Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
KWANI YALIYOMPATA TUNDU LISSU NAYO HUYAJUI?Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Sabaya na Kingai walipewa kazi na Magufuli “ WAMTUPE Mbowe” ndio maana unaona hao makomandoo leo WAMETUPWA na wameteswa na Kingai.Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Yaliyomtokea Tundu Lissu ndo yalilsukuma kuhitaji VIP protection, ambalo ni jambo sahihi kabisa.Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Kamuulize Mumeo akiwa anakudungua.Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
AKILI ZA KINGAIIIIII KABISAMwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Alijihami na Sabaya kwani mziki wa sabaya haukuwa wa kitotoMwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
CCM ya Sabaya walitaka kumuuwaMwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Hata Benjamin Sitta mlinzi wake ni komando aliyefukuzwa jeshini (Ni yule komando aliyemuua rafiki yake wakiwa bar, baada ya rafiki yake kumshikashika mkewe kila mara jamaa akienda washroom, habari zake ziliandikwa sana magazetini), so siyo jambo la ajabu kwa komando kutumia vipawa vyake vya kikomando kujitafutia chakula baada ya kutemwa jeshini!! Bora ya hawa wanaojitafutia kihalali kuliko wale inaosemekana ndiyo walitumika kama WASIOJULIKANA!!Kwa nini walikua hawataki alindwe….?
Je Askari waliotumikia nchi tena vitani kwa level ya komandooo wakiondolewa kazini kuna kosa kujitafutia kipato halali ? Mbona Lugumi naye alichukua wa aina hiyo walioko mitaani wakawa walinzi wake ? au wanataka wakawe walinzi wajummbani au walinde ATM ? au wanataka wakaajiriwe na waasi huko DRC na nchi zingine maana ajira ziko nje nje ….
Kama Rais Samia alivyosema ; Tutende haki ili Mungu asituadhibu….
Kama hii kesi haingeenda mahakamani tungejua vipi kuwa Komando huyu haonekani kama ilivyo kwa Komando Ramadhani Kadego ( na pengine wameuliwa
Serikali ya JPM imetuachia makovu sana na kimsingi tunahitaji mambo mengi zaidi kama haya yawe wazi ili tuweze kufanya marekebisho makubwa
Mfano leo hiii wanajeshi wanawafikiria vipi Polisi ?
Una akili za nursery school, kwanza hakuna kitu kama VIP Protection bali kuna CP Close Protection, ambaye hata wewe kama unauwezo ajiri wako, Manara tu ana CP,Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Yupi yule mwana ccm?Kwa nini inteligensia ya police ilishindwa kuubaini ugaidi wa dogo Hamza
HawajiaminiPolisi wamataka walinzi wa viongozi wa upinzani wawe wabeba vyuma na watunisha misuli kusikia makomandoo wameajiliwa wakapanic
Jibu toshaGaidi mama yako
Unategemea jipya gani kutoka kwa uvccm aliye changanyikiwa?Binadamu timamu hawezi kuwa na akili mgando kama yako.
Unawezaje kunakili maandishi hayohayo kwenye nyuzi tofauti zenye maudhui tofauti!??
Kamuone mtaalamu wa afya ya akili kabla hujaanza kutembea uchi.
Ni Kama mbowe aliwahi kuwaingizia kitu kizito huko nyuma familia yenu yote. Maana unaandika kama umebebeshwa ujauzito hivi. Hongera sana mzazi mtarajiwaHuyo gaidi wanamchelewesha tu kama alifikia hatua ya kutapeli familia yake kwa kujimilikisha mali zote za urithi wampige haraka mvua 50