Kwanini Mbezi beach imepoteza umaarufu wake iliyokuwa nao miaka ya nyuma?

Kwanini Mbezi beach imepoteza umaarufu wake iliyokuwa nao miaka ya nyuma?

Ok mkuu nimekuelewa. Lakini kwa leo nazungumzia umaarufu. Namaanisha kwa sasa ukitaja neno Mbezi bila kuweka neno beach au luis basi eneo la kwanza litakaliwajia watu kichwani ni mbezi luis.

Mbezi beach imepoteza umaarufu wake iliyokuwa nao miaka ya 2000 kushuka chini, ambapo, 85% ya wakazi wa Dar kutokana katika wilaya zingine (mbali na hii ya sasa inayoitwa Ubungo) hawakuwa wanaifahamu au pengine kuijua Mbezi luis.

Sahihi
 
Enzi hizo Tangi Bovu lipo bado.

Nimerudi likizo Mbezi Beach nimeshangaa kule juu nimekuta kuna uswekeni, nimekuta vibanda vibanda Bagamoyo Road kama uswekeni.

Mbezi Beach zile character za ushuani zimeondoka, ingawa kuna mitaa ina majumba bado.

Mvua ikinyesha kidogo tu mafuriko.

Siku ya kwanza naiona Bagamoyo Road mchana hata sikuitambua. Imekuwa uswaziii. Vibanda vibanda kila sehemu.
Inasikitisha sana kuona maeneo mazuri kama Mbezi beach badala ya kuboreshwa na kuendelezwa, yanatelekezwa, yanapuuzwa, yanachakarishwa na kuachwa yajifie tu na kugeuka Buguruni mpya.
 
Hata stand nako si kulikuwa pori vile vile mkuu. Ila Mbezi beach ilianza kujulikana kabla ya Mbezi kimara. Lakini leo hii watu wengi hawaifahamu Mbezi beach.
Mbezi inajulikana mzee sema wahamiaji huko walihamia kimyakimya...
Mashuwa wengi waliyokuwa wanakaa upangaa wengi walihamiaga huko mbezi beach miaka hiyo
Kimara ilipendwa sana na watu kutoka kaskazini maana ile ndy ilikuwa njia yao ya kwenda na kutokea kwao
Miaka ya zamani ukienda au kupita mbezi beach yenyewe ilikuwa mtihani

Ova
 
Enzi hizo Tangi Bovu lipo bado.

Nimerudi likizo Mbezi Beach nimeshangaa kule juu nimekuta kuna uswekeni, nimekuta vibanda vibanda Bagamoyo Road kama uswekeni.

Mbezi Beach zile character za ushuani zimeondoka, ingawa kuna mitaa ina majumba bado.

Mvua ikinyesha kidogo tu mafuriko.

Siku ya kwanza naiona Bagamoyo Road mchana hata sikuitambua. Imekuwa uswaziii. Vibanda vibanda kila sehemu.
MbeZi beach zamani mashuwa ulikuwa unawahesabu nyumba zao
Kwanza kulikuwa na ujambaz uporaji
Umafia wote huko
Mbezi beach sahv eti kumekucha malls,maduka nk
Mashuwa wengi waliyokuwa upanga wao ndy walikuwa watu wa kwanza kuhamia huko
Siku hizi ukitaka starehe unaenda mbezi beach [emoji1]

Ova
 
FWalijaa sana wamokonde na wapo ununio
Na wamakonde ndiyo watu waliyoweza kuanza kukaa kwenye maeneo mengi ambayo yalikuja kuwa hot...sema walishindwa kudumu huko
Hata msasani peninsula wamakonde kote walijaaa huko

Ova
Wamakonde wao walikuwa wanatega maeneo ambayo kuna ngozi nyeupe.
Wanapiga kazi za ulinzi , kuanzia msasani, kunduchi mpaka Ras Kilomoni walikuwa wamakonde wamejaa.
Alafu walikuwa wanalinda nyumba kwa mishale, ukijichanganya tu unapigwa mshale wa shingo.
 
Enzi hizo Tangi Bovu lipo bado.

Nimerudi likizo Mbezi Beach nimeshangaa kule juu nimekuta kuna uswekeni, nimekuta vibanda vibanda Bagamoyo Road kama uswekeni.

Mbezi Beach zile character za ushuani zimeondoka, ingawa kuna mitaa ina majumba bado.

Mvua ikinyesha kidogo tu mafuriko.

Siku ya kwanza naiona Bagamoyo Road mchana hata sikuitambua. Imekuwa uswaziii. Vibanda vibanda kila sehemu.
Kweli kabisa
Bora ht salasala naona kiasi fulani Kuko vzr
 
Barabara zenyewe wamejengewa hivi karibuni tu
Watu tulikuwa tunaijuwa mbezi beach wakati huo wakazi ni wachache tu huko akiwemo malecela,mbezi pori tu
Shukuru kuiona hiyo mbezi ya leo ilivyo....zamani haikuwa hivyo
Watu wa mwanzo wote waliohamia huko lazima uibiwe

Ova
Aisee.. kumbe ilikuwa balaa!
 
Wamakonde wao walikuwa wanatega maeneo ambayo kuna ngozi nyeupe.
Wanapiga kazi za ulinzi , kuanzia msasani, kunduchi mpaka Ras Kilomoni walikuwa wamakonde wamejaa.
Alafu walikuwa wanalinda nyumba kwa mishale, ukijichanganya tu unapigwa mshale wa shingo.
Sema mmakonde akikuchungia nyumba ukimuachia nyumba nzima
Usipokuwa makini unaweza kuisahau
[emoji1] (joking)
Yah hata nyumba nyingi za national housing zilizoj3ngwa na nyerere
Wanyasa walizipata walipewa mtonyo
Na mabosi zao

Ova
 
Back
Top Bottom