Walishazoea harufu ya mikojo perfume awazitaki tenaMuda unavyokwenda watanzania ulevi wa kusifu na kuabudu unaanza kuisha soon mtaanza kugundua huyu si yule tunaemngoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walishazoea harufu ya mikojo perfume awazitaki tenaMuda unavyokwenda watanzania ulevi wa kusifu na kuabudu unaanza kuisha soon mtaanza kugundua huyu si yule tunaemngoja
Kipindi kile hakuna viatu, nguo mpya bali kilaka kipya, hakuna cha dela bali kaniki, sukari gulu, sabuni za mipapai, nguo za mitumba ni dili za misaada kutoka kwa missionaries,kupiga simu hadi usafiri kwenda Posta wakati mwingine mtandao hakuna.Watoto wa juzi hawa 2003 hawawezi kuelewa hussle za washua enzi za unga wa Yanga!🤓🤓🤓
Tatizo anataka kujifanya analifurahisha hili genge la mitandaoni hapo ndio atafelitumwombee marehemu apumzike.
alitabiri tutamkumbuka akidhani itachukua miaka kadhaa,ila dalili zinavyoonyesha hata miezi 5 inaweza isiishe[emoji23][emoji23][emoji23].
kwakweli sipendi mama akosee,naumia mnoo,lakini ndio upande aliouchagua.nabaki naumia tu.
Halafu kuna makoro wanamuona kamaKipindi kile hakuna viatu, nguo mpya bali kilaka kipya, hakuna cha dela bali kaniki, sukari gulu, sabuni za mipapai, nguo za mitumba ni dili za misaada kutoka kwa missionaries,kupiga simu hadi usafiri kwenda Posta wakati mwingine mtandao hakuna.
Mzee Mwinyi ndiye aliyetufanya tuanze kuvaa viatu na kubadilisha nguo za material mbalimbali.
Nashukuru nimeshuhudia nikiwa na akili zangu timamu kipindi Cha mwisho Cha mkapa, kipindi chote Cha kikwete, kipindi Cha magufuli, na kipindi hiki Cha Samia.
Katika vipindi vyote vya uongozi wa hao ndugu hakujawahi kukosekana ukosoaji kutoka kwa wananchi.
Nashukuru pia Mimi nimejiweka pepeni kwenye ukosoaji maana hakuta kuja kwa na kiongozi mwenye kuwawaridhisha wote katika yote ayafanyayo.
Badala yake nimekua nikiangalia kila kifanyikacho kwa jicho la kuto kukosoa ili amani ya moyo indelee kuwepo kwa kiongozi wangu.
Poleni mno wanaharakati .
namuonea wivu mzee mwinyi!!![emoji1787][emoji1787].Unaumia kiukweli au ni wivu tu kwa Mzee Mwinyi kununuliwa zawadi ya Benzi ambalo pengine huna na hutokaa ulipate.
Nilichogundua ni kuwa % kubwa ya Watanzania wamejaa wivu na unafiki wa kijinga.
Sorry just kidding [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
shauri yake,akija shtukia hawana jema kashaharibu vibaya.Tatizo anataka kujifanya analifurahisha hili genge la mitandaoni hapo ndio atafeli
Wivu tuRais analizwa na maisha ya Rais mstaafu
Rais anamnunulia BENZI la dollar 187,000 Rais mstaafu.?
Wakati huo mwanae akiwa Rais wa Zanzibar.
Rais anahailisha mechi inayofatiliwa na watu zaidi ya million 200+ Africa kwa sababu ya kitabu cha maisha yake. Maana yake unajali MTU kuliko watu.
Rais anampa nyumba Rais aliyekaa madarakani na kuchuma pesa ndefu sana ndani ya utawala wake zikiwemo kashifa kibao za wizi wa pesa za umma kama Richmond, Escrow, Dowans na kashifa ya bomba gesi kutoka mtwara.
Rais anaagiza Rais aliyefariki madarakani stahiki zake ziwaishwe
Vipi stahiki ya watumishi wengine ambao wamefanya kazi kwa uaminifu na uzalendo lakini mpaka leo wanakanyaga mpaka sole za viatu zinaisha wakifatilia mafao NSSF.
Wakati huo bado watoto wetu wanakaa chini
Madawa hakuna kwenye zahanati
Vyumba vya madarasa havitoshi
Walimu hawatoshi
Nyumba za walimu hakuna
Madakitari na manesi hawatoshi
Barabara nyingi bado hazipitiki
Huduma ya maji na umeme bado duni
Hakika nawaambia ccm hii laana itawatafuna kwa miaka mingi ijayo Baba wa taifa na familia yake ndiye alitakiwa kuenziwa kwa vitendo maana yeye hakuiba pesa kama waliomfuata.
Kama nchi tumepotea.
Kabisa Mkuu.Halafu kuna makoro wanamuona kama
mzee Pimbi flani! Watu walipitia hussle ngumu kuliko hii aliotupitisha Jiwe!
hayo yote yapo kisheria..
na siyo Mama samia..
Nakutania tu rafiki...namuonea wivu mzee mwinyi!!![emoji1787][emoji1787].
unaandika hata vitu huvijui,vivu huoneana watu wanaoendana status ya maisha.yaani wa kumwonea wivu mzee mwinyi ni rais au kiongozi mwenzie mstaafu sio mimi.
tataizo lenu wazaramo kila kitu mnakiweka kiswahili swahili tu.
Stahiki za watumishi wengine ni pamoja na zile 50% lupmsum ambazo ******** alizozibadili akiwa amelala kitandani kwake kapunguza hadi 25%Kila level ya utumishi wa umma ina mafao na pensheni zake.
Labda ebu tuwekee hizo titles za watumishi unaosema walifanya kazi kwa uaminifu ili tuone na wao wanastahiki zipi unazotaka ziwe...!!?
Kuna watu hawajui kuwa kila kitu kina gharama. La muhimu ni kuangalia kipi kina gharama zaidi.Utaratibu wa kuhakikisha tunawajali marais wastaafu unapunguza pressure za kuwafanya
'wajijali wenyewe wanapokuwa madarakani'
Pamoja na yote, hastahili kupewa gari kama zawadi ya birth day. Hapa mama kachemka. Sijui ni nani kamuingiza chaka.Wewe huna akili...
Utaratibu wa kuhakikisha tunawajali marais wastaafu unapunguza pressure za kuwafanya
'wajijali wenyewe wanapokuwa madarakani'
Faida yake ni kubwa kuliko unavyofikiri..
Halafu huu utaratibu haukuanzishwa na Samia..
Simu Ile ya msiba Kikwete alisema Magufuli alishamwambia nyumba yake iko tayari
Wanasubiri tarehe ya kumkabidhi..
Kwa yote aliyoyafanya Mwinyi nchi hii
Mpumbavu peke yake ndo anaweza sema
'hana faida tena na nchi'..
Jitu kama wewe lisilo na shukran za sacrifices
Walizofanya watu kama Mzee Ruksa Kwa nchi hii ndo jitu lisilo na faida