goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,149
Polisi ni kulinda jamii na watu wake.
Lakini jeshi ni kulinda nchi na watu wake.
Na pia rais ni mkubwa ndio anaongoza nchi kwa hiyo ni lazima awe na ulinzi wa uhakika ambalo ni jeshi la wananchi, kwa tanzania tunaita ( JWTZ )
Hata nchi zingine marais hulindwa na wanajeshi.
Lakini jeshi ni kulinda nchi na watu wake.
Na pia rais ni mkubwa ndio anaongoza nchi kwa hiyo ni lazima awe na ulinzi wa uhakika ambalo ni jeshi la wananchi, kwa tanzania tunaita ( JWTZ )
Hata nchi zingine marais hulindwa na wanajeshi.