Kwanini Mbeya maisha yako nafuu kiasi hiki ukilinganisha na sehemu zingine za nchi yetu?

Kwanini Mbeya maisha yako nafuu kiasi hiki ukilinganisha na sehemu zingine za nchi yetu?

Mbeya ( Uyole , Mbalizi, umalila, ileje, tukuyu , mwakaleli, busokelo, , kiwira, Ushirika) huko vyakula bei Rahisi maana wanavuna karibu msimu wote na wana kilimo cha umwagiliaji, Sehemu nyingine ambapo vyakula hauwezi kumaliza ni Rukwa, Katavi, Kigoma, Ruvuma, kwa mfano kigoma maeneo ya mpeta Nguruka huko wameanza kuvuna mpunga mwezi january hivo mchele haujavuka 2600, Ruvuma hasa namtumbo maeneo ya kitanda nao january wamevuna mpunga na mwezi wa tano wanavuna tena, maeneo niliyotaja mvua wamepata za kutosha kabisa hawana shida, ndio maana hauwezi kusikia maeneo hayo wanalalamika kuhusu chakula
 
Niko Mbeya nashangaa shangaa
Naona mabucha mengi ya nyama ya ng'ombe yanauza nyama kilo 6,000/=
Kitimoto kilo ni 8000/=
Mchele kilo ni 2000/=
Mafutq ya kupikia lita 5 ni 23,000/=
Maharage kilo ni 2500/=
Ndizi mkungu ni elfu 5 tu.
Matunda yapo ya kila aina,mfano maembe bakuli zima ni jero tu.
Hiki kitu kimenishangaza sana wakuu,hawa jamaa wana serikali yao tofauti na hii ya ndugu Samia?
Sisi wana mbeya hapo tunasema vitu vimepanda bei bado, sasa fikiria kabla ya kupanda bei zilikuaje
 
Niko Mbeya nashangaa shangaa
Naona mabucha mengi ya nyama ya ng'ombe yanauza nyama kilo 6,000/=
Kitimoto kilo ni 8000/=
Mchele kilo ni 2000/=
Mafutq ya kupikia lita 5 ni 23,000/=
Maharage kilo ni 2500/=
Ndizi mkungu ni elfu 5 tu.
Matunda yapo ya kila aina,mfano maembe bakuli zima ni jero tu.
Hiki kitu kimenishangaza sana wakuu,hawa jamaa wana serikali yao tofauti na hii ya ndugu Samia?
mwaka huu mchele umepata uwa klo 1000 kwa 1500 mchele mzuli nyama ya ng,ombe hainaga bei sasa wanakula sana nguluwe viazi mvilingo vinalimwa huko magimbi mahindi maharagwe yanatoka sumbawanga mwanjelwa mala nyingi uuzwa 1000 kwa kilo bei hizi haihusiani na serikali mazao ya mkulimu ujipandisha na kujishusha kutegemea na hali ya mvua
 
Niko Mbeya nashangaa shangaa
Naona mabucha mengi ya nyama ya ng'ombe yanauza nyama kilo 6,000/=
Kitimoto kilo ni 8000/=
Mchele kilo ni 2000/=
Mafutq ya kupikia lita 5 ni 23,000/=
Maharage kilo ni 2500/=
Ndizi mkungu ni elfu 5 tu.
Matunda yapo ya kila aina,mfano maembe bakuli zima ni jero tu.
Hiki kitu kimenishangaza sana wakuu,hawa jamaa wana serikali yao tofauti na hii ya ndugu Samia?
Ukilinganisha na wapi na bei gani?
 
mwaka huu mchele umepata uwa klo 1000 kwa 1500 mchele mzuli nyama ya ng,ombe hainaga bei sasa wanakula sana nguluwe viazi mvilingo vinalimwa huko magimbi mahindi maharagwe yanatoka sumbawanga mwanjelwa mala nyingi uuzwa 1000 kwa kilo bei hizi haihusiani na serikali mazao ya mkulimu ujipandisha na kujishusha kutegemea na hali ya mvua
Kwa nini haujui kiswahili kwa umri wako?
 
Dsm ni mji unaotegemea kulishwa na mikoa inayolima na kufuga na ndio maana swala la bei ya chakula huko ni balaa zito ukilinganisha na mikoani pia ni vice versa kwenye swala la bidhaa za biashara ndo maana bei ya kiatu hapo kariakoo ni tofauti na huku mikoani.

Ugumu wa maisha unasababishwa na serikali ya matozo kusababisha gharama za usafirishaji na uendeshaji kuwa juu.
 
Maisha ya Mbeya yako poa sana. Hii imenikumbusha mwaka 2018 nilipofika uko kwa harakati za kutafuta maisha.

Kwanza Mbeya kununua mchele dukani kulikuwa hakuna cha mizani kulkuwa na makopa wanaita "ndonya" unapewa ndonya yako kwa buku tu,mchele mwingi nahis ni zaidi ya kilo.

Maziwa ndo yalikuwa sehemu yake Lita Moja ya maziwa fresh ilkuwa 1,000/=,mtindi Lita 5 ilkuwa 7,500/=
Wale wapende chips,chips ya jero ni sawa na chips ya 1500/=.
Kuna sehemu maeneo ya Iyunga karibu na baa ya mafisi inaitwa Half London kuna nyama choma sahan moja ni 2k,Sijui wale jamaa walikuwa wanatulisha vibudu [emoji848][emoji848][emoji848].

Ubaya wa Mbeya kuanzia mwezi May Hadi December kuna vumbi la kufa mtu. Nahisi Mbeya inaongoza kwa vumbi duniani.
Afu kwenye suala la makazi nyumba zina Kodi kubwa kuzidi hadhi ya nyumba zenyewe,nyumba ambayo inastahili iwe 50k kule unakuta ipo 100k.
 
mtu mmoja anipe hasara za kuwa mbeya na aongeze faida nipimishe kama nihamie au vipi
 
mtu mmoja anipe hasara za kuwa mbeya na aongeze faida nipimishe kama nihamie au vipi
Faida ya kuu ya kukaa Mbeya,maisha ni rahisi kwenye hupatikanaji basic human needs chakula,nguo na malazi.

Hasara kuu ya kule kupata pesa ndo mtihan kama umeajiriwa ndo usubiri mwisho wa mwezi,unless uwe mfanya biashara.
Then usiende na mentality ya kwamba unaenda kwenye Jiji kubwa,utakuwa disappointed,ukisikia wasanii kwenye nyimbo nazo wanavyosema "Mbeya city stand up" unaweza dhani ni bonge la jiji limechangamka kama nini vile kumbe wap.
 
mtu mmoja anipe hasara za kuwa mbeya na aongeze faida nipimishe kama nihamie au vipi
Mbeya hakuna mzunguko mzuri wa pesa pamoja na kuwa expenses za maisha zipo chini.

biashara nyingi zinategemea wanachuo so vyuo vikifungwa biashara nyingi hazitembei.. i can say 50% ya population ya mbeya mjini ni wanachuo.

Pia kuna kitu kinaitwa baridi, nais ndo sababu ya mkoa kuongoza kitaifa kwenye suala la maambukizi ya VVU. Mbeya kulala peke yako usiku ni mtiani

Kuna vumbi la hatari kuanzia mwezi wa 8 mpaka mwezi wa 11, utapachukia Mbeya hio miezi.


Faida

Gharama za kuishi Mbeya zipo chini

Usafiri uhakika.. bajaji za kutosha kuliko watu.
kwenda Mikoani unasafiri hata usiku bila shida yoyote, kuna magari pale Uyole na stendi ya nanenane.

Vyakula kule ndo vinalimwa..wanavuna kila siku
Nenda Mbalizi sokoni au Nzovwe ndipo wakulima wanauza bidhaa zao kwa bei sawa na bure
Usiende Soweto au Mwanjelwa bei zao zipo juu kidogo.

Starehe zipo sana tena pesa haziishi kama apa Dar
Kuna Bar kama Mwailubi, Mwamunyange, City Pub, Polos, Nasoma, Mbeya pazuri na baadhi ya hotels za gharama nafuu kama ni mtu wa kujichanganya kama Usungilo, Modern Highlands, Desderia, Peace of Mind, Beaco Resort n.k

Sehemu za kukaa ni Forest Mpya, Isyesye, Veta, Block T, Iwambi.. usikae maeneo ya wanachuo kuna wizi sana.

Kama ni Mfanyabiashara unaweza kwenda kuanzisha moja ya hizi Biashara maana ni chache sana af wafanyabiashara wengi wa Mbeya hawajui Biashara in terms of customer care and creativity

Biashara ya kuuza nyama [ Butchery ]
Mfano Soko zima la kabwe hakuna Bucha la Kitimoto mpaka mtu utembee hadi Juakali - Mwanjelwa

Pharmacy / duka la Dawa
Izo huduma zinapatikana Maeneo ya Hospitali tu kama Maranatha na Kabwe Sokoni [ in short maduka ya dawa yapo along Tanzam Road tena ni machache hayafiki matano]

Biashara ya urembo wa kucha maeneo ya vyuo.
Mpaka sasa kuna jamaa mmoja tu pale Soweto ndo anasifika kwenye hiyo fani sehemu zingine zote ndo biashara zinaanzishwa wengi bado ni amateurs.

Mwisho ni Biashara ya kuuza simu.
Simu ambazo ni tofauti na Tecno na Infinix ambazo zinauzwa pale kwa Kwa Mtawa - Ilomba zina bei karibia mara dufu ya bei za Dar.
Ukitaka kununua Samsung au iPhone iwe ni used au mpya kwa Mbeya mpaka uwe vizuri mfukoni.


The choice is yours


Kama kuna nilichokisahau kinachoitaji ufafanuzi please inform me ntakufafanulia
 
Faida ya kuu ya kukaa Mbeya,maisha ni rahisi kwenye hupatikanaji basic human needs chakula,nguo na malazi.

Hasara kuu ya kule kupata pesa ndo mtihan kama umeajiriwa ndo usubiri mwisho wa mwezi,unless uwe mfanya biashara.
Then usiende na mentality ya kwamba unaenda kwenye Jiji kubwa,utakuwa disappointed,ukisikia wasanii kwenye nyimbo nazo wanavyosema "Mbeya city stand up" unaweza dhani ni bonge la jiji limechangamka kama nini vile kumbe wap.
ngoja niweke mentality ya wilaya flani hivi 😄
pia nijipange kama mtalii flani
Mbeya hakuna mzunguko mzuri wa pesa pamoja na kuwa expenses za maisha zipo chini.

biashara nyingi zinategemea wanachuo so vyuo vikifungwa biashara nyingi hazitembei.. i can say 50% ya population ya mbeya mjini ni wanachuo.

Pia kuna kitu kinaitwa baridi, nais ndo sababu ya mkoa kuongoza kitaifa kwenye suala la maambukizi ya VVU. Mbeya kulala peke yako usiku ni mtiani

Kuna vumbi la hatari kuanzia mwezi wa 8 mpaka mwezi wa 11, utapachukia Mbeya hio miezi.


Faida

Gharama za kuishi Mbeya zipo chini

Usafiri uhakika.. bajaji za kutosha kuliko watu.
kwenda Mikoani unasafiri hata usiku bila shida yoyote, kuna magari pale Uyole na stendi ya nanenane.

Vyakula kule ndo vinalimwa..wanavuna kila siku
Nenda Mbalizi sokoni au Nzovwe ndipo wakulima wanauza bidhaa zao kwa bei sawa na bure
Usiende Soweto au Mwanjelwa bei zao zipo juu kidogo.

Starehe zipo sana tena pesa haziishi kama apa Dar
Kuna Bar kama Mwailubi, Mwamunyange, City Pub, Polos, Nasoma, Mbeya pazuri na baadhi ya hotels za gharama nafuu kama ni mtu wa kujichanganya kama Usungilo, Modern Highlands, Desderia, Peace of Mind, Beaco Resort n.k

Sehemu za kukaa ni Forest Mpya, Isyesye, Veta, Block T, Iwambi.. usikae maeneo ya wanachuo kuna wizi sana.

Kama ni Mfanyabiashara unaweza kwenda kuanzisha moja ya hizi Biashara maana ni chache sana af wafanyabiashara wengi wa Mbeya hawajui Biashara in terms of customer care and creativity

Biashara ya kuuza nyama [ Butchery ]
Mfano Soko zima la kabwe hakuna Bucha la Kitimoto mpaka mtu utembee hadi Juakali - Mwanjelwa

Pharmacy / duka la Dawa
Izo huduma zinapatikana Maeneo ya Hospitali tu kama Maranatha na Kabwe Sokoni [ in short maduka ya dawa yapo along Tanzam Road tena ni machache hayafiki matano]

Biashara ya urembo wa kucha maeneo ya vyuo.
Mpaka sasa kuna jamaa mmoja tu pale Soweto ndo anasifika kwenye hiyo fani sehemu zingine zote ndo biashara zinaanzishwa wengi bado ni amateurs.

Mwisho ni Biashara ya kuuza simu.
Simu ambazo ni tofauti na Tecno na Infinix ambazo zinauzwa pale kwa Kwa Mtawa - Ilomba zina bei karibia mara dufu ya bei za Dar.
Ukitaka kununua Samsung au iPhone iwe ni used au mpya kwa Mbeya mpaka uwe vizuri mfukoni.


The choice is yours


Kama kuna nilichokisahau kinachoitaji ufafanuzi please inform me ntakufafanulia
Ntakuja december mana staki vumbi, nitakaa kwa miezi mi3 ya majaribio..
Wanyakyusa ni wakarimu? vipi kuhusu ushirikina?
 
Back
Top Bottom