Kwanini Marehemu Faustine Ndugulile alienda kusoma sheria (LL.B), wakati tayari alikuwa ni Daktari (MD)?

Kwanini Marehemu Faustine Ndugulile alienda kusoma sheria (LL.B), wakati tayari alikuwa ni Daktari (MD)?

It would have been easier kusema umesoma business studies.

Hapo utasoma modules za business law, maswala ya busuness formation. Legal implications za sole trader, partnership, corporates (limited and unlimited companies).

Utasoma Tort, utasoma contract law na aspects za accounting; hizo ni kwa ajili ya management. Uwezi soma mambo ya insurance kwenye business studies (that’s pure finance).

Ukitaka kuwa mwanasheria; utasoma LLM kujua principles za sheria.

Lakini LLM aikufanyi kuwa mwanasheria, unahitaji kufuata processes zingine za kazi na professional qualification ili uwe mwanasheria (walau kwa taratibu za kijijini kwetu). Hata ukiitimu utakuwa specialised kwenye maswala ya biashara tu.
Nashukuru sana Ila ni three years si ndiyo
 
Ivi watu sijui mnawazaje ,yaani shida yetu tunajua kuwa mke navyowaza na wewe unawaza ivyo ivyo.
Yaani kwenye FIkra,mawazo,akili yaani humo ndani kichwani mwetu namna ya algos zinavyo run ziko tofauti Kama hata kwa nje tunavyotofuatiana.

Mbona mtu anaoa wake watano ama kumi


Huyu anafungua hardware wakati tayAri anayo vinywaji

Huyu anakunywa konyagi wakati tayAri anakunywa bia.

Huyu anafuga kuku wakati tayAri anao ng'ombe wengi mno.
Huyu ananua Coaster wakati anayo mabasi mengi .
Huyu anatengeneza Azam pesa na wakati anauza chapati na barafu.

We're only living within our own mindset, mind frame or mental fram structures.

Yaani your own mind is only limitation.
Ukiacha mind yako ikufunge uwe gerezani basi utakuwa gerezani
Bahati mbaya Mhusika alishafariki! Sijui nani atamjibu sasa!
 
Habari Wakuu!

Katika mapitio yangu ya CV za watu mashahuri Nchini, Week kadhaa nyuma nilipata wasaa wa kupitia CV ya the Late Hon. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa WHO kanda ya Africa.

Hivyo swali langu nilitamani kufahamu umuhimu wa MD kusomea degree ya sheria ilihali tayari yeye ni specialist kwenye Afya.

View attachment 3176412
Mbona Mimi nilienda kusoma Education na nna LLB?
 
Mtoa mada ana hoja ya msingi kama shida ilikuwa ni kujua Sheria za nchi si angesoma vitabu tu
 
kwa kifupi maandishi yako ni ujinga.

Hiyo elimu yako haina faida kwenye mission/objectives za serikali inayojitambua,

Ni culture issues tu za watanzania.

LLB ya Ndugulile haiwezi kuwa na faida nje ya afya, uwezi soma sheria kwa mwaka mmoja kwa upana wake.

Acheni na hizi fikra kudhani mtu ana shahada fulani basi ana akili sana.

Kutokana na background yake ya elimu, hakuna kitu ambacho Ndugulile angeweza kisheria nje ya shahada yake ya kwanza.

Unadhani law ni discipline ndogo.
Hiyo ya kuwa amesoma mwaka mmoja umeitoa wap??
 
You are not going to choose a legal field kwa kusoma LLB.

A lawyers studies a range of topics on his first degree.

LLB teaches you legal arguments only.

Ndani ya mwaka mmoja uwezi soma criminal law, administration law, business law, environmental law, oil and gas law; etc.

Ni kwa akili zako ndogo ndio unadhani LLB inakufanya kuwa general lawyer. For that unahitaji walau first degree ya sheria (undergraduate) law degree.

Unaandika maelezo mengi ujinga mtupu, uelewi hata; what people learn at each level.
Wapi wameandika amesoma LL.B mwaka mmoja??

mbona mnajivuruga sana
 
Unaniwekea maneno.

Hoja ilikuwa viongozi wa WHO particularly kwa upande wa Africa wanatakeleza sera za wazungu.

Sasa huko kwa wazungu asilimia kubwa ni wataalamu weupe.

As far as the world is concerned Kiranga mżawa wa Tanzania angekuwa mwajiliwq wa US federal health expert na elimu yake imetumika kuupa mtazamo WHO. Dunia itajua hiyo ni akili ya wazungu (that’s just to simply matters).
Hiyo dhana ya "mzungu" yenyewe ni ujinga mtupu.

Unasema "mzungu" wewe ngumbaru muafrika.

Katika hao unaowaita wazungu wenyewe wamegawanyika vibaya sana na hawakubaliani.

Na tukianza kuchambua "mzungu" ni nani, factually, objectively, hatutamaliza huo mjadala.

Na WHO ni taasisi ya UN, si ya wazungu.

Acha ungumbaru.
 
Hahaha hata mimi nimemshangaa, hiyo ya kusoma mwaka mmoja sijui aliambiwa na nani, sababu ilitunikiwe degree ya sheria si chini ya miaka 3.
 
Back
Top Bottom