Kwanini Mbowe anakuwa sehemu ya mjadala wa bunge la bajeti pasipo na ulazima? Je, ni kwa sababu ni Mtu Maarufu?!

Kwanini Mbowe anakuwa sehemu ya mjadala wa bunge la bajeti pasipo na ulazima? Je, ni kwa sababu ni Mtu Maarufu?!

Jana na Leo jina la mbunge wa zamani Freeman Mbowe limekuwa likitajwa tajwa sana bungeni huku wabunge wakipiga makofi na wengine vigelegele.

Nijuavyo mimi hili ni bunge la bajeti na Freeman Mbowe siyo mbunge na wala hajishughulishi na kazi za bunge

Kinachonishangaza wabunge wanapojadili mpango wa taifa wa maendeleo 2020/25 wanamrejea Mbowe.
Wanapojadili hotuba ya ofisi ya Waziri mkuu wanamrejea Mbowe kwamba kwanini bado ni mwenyekiti wa Chadema wakati ana mbunge mmoja tu.

Ndio najiuliza Freeman Mbowe ni nani katika bajeti ya nchi hii?

Au ni mtu maarufu sana ukimtajataja unapata kiki?

Niishie hapo.
Feared (Fear of unkown). That's why you see the attacks towards him are irrelevant, baseless, and mostly unrelated to matters being debated during specific Parliamentary sessions.
Imagine, he's not even a member of Parliament; in which case if he was we would have witnessed very heated debates and urguments.
 
Back
Top Bottom