Kwanini Marais wastaafu? Ni upendeleo?

Muda unavyokwenda watanzania ulevi wa kusifu na kuabudu unaanza kuisha soon mtaanza kugundua huyu si yule tunaemngoja
Walishazoea harufu ya mikojo perfume awazitaki tena
 
Watoto wa juzi hawa 2003 hawawezi kuelewa hussle za washua enzi za unga wa Yanga!🤓🤓🤓
Kipindi kile hakuna viatu, nguo mpya bali kilaka kipya, hakuna cha dela bali kaniki, sukari gulu, sabuni za mipapai, nguo za mitumba ni dili za misaada kutoka kwa missionaries,kupiga simu hadi usafiri kwenda Posta wakati mwingine mtandao hakuna.
Mzee Mwinyi ndiye aliyetufanya tuanze kuvaa viatu na kubadilisha nguo za material mbalimbali.
 
Shida inaanza pale uamuzi wa jambo fulani lenye kutumia fedha ya serikali unaamuliwa tu na mtu kwa kadiri anavyojisikia nafsini mwake...

Ungewekwa tu utaratibu kwamba, wastaafu wa ngazi fulani wakiomaliza utumishi wao watatunukiwa nyumba au magari n.k.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo anataka kujifanya analifurahisha hili genge la mitandaoni hapo ndio atafeli
 
Halafu kuna makoro wanamuona kama
mzee Pimbi flani! Watu walipitia hussle ngumu kuliko hii aliotupitisha Jiwe!
 

From the pen of Martin Luther King, Jr.

1. An individual who won't die for something is not fit to live.

2. A nation or civilization that continues to produce soft-minded people purchases its own death on the installment plan.

3. We will have to repent in this generation not merely for the vitriolic words and actions of the bad people, but for the appalling silence of the good people.

4. History will have to record that the greatest tragedy of this period of social transition was not the strident clamor of the bad people, but the appalling silence of the good people.

5. The ultimate tragedy is not the oppression and cruelty by the bad people but the silence over that by the good people.

6. The hottest place in Hell is reserved for those who remain neutral in times of great moral conflict.

7.
 
namuonea wivu mzee mwinyi!!![emoji1787][emoji1787].

unaandika hata vitu huvijui,vivu huoneana watu wanaoendana status ya maisha.yaani wa kumwonea wivu mzee mwinyi ni rais au kiongozi mwenzie mstaafu sio mimi.

tataizo lenu wazaramo kila kitu mnakiweka kiswahili swahili tu.
 
Mie Naona kosa la Mama ni 'timing'. Maneno yake wiki iliyopita na matendo yake siku hizi mbili yanakinzana.
 
Wivu tu
 
Halafu kuna makoro wanamuona kama
mzee Pimbi flani! Watu walipitia hussle ngumu kuliko hii aliotupitisha Jiwe!
Kabisa Mkuu.
Wazee wetu walihussle bya hatari tena ukizingatie enzi zile za Mwalimu akipambana na vuguvugu za Ukombozi,vita vya Kagera na Harakati za Kupambana na Ubepari...
 
Ila watanzania sisi dah kiuhalisia hatueleweki tunasimama na kipi suala la CAG lilikuja na mambo makubwa zaidi ya hili la BENZ ila ndio hivyo lishapita, anyways tuendelee kulima mahindi mpaka umefunguliwa.
 
Nakutania tu rafiki...
Ni kweli sisi bado vijana tuna nguvu na akili za kusaka mali,ebu tusiichokonoe zawadi hiyo hata kama haikuwa na utaratibu tunaodhani haukuwa sawa.
Mzee Mwinyi ndiye aliyeiingiza nchi yetu katika Dunia ya leo ya utandawazi kiasi ya mimi na wewe kujibizana leo bila kuonana. 😂😂😂🌉🏢🔰🎮
 
Kila level ya utumishi wa umma ina mafao na pensheni zake.
Labda ebu tuwekee hizo titles za watumishi unaosema walifanya kazi kwa uaminifu ili tuone na wao wanastahiki zipi unazotaka ziwe...!!?
Stahiki za watumishi wengine ni pamoja na zile 50% lupmsum ambazo ******** alizozibadili akiwa amelala kitandani kwake kapunguza hadi 25%

Malalamiko haya ya watumishi mpaka leo hayajapata wa kuyatatua bado mpango wa mapunjo ya kuwalipa 25% upo.

Na ni kwa sababu raisi alikomba stahiki hizi kwa jenzi za mabarabara ni dharau ilioje

Kwa nini na wao za kwao wasiziondoe wazipangie matumizi mengine.

Kiufupi viongozi hawaakisi wanayowatendea watumishi wengine.
Ni wapumbav sana
 
..Sheria ya mafao ya viongozi wakuu wastaafu ilipitishwa na BUNGE wakati Dr.Salim Ahmed Salim ni Waziri Mkuu.

..Na ilielekezwa kwamba sheria hiyo inawatambua viongozi wakuu wastaafu waliotumikia kabla na baada ya sheria kutungwa.

..Sasa kuna wazo limenijia. Je, Alhaj Aboud Jumbe Mwinyi ambaye alikuwa Makamu wa Raisi wa JMT alipewa mafao yake kwa mujibu wa sheria hii?

..Naomba majibu toka kwa wenye uelewa wa historia yetu.

Cc Pohamba, Nguruvi3, Mohamed Said
 
Haaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Utaratibu wa kuhakikisha tunawajali marais wastaafu unapunguza pressure za kuwafanya
'wajijali wenyewe wanapokuwa madarakani'
Kuna watu hawajui kuwa kila kitu kina gharama. La muhimu ni kuangalia kipi kina gharama zaidi.

Watu hawajui gharama za kutowajali hawa wastaafu, mtu mmoja amesema vizuri, Mwinyi angeamua angekuwa kama Mobutu, na hakuna kitu tungemfanya. Hizi pesa ni peanuts ukilinganisha na kama wangeamua "kujijengea" future zao wenyewe. Kuna rafiki yangu Mkenya, huwa anacheka tu akisikia kashfa zetu za wizi; anakwambia njoo Kenya ndio utaelewa maana ya wizi.

Kutengeneza mazingira mazuri ya watu kustaafu, hasa hasa huku Afrika ni muhimu. Mtu kama Paul Kagame au Museveni sometimes inawezekana wamechoka lakini option ya kustaafu hakuna, wakiacha kiti hawana uhakika na nini kitawakuta.
 
Pamoja na yote, hastahili kupewa gari kama zawadi ya birth day. Hapa mama kachemka. Sijui ni nani kamuingiza chaka.

Tungemuelewa wote kama hiyo gari wangempatia kuitumia lakini bado ikiwa ni mali ya serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…