Kwanini Mbowe alihitaji VIP protection?

Kwanini Mbowe alihitaji VIP protection?

Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?

1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa

2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa

3. Alikuwa mgombea urais?

Sababu yake nini hasa?
KWANI YALIYOMPATA TUNDU LISSU NAYO HUYAJUI?
 
Mbona ile takataka ya kule kitovuni iliyooza kwenye gozi la kondoo ilikua inatembea na batallion nzima ya jeshi mpaka magari ya deraya hamkuhoji, mtu kuwa na viwalinzi viwili inakua ishu? Pumbaf sana nyie lumumba, unakuta kimtu na akili zake za kuvukia barabara kinashadadia mambo ya hovyooooo, uzi kama huu ulitakiwa ufutwe ila ndio vile jamiiciiciiemu wanauacha tu
 
Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?

1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa

2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa

3. Alikuwa mgombea urais?

Sababu yake nini hasa?
Sabaya na Kingai walipewa kazi na Magufuli “ WAMTUPE Mbowe” ndio maana unaona hao makomandoo leo WAMETUPWA na wameteswa na Kingai.
Makomandoo kumlinda Mbowe ni kosa kubwa kwa “Chama dola” Magufuli na kizazi chake walaaniwe
 
Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?

1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa

2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa

3. Alikuwa mgombea urais?

Sababu yake nini hasa?
Yaliyomtokea Tundu Lissu ndo yalilsukuma kuhitaji VIP protection, ambalo ni jambo sahihi kabisa.
 
Wakati huohuo, wengine wakilindwa tunaambiwa,"The guilty are afraid".
 
Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?

1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa

2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa

3. Alikuwa mgombea urais?

Sababu yake nini hasa?
Kamuulize Mumeo akiwa anakudungua.
Mooooods toa hii takataka
 
Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?

1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa

2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa

3. Alikuwa mgombea urais?

Sababu yake nini hasa?
AKILI ZA KINGAIIIIII KABISA
 
Huenda Magufuli alishafanya mpango wa kummaliza kupitia jangili kama Sabaya. Magufuli kumpa ukuu wa wilaya huyo Sabaya tena hapo Hai bila shaka ulikuwa ni mkakati maalumu wa kumdhuru Mbowe.

Kama aliweza kuamuru Lissu auwawe kisha akazikwe haraka kijijini kwao haikua tatizo kubwa kwake kuamuru Mbowe pia auwawe kwani ukishaua mara moja huwezi kuacha, utaendelea tu kuuwa kwani muuaji ni muuaji tu.
 
Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?

1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa

2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa

3. Alikuwa mgombea urais?

Sababu yake nini hasa?
Alijihami na Sabaya kwani mziki wa sabaya haukuwa wa kitoto
 
Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?

1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa

2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa

3. Alikuwa mgombea urais?

Sababu yake nini hasa?
CCM ya Sabaya walitaka kumuuwa
 
Kwa nini walikua hawataki alindwe….?

Je Askari waliotumikia nchi tena vitani kwa level ya komandooo wakiondolewa kazini kuna kosa kujitafutia kipato halali ? Mbona Lugumi naye alichukua wa aina hiyo walioko mitaani wakawa walinzi wake ? au wanataka wakawe walinzi wajummbani au walinde ATM ? au wanataka wakaajiriwe na waasi huko DRC na nchi zingine maana ajira ziko nje nje ….

Kama Rais Samia alivyosema ; Tutende haki ili Mungu asituadhibu….
Kama hii kesi haingeenda mahakamani tungejua vipi kuwa Komando huyu haonekani kama ilivyo kwa Komando Ramadhani Kadego ( na pengine wameuliwa

Serikali ya JPM imetuachia makovu sana na kimsingi tunahitaji mambo mengi zaidi kama haya yawe wazi ili tuweze kufanya marekebisho makubwa
Mfano leo hiii wanajeshi wanawafikiria vipi Polisi ?
Hata Benjamin Sitta mlinzi wake ni komando aliyefukuzwa jeshini (Ni yule komando aliyemuua rafiki yake wakiwa bar, baada ya rafiki yake kumshikashika mkewe kila mara jamaa akienda washroom, habari zake ziliandikwa sana magazetini), so siyo jambo la ajabu kwa komando kutumia vipawa vyake vya kikomando kujitafutia chakula baada ya kutemwa jeshini!! Bora ya hawa wanaojitafutia kihalali kuliko wale inaosemekana ndiyo walitumika kama WASIOJULIKANA!!
 
Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?

1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa

2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa

3. Alikuwa mgombea urais?

Sababu yake nini hasa?
Una akili za nursery school, kwanza hakuna kitu kama VIP Protection bali kuna CP Close Protection, ambaye hata wewe kama unauwezo ajiri wako, Manara tu ana CP,
Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?

1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa

2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa

3. Alikuwa mgombea urais?

Sababu yake nini hasa?
 
Lissu angehitaji walinzi ungehoji hivi hivi,kilichomkuta kinajulikana licha ya kuomba msaada kwa polisi juu ya watu waliokuwa wanamfatilia!
 
Binadamu timamu hawezi kuwa na akili mgando kama yako.
Unawezaje kunakili maandishi hayohayo kwenye nyuzi tofauti zenye maudhui tofauti!??
Kamuone mtaalamu wa afya ya akili kabla hujaanza kutembea uchi.
Unategemea jipya gani kutoka kwa uvccm aliye changanyikiwa?
 
Huyo gaidi wanamchelewesha tu kama alifikia hatua ya kutapeli familia yake kwa kujimilikisha mali zote za urithi wampige haraka mvua 50
Ni Kama mbowe aliwahi kuwaingizia kitu kizito huko nyuma familia yenu yote. Maana unaandika kama umebebeshwa ujauzito hivi. Hongera sana mzazi mtarajiwa
 
Hii kesi imefanya wale wanaolindwa na mabaunza wajue kumbe huku mitaani Tanzania wako makomandoo wa ex -JWTZ wenye ranki za maofisa kwa ajili ya kukodisha/ kuwaajiri kwa ulinzi wao. Wenye akili za Kihamzahamza wasije nao kuwatafuta kupiga kolabo.
 
Back
Top Bottom