Kwanini Mbeya licha ya kuwa namba 3 kwa kuchangia Uchumi Tanzania ila hakuna hata Mpango wa kujengwa stendi ya Kisasa?

Kwanini Mbeya licha ya kuwa namba 3 kwa kuchangia Uchumi Tanzania ila hakuna hata Mpango wa kujengwa stendi ya Kisasa?

Mbaya zaidi kina Bashe wamemlaghai Rais wamekataa kutwaa maeneo ya mashamba ya Chuo Cha Kilimo Uyole Ili yaendekezwe Kwa Mji wa Kisasa.

Bashe anatukosea kwanza asiwe anakuja Mbeya,Wakatwae mashamba Vijijini huko kama Chunya,Mbozi au Rukwa ndio wakafanyie utafiti sio Katika ya Jiji tena usoni kumejaa mashamba.
Bashe alifanya jambo la manaa sana. Kila kipande mnataka kujenga. Acheni sehemu ya mji kupumua. Eti mji wa kisasa!!
 
Mwanza Ina stand 2,Mwanza Ina masoko 2 na jingine la samaki linakuja,Mwanza imependelewa ujenzi wa Barabara za tactic km 27 Kwa visingizio vya Kuwa na Manispaa wakati Mbeya licha ya mavumbi Kila Kona ila Imepata km 12 tuu?
Unalalamika nini wakati hii serikali inaongozwa na chama cha mafisadi
 
Hii barabara inayotengenezwa hapa igawa kuelekea rujewa naona ni kajanja za CCM zimefanywa ili kumrahisishia huyu mwanamama aliyekuwa anagombea ubunge wilaya ya mbarali kupita kirahisi.
 
Hii barabara inayotengenezwa hapa igawa kuelekea rujewa naona ni kajanja za CCM zimefanywa ili kumrahisishia huyu mwanamama aliyekuwa anagombea ubunge wilaya ya mbarali kupita kirahisi.
Mbeya bhana huwa mnajitutumua kujilinganisha na Mwanza! Wakati TACTIC mmepata 12 kilometers wakati mwanza 27 kilometers!
 
Kwako ni point less! Ila ukweli ndio huo mji wenu hauna hata mvuto ni mrundikano wa majumba ya tope! Sasa hapa unamlilia nani? Mwambie Tulia akusaidie!
Akili yako ndogo ndo inakuambia kuwa kila anayetoa maoni hapa kuhusu mbeya basi ni mkazi wa mbeya???
 
Majiji yote makubwa na Mikoa Maarufu Ina Standi Kuu za Kisasa kabisa na Sasa Arusha inaenda Kujengwa Standi Kubwa lakini hakuna ambae anataja Mbeya.

On top of that Barabara za mitaani ndio kabisaa ni vumbi tupu.Nikajua Tactic itakuja na package nzuri ya Barabara za mitaa kumbe hole,eti Km 12 ni nini kwenye Jiji lililojaa vumbi Kila sehemu? Nikaangamia stand hakuna Cha maana zaidi ya blaa blaa ya kastendi Cha daladala Airport ya zamani.

Tanga Ina Standi kubwa ya Kange.

Mwanza ina Standi Kubwa 2.

Dodoma ina Standi Kubwa Nanenane.

Dar ndio usiseme kuna Magufuli, Mwenge nk

Morogoro kuna Msanvu.

Iringa Kuna Stand kubwa.

Sumbawanga Kuna Standi Kubwa ya Katumba

Arusha ndio hiyo inaenda kujengwa Pale Bondeni City

View attachment 2761477

Swali: Kwa nini Mbeya licha ya kuwa Jiji, Namba 3 kuchangia Uchumi Tanzania ila hakuna hata Mpango wa kujengwa Stand kubwa na ya Kisasa yenye hadhi ya Jiji? Kwa nini hakuwekwi Mpango wa Barabara za mitaa za kutosha?

My Take
Mbeya kuwa na kina Mwambukusi wengi isiwe ndio fimbo ya kuadhibu watu wake.

=====


"Pia kuna stendi za mabasi kwa sababu Miji inakuwa na mahitaji ya Stendi pia ni makubwa tunakwenda kujenda stendi za mabasi 26. Ile stend ya Mabasi ya Arusha ipo katikati ya Mji halafu ni ndogo sana. Mahitaji ni makubwa kwahiyo tunakwenda kujenga stendi kubwa sana Jijini Arusha" Humphrey Kanyeye - Mratibu wa Miradi ya Benk ya Dunia -TARURA
Kwan nane nane sio stendi?
 
Mbeya ni Kijiji kikubwa. Imagine ukienda Uyole ya Kati unakutana na li-bustani likuubwa la maviazi na nyanya. Why wasigawe viwanja watu wajenge?
 
Mbeya ni Kijiji kikubwa. Imagine ukienda Uyole ya Kati unakutana na li-bustani likuubwa la maviazi na nyanya. Why wasigawe viwanja watu wajenge?
Hahahahah! Mimi kusema kweli hata huwa sielewi nini uzuri wa Mbeya ukiondoa hali ya hewa na mazingira ila kwenye miundo mbinu na ujenzi ni zero!
 
Majiji yote makubwa na Mikoa Maarufu Ina Standi Kuu za Kisasa kabisa na Sasa Arusha inaenda Kujengwa Standi Kubwa lakini hakuna ambae anataja Mbeya.

On top of that Barabara za mitaani ndio kabisaa ni vumbi tupu.Nikajua Tactic itakuja na package nzuri ya Barabara za mitaa kumbe hole,eti Km 12 ni nini kwenye Jiji lililojaa vumbi Kila sehemu? Nikaangamia stand hakuna Cha maana zaidi ya blaa blaa ya kastendi Cha daladala Airport ya zamani.

Tanga Ina Standi kubwa ya Kange.

Mwanza ina Standi Kubwa 2.

Dodoma ina Standi Kubwa Nanenane.

Dar ndio usiseme kuna Magufuli, Mwenge nk

Morogoro kuna Msanvu.

Iringa Kuna Stand kubwa.

Sumbawanga Kuna Standi Kubwa ya Katumba

Arusha ndio hiyo inaenda kujengwa Pale Bondeni City

View attachment 2761477

Swali: Kwa nini Mbeya licha ya kuwa Jiji, Namba 3 kuchangia Uchumi Tanzania ila hakuna hata Mpango wa kujengwa Stand kubwa na ya Kisasa yenye hadhi ya Jiji? Kwa nini hakuwekwi Mpango wa Barabara za mitaa za kutosha?

My Take
Mbeya kuwa na kina Mwambukusi wengi isiwe ndio fimbo ya kuadhibu watu wake.

=====


"Pia kuna stendi za mabasi kwa sababu Miji inakuwa na mahitaji ya Stendi pia ni makubwa tunakwenda kujenda stendi za mabasi 26. Ile stend ya Mabasi ya Arusha ipo katikati ya Mji halafu ni ndogo sana. Mahitaji ni makubwa kwahiyo tunakwenda kujenga stendi kubwa sana Jijini Arusha" Humphrey Kanyeye - Mratibu wa Miradi ya Benk ya Dunia -TARURA
Waulize wapangaji sera wanampango gani
 
Mbaya zaidi kina Bashe wamemlaghai Rais wamekataa kutwaa maeneo ya mashamba ya Chuo Cha Kilimo Uyole Ili yaendekezwe Kwa Mji wa Kisasa.

Bashe anatukosea kwanza asiwe anakuja Mbeya,Wakatwae mashamba Vijijini huko kama Chunya,Mbozi au Rukwa ndio wakafanyie utafiti sio Katika ya Jiji tena usoni kumejaa mashamba.
Kabisa. Nilijua lile eneo la shamba la uyole tayari liko mbioni kulifanya mji wa kisasa?. Tena ingependeza sana ksbb ni kubwa halafu liko usoni kabisa mwa mji. (Labda kweli wavutr subira kidogo na mimi nipate hela wakifikia kubinafsisha hapo na mimi niwe sehemu ya kukaba eneo hapo)
 
Back
Top Bottom