MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Susi watu wa Masaki na Mikocheni tuna comment wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitimoto gharama sana, yaani ukienda Mbinga, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niko mbeya nashangaa shangaa
Naona mabucha mengi ya nyama ya ng'ombe yanauza nyama kilo 6,000/=
Kitimoto kilo ni 8000/=
Mchele kilo ni 2000/=
Mafutq ya kupikia lita 5 ni 23,000/=
Maharage kilo ni 2500/=
Ndizi mkungu ni elfu 5 tu.
Matunda yapo ya kila aina,mfano maembe bakuli zima ni jero tu.
Hiki kitu kimenishangaza sana wakuu,hawa jamaa wana serikali yao tofauti na hii ya ndugu Samia?
Mixing na kifupanyama 9,000
Si mlikuwa mnashangilia eti mmrpandishiwa mishahara?Ni kweli 10,000 kwa sasa sio hela tena. Nina wasiwasi huu mfumuko ukiendelea na thamani ya pesa kuzidi kushuka tutapewa noti ya 20,000.
Tatizo wana sura mbayaMadem wa kinyakyusa wana chura bana
Ova
Iringa kitimoto kilo 6,000/=Niko mbeya nashangaa shangaa
Naona mabucha mengi ya nyama ya ng'ombe yanauza nyama kilo 6,000/=
Kitimoto kilo ni 8000/=
Mchele kilo ni 2000/=
Mafutq ya kupikia lita 5 ni 23,000/=
Maharage kilo ni 2500/=
Ndizi mkungu ni elfu 5 tu.
Matunda yapo ya kila aina,mfano maembe bakuli zima ni jero tu.
Hiki kitu kimenishangaza sana wakuu,hawa jamaa wana serikali yao tofauti na hii ya ndugu Samia?
Uyole my home land nimepamis sanaa mkuuNimeshangaa,wakati uyole hapa ni buku 7
Upo mbeya sehemu gani mkuu?Niko mbeya nashangaa shangaa
Naona mabucha mengi ya nyama ya ng'ombe yanauza nyama kilo 6,000/=
Kitimoto kilo ni 8000/=
Mchele kilo ni 2000/=
Mafutq ya kupikia lita 5 ni 23,000/=
Maharage kilo ni 2500/=
Ndizi mkungu ni elfu 5 tu.
Matunda yapo ya kila aina,mfano maembe bakuli zima ni jero tu.
Hiki kitu kimenishangaza sana wakuu,hawa jamaa wana serikali yao tofauti na hii ya ndugu Samia?
Sasa dar Kuna mashamba!?Ukilinganisha na Dar huko kuna nafuu, sijui mzunguko wa pesa ukoje ila bidhaa walau ziko chini kidogo, kuna sehemu hapa dar mchele ni 3,500, nyama 9,000, maharage 4,000 nk. Kifupi maisha yapo juu sana.
Viuno vigumuMadem wa kinyakyusa wana chura bana
Ova
Kumekuchaaaaaaa 🤣🤣🤣Rombo ipi hiyo Kitimoto, Tsh 5000???