selikali na inteligent yake hailioni hilo kwamba ni chanzo cha tatizo ? izikatae mapema ?Hiyo ni biashara endelevu, ni kama mtu akianza kutumia ARV baada ya miezi kadhaa hawezi kuacha sababu Kinga asili zinapotea mwili unaanza kutegemea ARV's(Topic nyingine), tukirudi kwenye mbolea, hizo mbolea za viwandani kuna kitu zinafanya kwenye ardhi zetu taratibu, baada ya muda fulani bila hizo mbolea ardhi yetu itakuwa haistawishi mazao, hadi uweke hizo mbolea artificial.
brightonWewe ulaya ipi mwenzetu uliposhuhudia hiyo samadi?!!
Mada nzuri sanaa nipo hapa kujifunza zaidiNimefanya utafiti katika kuongeza ufahamu kwenye mashamba ya vyakula na mazao mbalimbali yalimwayo na wazungu kitu nilicho gundua wao asilimia 100% wanatumia mborea ya samadi kutoka kwenye kinyesi cha ng'ombe,farasi na miti,pia na mabaki ya taka za majumbani hawatumii mborea za kutengeneza maabara je kwa nini sisi weusi watu wetu wanalazimishwa kutumia mborea za kutengenezwa kutoka maabala hii imekaaje ? wasomi mnao elewa mambo embu mtupe elimu katika hili asanteni
karibu sana chiefMada nzuri sanaa nipo hapa kujifunza zaidi
Mkuu wakati tukijadili haya, wanaoyaanzisha hawalali pia. Wameweza kufanikiwa sababu sehemu kubwa ya viongozi ni vibaraka. Miaka ya nyuma kulikuwa na kuku wa wiki 3 anachinjwa!?,zile tikiti za kijani zilienda wapi!?,hujagundua sokoni Sasa hivi Kuna nyanya chungu kubwa kama ngumi na hazina siku nyingi!?,pilipili mwendokasi ukiikata ni kama teargas zilikuwepo!?,mifamo ni mingi sana,tunabadilishwa vitu taratibu, watu wapo maabara wanatengeneza mbegu za mchongo. Bahati mbaya sana wasomi wetu wa kilimo wamesinzia.selikali na inteligent yake hailioni hilo kwamba ni chanzo cha tatizo ? izikatae mapema ?
Ulaya hawatumii samadi, labda vibustani vidogo, huwezi kufanya commercial farming ya 10,000 acres kwa kutumia samadi, wakulima wa ulaya hawalimi acre mbili kama bongo, wengi ni zaidi ya acre 1000Nimefanya utafiti katika kuongeza ufahamu kwenye mashamba ya vyakula na mazao mbalimbali yalimwayo na wazungu kitu nilicho gundua wao asilimia 100% wanatumia mborea ya samadi kutoka kwenye kinyesi cha ng'ombe,farasi na miti,pia na mabaki ya taka za majumbani hawatumii mborea za kutengeneza maabara je kwa nini sisi weusi watu wetu wanalazimishwa kutumia mborea za kutengenezwa kutoka maabala hii imekaaje ? wasomi mnao elewa mambo embu mtupe elimu katika hili asanteni
chief uko sahihi kabisa mimi ni mmoja ya watz ninae ishi huku kwa uchunguzi sana kutaka kuelewa mambo kuna mambo mengi sana ningelikua naweka jf ila mimi sio mtaalamu wa kuandika ila tambueni kua wasomi wetu na viongozi wetu ni zero brain ni mambulula wengi wao ila kuna mambo yakuyachukulia umakini na kujinasua kutoka kwenye malengo yao ya watu wasio itakia mema Africa tatizo viongozi na wasomi wengi ni zero brainMkuu wakati tukijadili haya, wanaoyaanzisha hawalali pia. Wameweza kufanikiwa sababu sehemu kubwa ya viongozi ni vibaraka. Miaka ya nyuma kulikuwa na kuku wa wiki 3 anachinjwa!?,zile tikiti za kijani zilienda wapi!?,hujagundua sokoni Sasa hivi Kuna nyanya chungu kubwa kama ngumi na hazina siku nyingi!?,pilipili mwendokasi ukiikata ni kama teargas zilikuwepo!?,mifamo ni mingi sana,tunabadilishwa vitu taratibu, watu wapo maabara wanatengeneza mbegu za mchongo. Bahati mbaya sana wasomi wetu wa kilimo wamesinzia.
unaongea nini wewe uko ulaya gani ? kama upo ulaya basi wewe huijui ulaya upoupo tu hujaitembe England yote uione na uhalisia wake acha ubishi nitakuleta pic utashangaa kumbe ulikua hujuiUlaya hawatumii samadi, labda vibustani vidogo, huwezi kufanya commercial farming ya 10,000 acres kwa kutumia samadi, wakulima wa ulaya hawalimi acre mbili kama bongo, wengi ni zaidi ya acre 1000
watz ujuaji na ubishi tulijaliwa we kama ulikuja ulaya kusoma ukaondoka tambua hujui kitu kuna wa tz wapo ulaya hawaijui wao wanajua maeneo wanayo ishi tu bila shaka we ni mmoja wao so hujui kitu at allUlaya hawatumii samadi, labda vibustani vidogo, huwezi kufanya commercial farming ya 10,000 acres kwa kutumia samadi, wakulima wa ulaya hawalimi acre mbili kama bongo, wengi ni zaidi ya acre 1000
Mtoa mada anasema Mbolea inatokana na Kinyesi cha wanyama, Mabaki ya vyakula (kitchen waste) na Mazao ya miti yaliyo vunda ambayo kwa Ujumla wake zote ni NyingiUlaya hawatumii samadi, labda vibustani vidogo, huwezi kufanya commercial farming ya 10,000 acres kwa kutumia samadi, wakulima wa ulaya hawalimi acre mbili kama bongo, wengi ni zaidi ya acre 1000
mkuu karibu na maoni yako pi tujifunze jamboMtoa mada anasema Mbolea inatokana na Kinyesi cha wanyama, Mabaki ya vyakula (kitchen waste) na Mazao ya miti yaliyo vunda ambayo kwa Ujumla wake zote ni Nyingi
Hii Mada ni nzuri Sana
Aah ulaya wanatumia mbolea nyeusi kumwakilisha mwafrika sisi tunatumia nyeupe kum represent mzungu!Nimefanya utafiti katika kuongeza ufahamu kwenye mashamba ya vyakula na mazao mbalimbali yalimwayo na wazungu kitu nilicho gundua wao asilimia 100% wanatumia mborea ya samadi kutoka kwenye kinyesi cha ng'ombe,farasi na miti,pia na mabaki ya taka za majumbani hawatumii mborea za kutengeneza maabara je kwa nini sisi weusi watu wetu wanalazimishwa kutumia mborea za kutengenezwa kutoka maabala hii imekaaje ? wasomi mnao elewa mambo embu mtupe elimu katika hili asanteni
Shukuran, ngoja tupate maoni ya wadaumkuu karibu na maoni yako pi tujifunze jambo
Duuh! Hii akili hapa aiseeeAah ulaya wanatumia mbolea nyeusi kumwakilisha mwafrika sisi tunatumia nyeupe kum represent mzungu!
mkuu hizo mbolea zinapangwa mashambani matani na matani afu mshine zina zitawanya katika heka zote yani kama vijijini tufanyavyo isipokua wao mashamba yao makubwa so machine za kilimo ndio hutumika kuzitawanya mbolea hizo katika kila pande ya shambaAah ulaya wanatumia mbolea nyeusi kumwakilisha mwafrika sisi tunatumia nyeupe kum represent mzungu!
Sioni tatizo hapa, binafsi niliwahi kufikiri labda watu wa ulaya mjini magari yao yawe na magurudumu meupe na sisi wa ulaya vjijini tubaki na haya magurudumu meusimkuu hizo mbolea zinapangwa mashambani matani na matani afu mshine zina zitawanya katika heka zote yani kama vijijini tufanyavyo isipokua wao mashamba yao makubwa so machine za kilimo ndio hutumika kuzitawanya mbolea hizo katika kila pande ya shamba