Mkuu jibu lako ni zuri tuu.Nililenga kuifundisha jamii yetu kujithamini.Nilikuwa nakuunga mkono kiaina.Sipo humu jamiiforums ili nifurahishe kila mtu mkuu. Samahani kama jibu langu litakukwaza...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu jibu lako ni zuri tuu.Nililenga kuifundisha jamii yetu kujithamini.Nilikuwa nakuunga mkono kiaina.Sipo humu jamiiforums ili nifurahishe kila mtu mkuu. Samahani kama jibu langu litakukwaza...
Usiwe unaangalia movie kama zile, utakuwa katiliMexico wale ni masai weupe waliostaarabika.Cheki movie ya APOCALYPTO
Kwanini mkuu? Mbona ime movie ni ya kawaida sana mzee baba...!!!!Usiwe unaangalia movie kama zile, utakuwa katili
Hao wore uliowataja wana Negro DNA hujui hilo.Hats Hispania yenyewe wana African DNA and Arab DNA ndio maana Hispanian are not whites like UK.Ukiona mismbwanda, mihips ujue mbantu yumo.Do research kama huta amini.Ila kuna watoto wakali Mexico. Hao Hispanics Latinos mixture ya wahispania na natives Indians yani huo ukanda wote wa central America Honduras, Panama, Elsalvador, Costa Rica, Nicaragua ni hatarii signorita.
Wahamiaji kutoka uhispania waliwabaka sana natives Indians na kuzaa nao baadaye wakachanyikana ndio hao Latinos/hispanics
JESUS help us
They are whites, sasa sijui kwa kiswahili sanifu tunasemaje hii statement...Mexico sio wazungu
Mexico ni sio weupe. Ni latinosWao ni weupe na ndio lengo la mada hii
They are whites, sasa sijui kwa kiswahili sanifu tunasemaje hii statement...
Nimehoji mentality ya baadhi ya watanzania wanaoamini ya kwamba ukiwa karibu sana na wazungu ndio kichocheo kikubwa cha maendeleokuwa mweupe haimaanishi wewe utakuwa sawasawa kimaendeleo na marekani.
Na kuwa karibu na marekani haimanishi utakuwa sawasawa na marekani na ndio maana mexico hawapo sawa na marekani.
Mkuu, mimi sizungumzii ethnicity mbona unakuwa mgumu sana kuelewa?Mbona wapemba weupe nao wamewazidi nini wazungu?
Au unataka kusema hakuna waafrika weupe?
Kwani mimi nimekataa kuwa hakuna wamburu weupe?ukianza kuita binadamu weupe basi hata dada zetu wa kimbulu na kiiraq basi weupe..
Hizi ni "ethnicities" lakini rangi (complexion) ni weupe na weusi. Au siku hizi kuna watu wana rangi ya kijani, njano na blue hapa duniani?Kuna Caucasians Negros Latinos Polynesians etc etc
Sawa mkuuUkiishi Marekani ama Canada utaweza kugundua hizi tofauti.
Kwa mtazamo huu una maana mjapani ... mchina ... mrangi... mhindi ... mwarabu kwako wewe ni mzungu ( whites) je huu umewahi kuona ukitumiwa wapiHizi ni "ethnicities" lakini rangi (complexion) ni weupe na weusi. Au siku hizi kuna watu wana rangi ya kijani, njano na blue hapa duniani?
Naona mkuu leo kidogo ameyumbaUkizitaka pisi za hivo pia nenda PUERTO RICO
Hawa ni weupe (Whites)Kwa mtazamo huu una maana mjapani ... mchina ... mrangi... mhindi ... mwarabu kwako wewe ni mzungu ( whites)
Ninazungumzia a white personNdugu infantry unaposema mzungu una maanisha nini mkazi wa ulaya , marekani au mtu yeyote mweupe mana mexico ni Ma-latina
Mkuu, hata kama Mexico wangekuwa wanakaa wamakonde watupu ila mimi ninazungumzia kasumba ya baadhi ya watu wanaoamini kwamba masikini kukaa karibu na mzungu ndio kupata mafanikio makubwa ya uchumi.Tofautisho kati ya latino( Hispanics) na pure whites aka mabeberu.