Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asomaye na aelewe, natamani mngeiona Butiama.Mkoa wa Mara uliharibiwa na Mwl Nyerere mwenyewe. Enzi zake hakutaka kufanya jambo lolote kwenye mkoa huo, kwa kigezo cha kuonekana anapendelea kwao. Yaani hata barabara za lami tu hazikuwepo.
Hadi leo mkoa ule ni wa mwisho kwa kila kitu. Jambo litaanzia sehemu zote na Mara ndio itakuwa ya mwisho.
Ninavyokuheshimu hadi nimeduwaa kwa hiyo kauli.Arusha inayo? Mbwiga
Hakuna kiwanja cha ndege kinachojengwa Dodoma, naishi hapa ingewezekana kushea live location yangu ungeona! twende ukanionyeshe kinapojengwa swahiba,uko serious kabisa na swali lako?
kwani kinachojengwa Dom kina faida gani ikiwa KIA na JNIA hazipati flights za kutosha?
Shida ni moja clearly ni ngumu kufika Musoma kwa flights ila inachukua masaa machache sana kufika Serengeti ukishafika Musoma!Ninavyokuheshimu hadi nimeduwaa kwa hiyo kauli.
Nikikushukuru nahisi sitapungukiwa kitu pia.
Ndio Arusha iko karibu na kia ni 45km to Arusha cc.
Hapo ilaumi jamii ya maraKatika hizo mbuga ulizotaja inayotembelewa na watalii wengi ni Serengeti iliyopo mkoa wa Mara na ukiangalia distance kutoka Arusha mpaka Serengeti ni kubwa kuliko kutoka Musoma mjini to Serengeti.
Hahahah Mwl Nyerere alizingua sana eti kanda ya ziwa hakuna hata chuo kikuuu! Yaani ujinga huu jiwe hakutaka kuufanya! Hata Hospital ya moka kaja kumalizia JPM!Nyie mnachoweza ni ugomvi wa kwenye Madini huko.
Wakurya na Utalii wapi na wapi?
LNG Project Trillion 71 Lindi, upo hapo!?Hapana Lindi ndio wa mwisho tena mwisho kushoto kabisa wakifuatiwa na Mtwara kule puuuh!
Jibu fupi...hakuna miundombinu ya utalii MusomaShida ni moja clearly ni ngumu kufika Musoma kwa flights ila inachukua masaa machache sana kufika Serengeti ukishafika Musoma!
Arusha kuna makampuni binafsi yenye videge vidogovidogo vingi ndicho kinachofanya watalii wasihangaike na Musoma
Ujinga huu hakutoka kwa mtu mwingine ulitoka kwa Nyerere!Mambo mengine ni maamuzi binafsi ya MUNGU
Serengeti upande wa Kusini Mashariki inakutana na Ngorongoro creater ambayo ipo ndani ya Arusha. Pia kaskazini Mashariki inakutana na Loliondo game controlled area ambayo nayo ni Arusha. Kwa hiyo Serengeti iko accessible vizuri tu tokea Arusha.Simiyu ni pori la akiba Kijereshi na Arusha hakuna sehemu ndani ya mkoa wa Arusha hifadhi ya Serengeti inafanya coverage na hifadhi ya Serengeti kwa mapana zaidi ipo ndani ya mkoa wa Mara. I stand to be corrected.
Lete ushahidi kwamba mkoa wa Mara ni wa mwisho kwa kila kitu. Otherwise you shut up your dirty mouth!Mkoa wa Mara uliharibiwa na Mwl Nyerere mwenyewe. Enzi zake hakutaka kufanya jambo lolote kwenye mkoa huo, kwa kigezo cha kuonekana anapendelea kwao. Yaani hata barabara za lami tu hazikuwepo.
Hadi leo mkoa ule ni wa mwisho kwa kila kitu. Jambo litaanzia sehemu zote na Mara ndio itakuwa ya mwisho.
Ndugu yangu hata kama sio wa mwisho ni mkoa mbovu sana na hakuna anayetamani kwenda kulaa Musoma!Lete ushahidi kwamba mkoa wa Mara ni wa mwisho kwa kila kitu. Otherwise you shut up your dirty mouth!
Mara akuna hotel za maana za kufikia watali hizo hotel walipaswa wajenge watu binafsi na siyo serikali Arusha wazaliwa wa kanda hiyo wamejenga mahotel ya kifahari mara kutonufaika na mbuga sababu ni Wana mara wenyewe na Arusha kunufaika sababu ni wanaarusha kuona fursaWasaalam! Kwa fikra pana sana na hofu ya Mungu iliotukuka ningependa kulileta suala hili mbele yenu tulijadili kwa mapana zaidi bila ya chuki za ukanda wala ukabila.
Kwanini mbuga ya Serengeti haiunufaishi mkoa wa Mara?