Kwanini Mbeya maisha yako nafuu kiasi hiki ukilinganisha na sehemu zingine za nchi yetu?

Kwanini Mbeya maisha yako nafuu kiasi hiki ukilinganisha na sehemu zingine za nchi yetu?

Kama kweli hizo ndio bei halisi, basi nadhani kuna haja ya kuangalia tena wapi panafaa mtu kuweka makazi yake kwa sasa.

Kwa hali ilivyo sasa, elfu kumi(10,000) ya kitanzania haina thamani hata kidogo ukienda nayo sokoni/dukani.
Nimenunua miswaki miwili.
COlgate ya kina junia
Na toopick kikopo kimoja eti 10,300 haki niliiangalia ile risiti na kuanza kupiga mahesabu upya.
 
Nimenunua miswaki miwili.
COlgate ya kina junia
Na toopick kikopo kimoja eti 10,300 haki niliiangalia ile risiti na kuanza kupiga mahesabu upya.
Ni kweli 10,000 kwa sasa sio hela tena. Nina wasiwasi huu mfumuko ukiendelea na thamani ya pesa kuzidi kushuka tutapewa noti ya 20,000.
 
Niko mbeya nashangaa shangaa
Naona mabucha mengi ya nyama ya ng'ombe yanauza nyama kilo 6,000/=
Kitimoto kilo ni 8000/=
Mchele kilo ni 2000/=
Mafutq ya kupikia lita 5 ni 23,000/=
Maharage kilo ni 2500/=
Ndizi mkungu ni elfu 5 tu.
Matunda yapo ya kila aina,mfano maembe bakuli zima ni jero tu.
Hiki kitu kimenishangaza sana wakuu,hawa jamaa wana serikali yao tofauti na hii ya ndugu Samia?
Ww muongo bana mchele mbeya ni 2700
 
Kama kweli hizo ndio bei halisi, basi nadhani kuna haja ya kuangalia tena wapi panafaa mtu kuweka makazi yake kwa sasa.

Kwa hali ilivyo sasa, elfu kumi(10,000) ya kitanzania haina thamani hata kidogo ukienda nayo sokoni/dukani.
10000 ni 2000 ya zaman iliyo changamka.
 
Back
Top Bottom