Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ni kama ilivyokuwa Sinza, sasa hivi Tabata ndio inakimbiza na Kinyerezi yake.Maeneo dar yanashift status tu..masaki to Mikocheni to Mbezi beach now Mbweni ndio habari ya mjini. Still bado mbezi beach status haijapotea sana , sema wenye nyumba wengi walishafariki watoto either hawazijali na wengine wako nje , so tunapoelekea nyumba nyingi Mbezi beach zitakuwa maofisi na makampuni kupanga kama Mikocheni na masaki