Kwanini marais wetu wanalindwa na JWTZ badala ya Polisi?

Kwanini marais wetu wanalindwa na JWTZ badala ya Polisi?

mimi bwana likanda kwa upeo wangu huu wa memkwa ni kwamba bara la africa tuna nchi 54 nchi ambazo uchaguzi unafanyika kwa haki hazifiki hata 2 sasa kwa mtindo huo wanaweka ulinzi wa hatari ili kuwalinda hawa wafalme yaani wizi ni tabia iliyokubuhu africa
WEWE VIPI?
 
Kuna action moja niliona kwa wenzetu jamaa walikuwa wanaweka ulinzi kwa ajiri ya raisi gafla mlinzi mmoja akaona panzia ktk chumba kimoja cha hotel ya ghorofa limecheza,ikabidi amwambie jamaa wa kwenye computer room kuw anamashaka na kile chumba yule jamaa aka scan kile chumba akaona watu wanafany tu mapenzi ikabidi amwambie jamaa kupo fresh wala asiwe na wasiwasi.technologia kama izo sisi huku hatuna
Mkuu uwezi kuambiwa au kujua kama ipo au aipo.....

Ila ni juzi tu Msanvu alipopita Raisi kuna jamaa alikua anakula mishikaki, alipifika Raisi, akaenda na spoki mbili mkononi kwenye mkutano, gafla akaja jamaa akamuuliza Ww ni nani na spoku hizo za nini!? Jamaa akajibu nimetoka kula mishikaki, basi yule ofsa akanusa mikono ya jamaa, akamwambia tupa izo spoku, kisha akabofya akatoa taarifa kua ni raia mwema.......

Mkuu Uspime Sumu kwa kuilamba......!
 
Tz sijaona ulinzi wa Rais!!

Huenda wanamlinda against raia wakawaida kama mm ila wale mafia wa Afhaghadtan, Somalia, Iraq, Syria, nk sijaona chochote hapo hata wavae gwanda za tope!

JPM KAMATA WEZI
 
Yule nyuma yake mwenye sare sio mlinzi ni mpambe wa rais.

Walinzi ni wale watu wa usalama wenye suti na polisi ffu pembeni yao.

Nadhani muuliza swali hamaanishi yule. Anataka kujua why ule msitu wa masoja kwa mfano siku ile Pombe ameenda Kirumba mwanza au Sabasaba. Mimi sijui jibu ila nadhani watu wa karibu na Rais hawana imani kabisa na polisi wetu, ukichukulia the way wanavyouawa hovyo kwenye ambushes mbalimbali.
 
Nadhani muuliza swali hamaanishi yule. Anataka kujua why ule msitu wa masoja kwa mfano siku ile Pombe ameenda Kirumba mwanza au Sabasaba. Mimi sijui jibu ila nadhani watu wa karibu na Rais hawana imani kabisa na polisi wetu, ukichukulia the way wanavyouawa hovyo kwenye ambushes mbalimbali.
Mbona hata wale sio wanajeshi wa jwtz.

Mwanajeshi pale ni mmoja tu,wale waliovalia kombat nyeusi ni watu wa tiss.

Polisi wapo siku zote pale ikulu,mpaka kwenye msafara ni wale ffu,kufa kwao ktk ambushi hakuhusiani kabisa na ulinzi wa rais.
 
Kuna action moja niliona kwa wenzetu jamaa walikuwa wanaweka ulinzi kwa ajiri ya raisi gafla mlinzi mmoja akaona panzia ktk chumba kimoja cha hotel ya ghorofa limecheza,ikabidi amwambie jamaa wa kwenye computer room kuw anamashaka na kile chumba yule jamaa aka scan kile chumba akaona watu wanafany tu mapenzi ikabidi amwambie jamaa kupo fresh wala asiwe na wasiwasi.technologia kama izo sisi huku hatuna
Dah na hapo inabid uwe good observe mzuri sana Kama mlinzi wa raisi
 
Mkuu uwezi kuambiwa au kujua kama ipo au aipo.....

Ila ni juzi tu Msanvu alipopita Raisi kuna jamaa alikua anakula mishikaki, alipifika Raisi, akaenda na spoki mbili mkononi kwenye mkutano, gafla akaja jamaa akamuuliza Ww ni nani na spoku hizo za nini!? Jamaa akajibu nimetoka kula mishikaki, basi yule ofsa akanusa mikono ya jamaa, akamwambia tupa izo spoku, kisha akabofya akatoa taarifa kua ni raia mwema.......

Mkuu Uspime Sumu kwa kuilamba......!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbe haifai hata kwenda na pini anapohutubia Rais nilikuwa sijuw
 
Kuna action moja niliona kwa wenzetu jamaa walikuwa wanaweka ulinzi kwa ajiri ya raisi gafla mlinzi mmoja akaona panzia ktk chumba kimoja cha hotel ya ghorofa limecheza,ikabidi amwambie jamaa wa kwenye computer room kuw anamashaka na kile chumba yule jamaa aka scan kile chumba akaona watu wanafany tu mapenzi ikabidi amwambie jamaa kupo fresh wala asiwe na wasiwasi.technologia kama izo sisi huku hatuna
[emoji15] [emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hata wale sio wanajeshi wa jwtz.

Mwanajeshi pale ni mmoja tu,wale waliovalia kombat nyeusi ni watu wa tiss.

Polisi wapo siku zote pale ikulu,mpaka kwenye msafara ni wale ffu,kufa kwao ktk ambushi hakuhusiani kabisa na ulinzi wa rais.
Don't judge the book by looking the cover.

Bora utulie tu ndugu.
 
Back
Top Bottom