LGE2024 Kwanini Mbowe amekubali kuhojiwa na Kituo cha kimataifa cha Al Jazeera news wakati Uchaguzi haujaisha?

LGE2024 Kwanini Mbowe amekubali kuhojiwa na Kituo cha kimataifa cha Al Jazeera news wakati Uchaguzi haujaisha?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Je, ni halali kuvujisha Taarifa za Uchaguzi wa ndani wakati zoezi la Kupiga Kura halijakamilika?

Ona sasa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Tanzania umekuwa ndio habari kuu ya Al Jazeera Kwa Siku ya Leo

Viongozi tuwe Wazalendo 🐼
Kwanini wewe umekubali kuposti jambo hili kabla uchaguzi haujaisha??
 
Je, ni halali kuvujisha Taarifa za Uchaguzi wa ndani wakati zoezi la Kupiga Kura halijakamilika?

Ona sasa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Tanzania umekuwa ndio habari kuu ya Al Jazeera Kwa Siku ya Leo

Viongozi tuwe Wazalendo 🐼
Kwani 4R zinazuia kuzungumzia uchafuzi kwenye uchaguzi
 
Back
Top Bottom