Kwanini Mbowe alihitaji VIP protection?

Kwanini Mbowe alihitaji VIP protection?

Alihitaji VIP protection kwa matukio yaliyokuwa akifanyiwa na Sabaya, ikiwemo kuvamia hotelini kwake akiwa na silaha ya moto, na kupigwa na kuvunjwa mguu na wahuni.

Ajabu yule jambazi alieonekana kila mahali akifanya uhumi kwa Mbowe. yeye ndie anadai alikuwa akijilinda.
Kuwa mwana ccm inahitajika kunyofoa ubongo
 
Kwamba umesahau, akiwa na Bunduki na wenzake ,Sabaya akitumia Gari aloweka p# feki za UN alienda wapi???



Kwamba hujui hata Status ya Mbowe nchi hiii??


Kwamba, vile ambavyo weee unatembea kitaan, unaenda kwa Mama ntiliez Unakula Chapati mbili na supu ya buku,,, ndivo unataka kujilinganisha na Mbowe

Ila watu
 
Kwamba umesahau, akiwa na Bunduki na wenzake ,Sabaya akitumia Gari aloweka p# feki za UN alienda wapi???



Kwamba hujui hata Status ya Mbowe nchi hiii??


Kwamba, vile ambavyo weee unatembea kitaan, unaenda kwa Mama ntiliez Unakula Chapati mbili na supu ya buku,,, ndivo unataka kujilinganisha na Mbowe

Ila watu
Anajitoa akili tu
 
Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?

1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa

2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa

3. Alikuwa mgombea urais?

Sababu yake nini hasa?
Maswali yako yote hayana mashiko. Ni ya kitoto na ya kipuuzi kupindukia.
 
Mwaka 2020 Mbowe alijipatia VIP PROTECTION-kwanini?

1. Ana hela nyingi- lakini yeye katuambia akaunti zake zote zilikuwa zimefungiwa hivyo hakuwa na cha kuibiwa

2. Alikuwa kwenye hatari? Kwao Hai? Hai kabisa

3. Alikuwa mgombea urais?

Sababu yake nini hasa?
Upo Tanzania kweli wewe,!..??utekaji na upotezwaji wa watu hukuusikia!?
Ben saa nane kapotezwa,Tundulisu alimiminiwa risasi kumi 19 ! Mchana kweupee,Bado unauliza swali!!?
 
Upo Tanzania kweli wewe,!..??utekaji na upotezwaji wa watu hukuusikia!?
Ben saa nane kapotezwa,Tundulisu alimiminiwa risasi kumi 19 ! Mchana kweupee,Bado unauliza swali!!?
Wachana na hao wasiyo julikana
 
Polisi wamataka walinzi wa viongozi wa upinzani wawe wabeba vyuma na watunisha misuli kusikia makomandoo wameajiliwa wakapanic
 
Huyo gaidi wanamchelewesha tu kama alifikia hatua ya kutapeli familia yake kwa kujimilikisha mali zote za urithi wampige haraka mvua 50
Huyu Mbowe alikutenda nini? Inaonekana alikutenda kitu husahau. ! Au alimla mkeo kakuzalia mtoto?. Inawezekana alikuwa anakurarua marinda si bure.! Kila comment apigwe 50! ukijigusa gaidi! Si upeleke ushahidi ulionao huko mahakamani. ila naona uliathiriwa na tabia ya mwendazake. Mungu ni Mungu na haki itabaki kuwa haki tu.
 
Huyo gaidi wanamchelewesha tu kama alifikia hatua ya kutapeli familia yake kwa kujimilikisha mali zote za urithi wampige haraka mvua 50
Binadamu timamu hawezi kuwa na akili mgando kama yako.
Unawezaje kunakili maandishi hayohayo kwenye nyuzi tofauti zenye maudhui tofauti!??
Kamuone mtaalamu wa afya ya akili kabla hujaanza kutembea uchi.
 
Makamu mwenyekiti wako anapigwa magazine nzima afu wewe mwenyekiti ukae kizembe zembe tu.
 
Back
Top Bottom