6 Pack
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 2,819
- 5,996
- Thread starter
- #241
Mkuu mimi sizungumzii kwa kujengwa au thamani ya eneo. Nazungumzia umaarufu ilionayo leo Mbezi louis ni mkubwa kuliko umaarufu wa Mbezi beach, na wakati miaka ya 90 asilimia 85 ya wakazi wa Dar na mikoani hawakuwa wanaifahamu Mbezi louis.Nakataa hii hoja.
Mbezi beach kutaendelea kuwa sehemu maarufu, ghali, yenye mvuto kuliko mbezi ya upande wa pili.
Hata ukitaka nunuwa kiwanja uliza bei uone.
Kweli mbezi beach ina barabara mbovu, kweli madimbwi na mitaa kunuka, hiyo haina tofauti na masaki, mikocheni nk nk
Kama ukisema mbezi ya kimara, Luis na makabe kumejaa wachaga na nini nitakubali, ila status? Bado sana sana sana
Kuna baadhi ya watu mikoani ukisema mbezi beach, wao wanafikiri labda hiyo beach ipo karibu na stand ya Magufuli, hawajui kabisa kama Mbezi beach ni eneo lingine lililo katika wilaya na kata nyingine na inajitegemea.