Kwanini mazishi ya waliokufa na ndege huko Bukoba yanagharamiwa na Serikali? Wanaokufaga na mabasi?

Kwanini mazishi ya waliokufa na ndege huko Bukoba yanagharamiwa na Serikali? Wanaokufaga na mabasi?

Wadau naomba kujua kwanini waliokufa kwa ajali ya ndege huko Bukoba jana, mazishi yao yanagharamiwa na Serikali. Mbona wanaokufa na treni, mabasi, boti hayagharamiwagi na Serikali?

Mwenye ujuzi atujuze...
Hili swali hata mimi nililifikiria muda fulani.
 
Nakumbukua walifariki kwenye Ajali ya moto, Morogoro walizikwa na Serikali, Ajali ya Mtwara, Serikali, Arusha wale watoto waligharamia na Serikali.
Kigezo kwa hawa tu ni nini? Kwanini wengine huachwa?
 
kwaiyo unataka kudai Precision ipo ligi moja na Bunda Bus Service au?
 
Mbona huwa wanagharamia mara kibao mkuu.
Ishu kubwa hapo ni siasa na kupunguza joto la vibwengo maana huchonga ngenga sana.
Hivyo badala ya ajari muanze kuzungumzia na kufatilia mazishi.

Ila kwa hili naona limefeli coz still wadau wanazungumzia ajali hasa shujaa Majaliwa(mvuvi sio Pm mzembemzembe).
So kwa hapa tusubirie tukio la kutuhamisha kifikra kama wafanyavyo.
 
Acha ujinga wa kishamba, kama ukoo wenu hakuna mwenye uwezo wa kupanda ndege basi endelea kukejeli hao waliofariki.
Tuliza tupu yako.
Naeleza sifa za waliofariki sio kukejeli,hata mm na ww tutakufa tu acha wenge.
 
Wadau naomba kujua kwanini waliokufa kwa ajali ya ndege huko Bukoba jana, mazishi yao yanagharamiwa na Serikali. Mbona wanaokufa na treni, mabasi, boti hayagharamiwagi na Serikali?

Mwenye ujuzi atujuze...
Ajali za ndege zina attract international attention kwa hivyo serekali lazima ionekane. Inawajibika hizi za mabasi ni too local
 
Kigezo kwa hawa tu ni nini? Kwanini wengine huachwa?
Mazingira ya Ajali, idadi ya wahanga, nk. Mfano watoto, watu wengi kwa pamoja nk.

Ajali zote zenye kuhusisha watu wengi Serikali hugharamia mazishi yao.
 
Leo wamekufa watoto wawili kwa ajali ya gari huko Mbeya. Mazishi yao yatagharamiwa na serikali?
 
Labda hatuna mchango wowote kwa Taifa!

Sisi tuendelee na usafiri wetu wa mabasi na pantoni.
 
Wadau naomba kujua kwanini waliokufa kwa ajali ya ndege huko Bukoba jana, mazishi yao yanagharamiwa na Serikali. Mbona wanaokufa na treni, mabasi, boti hayagharamiwagi na Serikali?

Mwenye ujuzi atujuze...
Mbona huulizi kwanini serikali hainunui mabasi ya abiria ila inanunua ndege?
 
Back
Top Bottom