Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu hapaMwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Hii kesi imefanya wale wanaolindwa na mabaunza wajue kumbe huku mitaani Tanzania wako makomandoo wa ex -JWTZ wenye ranki za maofisa kwa ajili ya kukodisha/ kuwaajiri kwa ulinzi wao. Wenye akili za Kihamzahamza wasije nao kuwatafuta kupiga kolabo.
Halafu utakuwa ndio mwisho maisha yako hayo ya dhikiHuyo gaidi wanamchelewesha tu kama alifikia hatua ya kutapeli familia yake kwa kujimilikisha mali zote za urithi wampige haraka mvua 50
Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Kwani alipokuwa akiiba magari alipata wapi protection?Alihitaji VIP protection kwa matukio aliyokuwa akifanyiwa na Sabaya, ikiwemo kuvamia hotelini kwake akiwa na silaha ya moto, na kupigwa na kuvunjwa mguu na wahuni.
Ajabu yule jambazi alieonekana kila mahali akifanya uhuni kwa Mbowe, yeye ndie anadai alikuwa akijilinda.
Huyu Mbowe alikutenda nini? Inaonekana alikutenda kitu husahau. ! Au alimla mkeo kakuzalia mtoto?. Inawezekana alikuwa anakurarua marinda si bure.! Kila comment apigwe 50! ukijigusa gaidi! Si upeleke ushahidi ulionao huko mahakamani. ila naona uliathiriwa na tabia ya mwendazake. Mungu ni Mungu na haki itabaki kuwa haki Huyu Kiburilo Said ni Kingai huyu. Ana uchungu wa madudu yake kukwama na sasa ana hasira sana.
Kwanza tupe maana ya vip protectionMwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Peleka umasikini wako kuzimu bwalya sana weweHuyo gaidi wanamchelewesha tu kama alifikia hatua ya kutapeli familia yake kwa kujimilikisha mali zote za urithi wampige haraka mvua 50
YapYupi yule mwana ccm?
Acha gubu, Kama mwenyekiti wa CCM ni VIP kwanini mwenyekiti wa CHADEMA asiwe?Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Ccm ni chaka la matukio ya hovyo
Yupo wapi ben SananeMwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
kwa sababu ni VIP.Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Matako yako ndiyo gaidi kenge mkubwa we we,Huyo gaidi wanamchelewesha tu kama alifikia hatua ya kutapeli familia yake kwa kujimilikisha mali zote za urithi wampige haraka mvua 50
Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Katiba ya JMT inakataa?.Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?
1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa
2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa
3. Alikuwa mgombea urais?
Sababu yake nini hasa?
Wajinga wengi mmejazana CCM.Nakazia tu hoja, ukiwa na mgogoro wa kisiasa na mkuu wa wilaya anayetumia mabavu na cheo chake kufanya ujambazi , basi mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ambacho mbunge wake na makamu mwenyekiti alinusurika kuuwawa kwa risasi na watu wasiojulikana akiacha kuajiri ulinzi bora tena mwaka wa uchaguzi itakuwa ni jambo la kizembe mno.
Mbowe huyuhuyu si ndio alivunjika mguu akasema kuna watu walimvunja, ila tukaambiwa baada ya uchunguzi kuwa ni ulevi wake alianguka mwenyewe, unafikiri 2020 angelalamika Sabaya ni jambazi anamtishia maisha yake nani angemsikiliza "Power Sabaya" alikuwa ni kijana mchapakazi wa Rais View attachment 1956835