KWANINI MBILIKIMO WENGI WANAFANANA?

KWANINI MBILIKIMO WENGI WANAFANANA?

Habari wakuu naomb kujuzwa kuhusu hili jambo kwa wenye ujuzi wa masuala haya ya genetics ....(lengo kujuzwa sio ubaguzi kama Kuna jina lingine sahihi zaidi nilipaswa nitumie mtanisamehe)

Kwanini hawa jamaa wanafanana sana hasa wa kiume ?
Nishapishana nao kama Sita hivi maeneo tofauti ajabu wanafanana fanana sana.......wajuzi
... unaowaita mbilikimo, sio wale halisi wa Congo, ni walemavu ambao kwa mapungufu fulani ya kijenetiki wamekuwa wafupi, wenye vidole vifupi, macho makubwa na maumbile mengi yasiyo ya kawaida yanayowafanya wafanane! ... ukichunguza kwa karibu bado unaweza kuona tofauti zao!
NB: ... samahani kama kuna mtu nimemkwaza, ninatoa tu nilichosoma!
 
Exactly!
Sijui ni kwa nini tena siyo mbilikimo pekee bali kuna albino wengi wao wanafanana

Pia wasomali, wahabeshi, wachina, nk (kwa ujumla watu wote tofauti na watu weusi) nao wananichanganyaga sana kwa kufanana kwao
Nilikua na rafiki yangu wa kizungu akaniambia eti na sisi watu weusi tunafana sana hadi wanashindwa kututofautisha, akanipa mfano eti mimi nafanana sana na 50cent,nilishangaa sana kama kweli nina sura ngumu kama ya yule jamaa![emoji23][emoji23]
 
Kwa sababu ya condition inayoitwa achondroplasia hii hutokea kwa aina ya kwanza ya dwarfism (Disproportionate dwarfism), ambayo ni hali ya kijenetiki inayosababisha ufupi wa miguu na mikono, kichwa kikubwa na uso kuwa na muonekano unaoendana...
Ahsante JamiiForums
 
Back
Top Bottom