Kwanini Marekani imewazidi Mexico kwa mbali sana tofauti na Ujerumani inavyotaka kulingana na Ufaransa ilhali hizo zote sio nchi za ndani ya Afrika?

Kwanini Marekani imewazidi Mexico kwa mbali sana tofauti na Ujerumani inavyotaka kulingana na Ufaransa ilhali hizo zote sio nchi za ndani ya Afrika?

Ila kuna watoto wakali Mexico. Hao Hispanics Latinos mixture ya wahispania na natives Indians yani huo ukanda wote wa central America Honduras, Panama, Elsalvador, Costa Rica, Nicaragua ni hatarii signorita.

Wahamiaji kutoka uhispania waliwabaka sana natives Indians na kuzaa nao baadaye wakachanyikana ndio hao Latinos/hispanics

JESUS help us
Hao wore uliowataja wana Negro DNA hujui hilo.Hats Hispania yenyewe wana African DNA and Arab DNA ndio maana Hispanian are not whites like UK.Ukiona mismbwanda, mihips ujue mbantu yumo.Do research kama huta amini.
 
Mexico sio wazungu
na kuwa mweupe haimaanishi wewe utakuwa sawasawa kimaendeleo na marekani.
Na kuwa karibu na marekani haimanishi utakuwa sawasawa na marekani na ndio maana mexico hawapo sawa na marekani.

Mbona wapemba weupe nao wamewazidi nini wazungu?
Au unataka kusema hakuna waafrika weupe?
 
kuwa mweupe haimaanishi wewe utakuwa sawasawa kimaendeleo na marekani.
Na kuwa karibu na marekani haimanishi utakuwa sawasawa na marekani na ndio maana mexico hawapo sawa na marekani.
Nimehoji mentality ya baadhi ya watanzania wanaoamini ya kwamba ukiwa karibu sana na wazungu ndio kichocheo kikubwa cha maendeleo
 
Mbona wapemba weupe nao wamewazidi nini wazungu?
Au unataka kusema hakuna waafrika weupe?
Mkuu, mimi sizungumzii ethnicity mbona unakuwa mgumu sana kuelewa?

Hata kama Mexico ingekuwa imejaa wahaya watupu kwanini imepigwa gape kuwa sana na USA wakati watu wanaamini kukaa karibu na mzungu ndio maendeleo yanakuja kwa haraka kama Ufaransa alivyokaa na Ujerumani?
 
Kuna Caucasians Negros Latinos Polynesians etc etc
Hizi ni "ethnicities" lakini rangi (complexion) ni weupe na weusi. Au siku hizi kuna watu wana rangi ya kijani, njano na blue hapa duniani?
 
Ndugu infantry unaposema mzungu una maanisha nini mkazi wa ulaya , marekani au mtu yeyote mweupe mana mexico ni Ma-latina
 
Tofautisho kati ya latino( Hispanics) na pure whites aka mabeberu.
Mkuu, hata kama Mexico wangekuwa wanakaa wamakonde watupu ila mimi ninazungumzia kasumba ya baadhi ya watu wanaoamini kwamba masikini kukaa karibu na mzungu ndio kupata mafanikio makubwa ya uchumi.
 
Back
Top Bottom