Kwanini mazishi ya waliokufa na ndege huko Bukoba yanagharamiwa na Serikali? Wanaokufaga na mabasi?

Kwanini mazishi ya waliokufa na ndege huko Bukoba yanagharamiwa na Serikali? Wanaokufaga na mabasi?

Wadau naomba kujua kwanini waliokufa kwa ajali ya ndege huko Bukoba jana, mazishi yao yanagharamiwa na Serikali. Mbona wanaokufa na treni, mabasi, boti hayagharamiwagi na Serikali?

Mwenye ujuzi atujuze...
Politics
 
Ajali za ndege ni nadra sana hivyo kuna public attention.Ajali za magari ni kila mara just simple logic.
Na ujue ajali ya ndege inagusa hadi mataifa ya nje hii habari unaweza kuta imeandikwa na mataifa hata makubwa.
Lakini basi la Kitengule linaongelewa kitaifa tu.
Zaidi ya yote mashirika yanayotengeneza hizi ndege na yenyewe yanahaha kujaribu kuona kama kuna hitlafu warekebishe.
Serikali ya Ufaransa itatuma timu ya wataalamu kuchunguza ila huwezi sikia basi la Kitengule watume wataalamu.
 
Ajali za ndege ni nadra sana hivyo kuna public attention.Ajali za magari ni kila mara just simple logic.
Na ujue ajali ya ndege inagusa hadi mataifa ya nje hii habari unaweza kuta imeandikwa na mataifa hata makubwa.
Lakini basi la Kitengule linaongelewa kitaifa tu.
Zaidi ya yote mashirika yanayotengeneza hizi ndege na yenyewe yanahaha kujaribu kuona kama kuna hitlafu warekebishe.
Serikali ya Ufaransa itatuma timu ya wataalamu kuchunguza ila huwezi sikia basi la Kitengule watume wataalamu.
But it is unfair
 
But it is unfair
it is unfair but that is how it is ajali za magari ni kila siku.Kuna shirika la kimataifa linaitwa IATA la mambo ya anga huwezi rusha ndege juu au uwe rubani bila kuwa na kibali chao je umeshawahi sikia shirika la mabasi la kidunia?
 
Wadau naomba kujua kwanini waliokufa kwa ajali ya ndege huko Bukoba jana, mazishi yao yanagharamiwa na Serikali. Mbona wanaokufa na treni, mabasi, boti hayagharamiwagi na Serikali?

Mwenye ujuzi atujuze...
Nauli za Wasafiri wa Mabasi ( Tsh 15,000 hadi 75,000 ) hazitoshi hata tu kutoa Advance kwa Fundi Mtengeneza Majeneza yao, ila za Wasafiri wa Ndege ( Tsh 375,000 hadi 1,300,000 ) zinatosha kabisa na hata Chenji kubakia.
 
Wametumia sehemu ya msiba huo kutoa matamko ya kiserikali
 
Nauli za Wasafiri wa Mabasi ( Tsh 15,000 hadi 75,000 ) hazitoshi hata tu kutoa Advance kwa Fundi Mtengeneza Majeneza yao, ila za Wasafiri wa Ndege ( Tsh 375,000 hadi 1,300,000 ) zinatosha kabisa na hata Chenji kubakia.
Duh
 
Back
Top Bottom