Huyu jamaa hata wamisri atawaita wazungu.Mexico Sio Nchi ya Wazungu, wala Raia wake sio Wazungu...
Na hawapendi kabisa kuchanganywa na kuitwa Wazungu!
Na wala hawawapendi Wazungu coz wao sio Wazungu!
Ukweli n kwamba ukiwa karibu na wenye maendeleo na ww huwezi baki nyuma, iyo kuwa sawa nao n mipango ya mtu na mtu , ila ni kwamba huwez baki pale pale kama mwanzo, pia haimaanishi kuwa ww peke ako hutaweza pambana, ila at least ukiwa nao kuna msukumo na ushirika unaweza upata.Nimehoji mentality ya baadhi ya watanzania wanaoamini ya kwamba ukiwa karibu sana na wazungu ndio kichocheo kikubwa cha maendeleo
Ungejua hiyo Latino imetoka wapi usingeandiko hayo uliyoyaandika.Tafuta Kwanza habari Christopher Columbus nakisiwa cha Hispaniola.Wamexico ni Latin America, wenyewe hujiita Latino....!
Latino inatokana na Latin kwa maana mataifa yenye asili ya Lugua ya Kiilatin yaan Spain,Portugal na Italy ndo yalitawala nchi nyingi kuanzia Mexico hadi Argentina.Lugha zao zilitokana na lugha ya kilatin na ndo maana Amerika ya kusini huitwa Latin America.Wenyeji wa maeneo hayo Ni viumbe waliotoweka kwa kuuliwa makusudi na wavamizi ,magonjwa ,mazingira magumu ya kazi nk.Latino ni kama kabila tu ndani ya Mexico ni kama useme wamakonde au wachagga ndani ya Tanzania.
Wanasema kuwa ukiwa karibu na walioendelea na wewe utaendeleaUkweli n kwamba ukiwa karibu na wenye maendeleo na ww huwezi baki nyuma, iyo kuwa sawa nao n mipango ya mtu na mtu , ila ni kwamba huwez baki pale pale kama mwanzo, pia haimaanishi kuwa ww peke ako hutaweza pambana, ila at least ukiwa nao kuna msukumo na ushirika unaweza upata.
Anakupa facts kama zilivyo sio anajifanya mjuajiKujifanya mjuaji sana hakukupeleki popote mkuu. Sasa wewe chukua hao Latino kisha nenda nao Mbagala alafu kawaambie watu kuwa hawa sio watu weupe kama haujapigwa mawe...
Mkuu unakaza ubongo tu ila Mkuu Tanganyika yupo sawa kabisa. Hao walatino ni "weupe" lakini wapo katika Race ipi? Maana hata wambulu ni weupe pia lakini katika Races ni blacks.Sasa wewe chukua hao Latino kisha nenda nao Mbagala alafu kawaambie watu kuwa hawa sio watu weupe kama haujapigwa mawe...
Swali la msingi ni kwamba;Mkuu unakaza ubongo tu ila Mkuu Tanganyika yupo sawa kabisa. Hao walatino ni "weupe" lakini wapo katika Race ipi? Maana hata wambulu ni weupe pia lakini katika Races ni blacks.
Kwanini anajibu vitu ambavyo sijauliza? Kama ana maswali yake kichwani basi ni vema kama ataanzisha mada ya hayo maswali husika mkuu.Anakupa facts kama zilivyo sio anajifanya mjuaji
Mbona Ujerumani na Ufaransa hamuwaongelei mnang'ang'ania tu hao Mexico?Huyu jamaa hata wamisri atawaita wazungu.
Sawa mkuu...Ukweli n kwamba ukiwa karibu na wenye maendeleo na ww huwezi baki nyuma, iyo kuwa sawa nao n mipango ya mtu na mtu , ila ni kwamba huwez baki pale pale kama mwanzo,
Okay, I see...Latino inatokana na Latin kwa maana mataifa yenye asili ya Lugua ya Kiilatin yaan Spain,Portugal na Italy ndo yalitawala nchi nyingi kuanzia Mexico hadi Argentina.Lugha zao zilitokana na lugha ya kilatin na ndo maana Amerika ya kusini huitwa Latin America.
Hiyo G120 uanzishe wewe na nani?Mkuu, hizo Gs wala zisikuchanganye sana mara sijui G5 tena G25, mbona hata tukianzisha G120 na sisi Tanzania tutakuwepo.
Mimi na weweHiyo G120 uanzishe wewe na nani?
Tunawapenda wamexico. Wao ni hispanics, hawanaga makuuWao ni weupe na ndio lengo la mada hii
Unamaanisha wewe muafrika na waaftika wenzako kamjastaarabika. Inamaana sisi wazungu tumewazidi?Mexico wale ni masai weupe waliostaarabika.Cheki movie ya APOCALYPTO
Upo sahihi mkuu, asilimia kubwa ya watu wa Mexico ni wastaarabu na waungwana sana tena wapenda dini.Tunawapenda wamexico. Wao ni hispanics, hawanaga makuu
Ukizitaka pisi za hivo pia nenda PUERTO RICO
Mexico sio wazungu
na kuwa mweupe haimaanishi wewe utakuwa sawasawa kimaendeleo na marekani.
Na kuwa karibu na marekani haimanishi utakuwa sawasawa na marekani na ndio maana mexico hawapo sawa na marekani.
Mbona wapemba weupe nao wamewazidi nini wazungu?
Au unataka kusema hakuna waafrika weupe?
MhhhWapemba weupe wana nenge.