiye alitakiwa kuenziwa kwa vitendo maana yeye hakuiba pesa kama waliomfuata.
Kama nchi tumepotea.
Watoto wa juzi hawa 2003 hawawezi kuelewa hussle za washua enzi za unga wa Yanga!π€π€π€Wewe huna akili...
Utaratibu wa kuhakikisha tunawajali marais wastaafu unapunguza pressure za kuwafanya
'wajijali wenyewe wanapokuwa madarakani'
Faida yake ni kubwa kuliko unavyofikiri..
Halafu huu utaratibu haukuanzishwa na Samia..
Simu Ile ya msiba Kikwete alisema Magufuli alishamwambia nyumba yake iko tayari
Wanasubiri tarehe ya kumkabidhi..
Kwa yote aliyoyafanya Mwinyi nchi hii
Mpumbavu peke yake ndo anaweza sema
'hana faida tena na nchi'..
Jitu kama wewe lisilo na shukran za sacrifices
Walizofanya watu kama Mzee Ruksa Kwa nchi hii ndo jitu lisilo na faida
kwahiyo unatakakusema hizo siku 53 alizokaa madalakani ameweza kujenga nyumba na kumalizika?
unashindwa hatakufikilia kakitu kadogo hivyo mkuu!!
Naona kilevi kimechanganywa na magadi! Akili zinarejea kwa kasi kila mtu anatapika shombo la gongo πΈπΈπΈMuda unavyokwenda watanzania ulevi wa kusifu na kuabudu unaanza kuisha soon mtaanza kugundua huyu si yule tunaemngoja
Unaumia kiukweli au ni wivu tu kwa Mzee Mwinyi kununuliwa zawadi ya Benzi ambalo pengine huna na hutokaa ulipate.tumwombee marehemu apumzike.
alitabiri tutamkumbuka akidhani itachukua miaka kadhaa,ila dalili zinavyoonyesha hata miezi 5 inaweza isiishe[emoji23][emoji23][emoji23].
kwakweli sipendi mama akosee,naumia mnoo,lakini ndio upande aliouchagua.nabaki naumia tu.
Huna akili, na huna unachojua zaidi ya kujaza kande kichwani
#mama Samia kanyaga twende# kazi iendelee#
huyo mleta mada ni polepole,tangu mwendazake ajiondokee anaogopa kujitokeza hadhalani, alitetea sana ujinga alifikili mungu sawa na athumani.Kama hajajenga kwa nini apata lawama, kwa nini haya hayakusemwa kabla? Pia mleta hoja hajaleta recommendation(s) nini kifanyike kama kweli nia yake ni kujenga na sio kulaumu
Kama walifanya Sacrifice ni kwa sababu waliomba hiyo kazi na tulikuwa tunawalipa, tena hata kodi tulikuwa hatuwatozi!Wewe huna akili...
Utaratibu wa kuhakikisha tunawajali marais wastaafu unapunguza pressure za kuwafanya
'wajijali wenyewe wanapokuwa madarakani'
Faida yake ni kubwa kuliko unavyofikiri..
Halafu huu utaratibu haukuanzishwa na Samia..
Simu Ile ya msiba Kikwete alisema Magufuli alishamwambia nyumba yake iko tayari
Wanasubiri tarehe ya kumkabidhi..
Kwa yote aliyoyafanya Mwinyi nchi hii
Mpumbavu peke yake ndo anaweza sema
'hana faida tena na nchi'..
Jitu kama wewe lisilo na shukran za sacrifices
Walizofanya watu kama Mzee Ruksa Kwa nchi hii ndo jitu lisilo na faida
Umemuelewa alichoandika? Hiyo nyumba kajenga Mh. Samia?Hivi toka Samia ameingia Madarakani Miezi 2 sasa kashazindua mradi wowote?
Pesa alizochota kikwete bado unamjengea nyumba ya nini?
Wewe una akili.