Ok mkuu nimekuelewa. Lakini kwa leo nazungumzia umaarufu. Namaanisha kwa sasa ukitaja neno Mbezi bila kuweka neno beach au luis basi eneo la kwanza litakaliwajia watu kichwani ni mbezi luis.
Mbezi beach imepoteza umaarufu wake iliyokuwa nao miaka ya 2000 kushuka chini, ambapo, 85% ya wakazi wa Dar kutokana katika wilaya zingine (mbali na hii ya sasa inayoitwa Ubungo) hawakuwa wanaifahamu au pengine kuijua Mbezi luis.
Inasikitisha sana kuona maeneo mazuri kama Mbezi beach badala ya kuboreshwa na kuendelezwa, yanatelekezwa, yanapuuzwa, yanachakarishwa na kuachwa yajifie tu na kugeuka Buguruni mpya.Enzi hizo Tangi Bovu lipo bado.
Nimerudi likizo Mbezi Beach nimeshangaa kule juu nimekuta kuna uswekeni, nimekuta vibanda vibanda Bagamoyo Road kama uswekeni.
Mbezi Beach zile character za ushuani zimeondoka, ingawa kuna mitaa ina majumba bado.
Mvua ikinyesha kidogo tu mafuriko.
Siku ya kwanza naiona Bagamoyo Road mchana hata sikuitambua. Imekuwa uswaziii. Vibanda vibanda kila sehemu.
Mbezi inajulikana mzee sema wahamiaji huko walihamia kimyakimya...Hata stand nako si kulikuwa pori vile vile mkuu. Ila Mbezi beach ilianza kujulikana kabla ya Mbezi kimara. Lakini leo hii watu wengi hawaifahamu Mbezi beach.
Huko kuna ka sehemu fulani kako mwake sana kimyaaa napakubali sanamsitusahau na kisemvule tunasikikaa pia
Mpwaa kunavituz hatareeHuko kuna ka sehemu fulani kako mwake sana kimyaaa napakubali sana
Ova
MbeZi beach zamani mashuwa ulikuwa unawahesabu nyumba zaoEnzi hizo Tangi Bovu lipo bado.
Nimerudi likizo Mbezi Beach nimeshangaa kule juu nimekuta kuna uswekeni, nimekuta vibanda vibanda Bagamoyo Road kama uswekeni.
Mbezi Beach zile character za ushuani zimeondoka, ingawa kuna mitaa ina majumba bado.
Mvua ikinyesha kidogo tu mafuriko.
Siku ya kwanza naiona Bagamoyo Road mchana hata sikuitambua. Imekuwa uswaziii. Vibanda vibanda kila sehemu.
Huko mbweni nq nyie lazima mtaletewa vurugu ya mabar,maduka nk ngojeniMadon wa mbezi beach na masaki wamehamishia makazi mbweni na ununio
Wamakonde wao walikuwa wanatega maeneo ambayo kuna ngozi nyeupe.FWalijaa sana wamokonde na wapo ununio
Na wamakonde ndiyo watu waliyoweza kuanza kukaa kwenye maeneo mengi ambayo yalikuja kuwa hot...sema walishindwa kudumu huko
Hata msasani peninsula wamakonde kote walijaaa huko
Ova
Halafu Kwa Hali ilivyo sshv dar bwana hela tu ,Kuna watu hawaishi hayo maeneo ila Wana Hela balaaHilo nimeanza kuligundua kupitia michango yenu hapa JF.
Kweli kabisaEnzi hizo Tangi Bovu lipo bado.
Nimerudi likizo Mbezi Beach nimeshangaa kule juu nimekuta kuna uswekeni, nimekuta vibanda vibanda Bagamoyo Road kama uswekeni.
Mbezi Beach zile character za ushuani zimeondoka, ingawa kuna mitaa ina majumba bado.
Mvua ikinyesha kidogo tu mafuriko.
Siku ya kwanza naiona Bagamoyo Road mchana hata sikuitambua. Imekuwa uswaziii. Vibanda vibanda kila sehemu.
Aisee.. kumbe ilikuwa balaa!Barabara zenyewe wamejengewa hivi karibuni tu
Watu tulikuwa tunaijuwa mbezi beach wakati huo wakazi ni wachache tu huko akiwemo malecela,mbezi pori tu
Shukuru kuiona hiyo mbezi ya leo ilivyo....zamani haikuwa hivyo
Watu wa mwanzo wote waliohamia huko lazima uibiwe
Ova
Goba kwenyewe naona km kumejaa labda umtoe mtu km una helaSasa hivi dili ni Kibaha, Goba, Madale na Kinyerezi...
Huko Mbezi Beach siyo dili bali dirisha
MikooaniSisi wa mikoani tunacomment wapi?
Sema mmakonde akikuchungia nyumba ukimuachia nyumba nzimaWamakonde wao walikuwa wanatega maeneo ambayo kuna ngozi nyeupe.
Wanapiga kazi za ulinzi , kuanzia msasani, kunduchi mpaka Ras Kilomoni walikuwa wamakonde wamejaa.
Alafu walikuwa wanalinda nyumba kwa mishale, ukijichanganya tu unapigwa mshale wa shingo.
Goba huko kulikuwa mashamba ya watu,huko mtu anakuambia anaenda shambani tu kufukuza ngedereGoba kwenyewe naona km kumejaa labda umtoe mtu km una hela
Niliulizia Kiwanja cha 20*20 nikaambiwa kinauzwa mil 60.Ilikua 2017 hioUnakuta mtaa mzima una majumba ya mil 300 Hadi 600...
Kiwanja tu kinauzwa mil 150 kuendelea
Goba Kulangwa na Tegeta A bado kuna maeneo.Goba kwenyewe naona km kumejaa labda umtoe mtu km una hela