I kweli! Hapo nakuunga mkono kama wana Mara hawaendezi kwao wao ni kujazana Mwanza na Dar hawajali kwoa!Mara akuna hotel za maana za kufikia watali hizo hotel walipaswa wajenge watu binafsi na siyo serikali Arusha wazaliwa wa kanda hiyo wamejenga mahotel ya kifahari mara kutonufaika na mbuga sababu ni Wana mara wenyewe na Arusha kunufaika sababu ni wanaarusha kuona fursa
Mfano huko Majita ni umasikini na ngono na kurogana tu!
Tarime ndo iko vizuri na wafanyabiashara wengi mkoa wa mara ni watu wa Tarime!