Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ni kama ilivyokuwa Sinza, sasa hivi Tabata ndio inakimbiza na Kinyerezi yake.Maeneo dar yanashift status tu..masaki to Mikocheni to Mbezi beach now Mbweni ndio habari ya mjini. Still bado mbezi beach status haijapotea sana , sema wenye nyumba wengi walishafariki watoto either hawazijali na wengine wako nje , so tunapoelekea nyumba nyingi Mbezi beach zitakuwa maofisi na makampuni kupanga kama Mikocheni na masaki
Nafikiri huko ndio tunapoelekea πMaeneo dar yanashift status tu..masaki to Mikocheni to Mbezi beach now Mbweni ndio habari ya mjini. Still bado mbezi beach status haijapotea sana , sema wenye nyumba wengi walishafariki watoto either hawazijali na wengine wako nje , so tunapoelekea nyumba nyingi Mbezi beach zitakuwa maofisi na makampuni kupanga kama Mikocheni na masaki
Wamakonde nao walikuja kutoka Mtwara wakajimilikisha maeneo mengi ya wilaya ya Kinondoni ambayo kiasili yalikuwa ni maeneo ya wazaramo. Ila waliyanunua na kujimilikisha wao, alaf baadae na wao wakayauza na kutafuta maeneo mengine.Hata Bagamoyo ya Mapinga kilikuwa kijiji cha Wamakonde.
Wale Jamaal Wana utamaduni wa kutotaka kuchanganyika na jamii nyingine, sehemu wakianza kuingia jamii nyingine wanauza wanasepa.
Hivi kumbeNi manzese mpya ππ
Mbweni inakuja moto sana kipindi hikiMbezi Beach imefunikwa na Mbweni.