To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣 Asante sanaNjoo hapa uyole kwa prisca unywe bia mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Asante sanaNjoo hapa uyole kwa prisca unywe bia mkuu
SanaaMbeya kwetu kuzuri sana
Rombo ni elfu saba acha uongoKitimoto kilo 8000 gharama sana huko, nipo rombo huku nimeshangaa kitimoto kilo 5000 ndizi bure tu
Forest ya kwanza checkpoint, Meta ata maeneo ya Mwailubi.Wapi hapo nikale kesho?
Nimenunua miswaki miwili.Kama kweli hizo ndio bei halisi, basi nadhani kuna haja ya kuangalia tena wapi panafaa mtu kuweka makazi yake kwa sasa.
Kwa hali ilivyo sasa, elfu kumi(10,000) ya kitanzania haina thamani hata kidogo ukienda nayo sokoni/dukani.
Ni kweli 10,000 kwa sasa sio hela tena. Nina wasiwasi huu mfumuko ukiendelea na thamani ya pesa kuzidi kushuka tutapewa noti ya 20,000.Nimenunua miswaki miwili.
COlgate ya kina junia
Na toopick kikopo kimoja eti 10,300 haki niliiangalia ile risiti na kuanza kupiga mahesabu upya.
Mara hii likizo ushaanza zifaid,okAcha umbea, mtu asije kusalimia ndugu zake?
Ww muongo bana mchele mbeya ni 2700Niko mbeya nashangaa shangaa
Naona mabucha mengi ya nyama ya ng'ombe yanauza nyama kilo 6,000/=
Kitimoto kilo ni 8000/=
Mchele kilo ni 2000/=
Mafutq ya kupikia lita 5 ni 23,000/=
Maharage kilo ni 2500/=
Ndizi mkungu ni elfu 5 tu.
Matunda yapo ya kila aina,mfano maembe bakuli zima ni jero tu.
Hiki kitu kimenishangaza sana wakuu,hawa jamaa wana serikali yao tofauti na hii ya ndugu Samia?
😁😁Kitimoto kilo 8000 gharama sana huko, nipo rombo huku nimeshangaa kitimoto kilo 5000 ndizi bure tu
10000 ni 2000 ya zaman iliyo changamka.Kama kweli hizo ndio bei halisi, basi nadhani kuna haja ya kuangalia tena wapi panafaa mtu kuweka makazi yake kwa sasa.
Kwa hali ilivyo sasa, elfu kumi(10,000) ya kitanzania haina thamani hata kidogo ukienda nayo sokoni/dukani.