Kwanini mbuga ya Serengeti haiunufaishi mkoa wa Mara badala yake inainufaisha Arusha

Kwanini mbuga ya Serengeti haiunufaishi mkoa wa Mara badala yake inainufaisha Arusha

Arusha imezungukwa na vivutio vingi hivyo technically huwezi kukwepa kuweka miundombinu mizuri. Pia mgeni hadi afike Serengeti anakuwa kashatembelea Manyara na Ngorongoro ambazo ziko njiani akiwa anaelekea Serengeti. Mgeni akishukia KIA anaanza utalii kabla hata hajafika Serengeti. Mgeni mwingine anaweza kutembelea Tarangire, Manyara, Ngorongoro kisha Serengeti. Mimi nadhani watu wa Mara wangeongeza juhudi kwenye kuuza mayai.
Huna akili, biashara ya mayai inafanywa na jamii moja tu kutoka wilaya ya Tarime Wakurya na siyo watu wote wa Mara.

Jinga kabisa Wewe.

Cc: GENTAMYCINE
 
Wasaalam! Kwa fikra pana sana na hofu ya Mungu iliotukuka ningependa kulileta suala hili mbele yenu tulijadili kwa mapana zaidi bila ya chuki za ukanda wala ukabila.

Kwanini mbuga ya Serengeti haiunufaishi mkoa wa Mara?
Mkoa wa Mara wao wameshachagua fungu lao. Wanavyojisifu navyo ndiyo fungu lao.
 
Mtu akiwa Arusha ni rahisi kupata access ya Tarangire, Ngorongoro, Serengeti kuliko akiwa Musoma, Bunda, Mwanza.
MADA: "Kwanini mbuga ya Serengeti haiunufaishi mkoa wa Mara badala yake inanufaisha Arusha? "
 
Selou game reserve kuna international airport? Kilwa, Ruaha kuna international airport?
Sasa niambie mkuu.
Huko koote ulipopataja kituo kikuu cha utalii kinaanzia wapi?
Ni mji gani watalii hufika kabla hawapelekwa kutalii?
Au watoa huduma huanzia safari wapi?

Unajua kuwa watoa huduma wa kitalii hupatikana au wapo kwa wingi Zanzibar na Arusha?

Umeielewa mada vizuri mkuu?
 
Sasa niambie mkuu.
Huko koote ulipopataja kituo kikuu cha utalii kinaanzia wapi?
Ni mji gani watalii hufika kabla hawapelekwa kutalii?
Au watoa huduma huanzia safari wapi?

Unajua kuwa watoa huduma wa kitalii hupatikana au wapo kwa wingi Zanzibar na Arusha?

Umeielewa mada vizuri mkuu?
Mimi ni expert, watalii wanaletwa na maajenti wazungu wenzao hawaji tu wenyewe.

Huwezi kuniambia Botswana ni Katibu kuliko kutoka Mwanza kwenda Serengeti, au kutoka Dar kwenda Serengeti.

Ukiona malori makubwa yamejaa wazungu ujuwe yanatoka Botswana na South Africa.

Agent wa Botswana anakula vichwa jumla mwamba ukifika Botswana utapata na access ya kwenda Mount Kilimanjaro Tanzania.

Tatizo kubwa la Tanzania wanaostahili kuwa na Madaraka wapo benchi na badala yake wajinga wengi ndio wenye Madaraka.

Ukiacha hiyo mbuga ya Serengeti hilo ziwa Victoria lenyewe linatumika effectively?
 
Hakuna kiwanja cha ndege kinachojengwa Dodoma, naishi hapa ingewezekana kushea live location yangu ungeona! twende ukanionyeshe kinapojengwa swahiba

Acha ndoto za mchana huku kuna mvua tu za kipumbavu
Jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa Msalato liliwekwa na Rais Samia tarehe 31 Oktoba, 2022 Jijini Dodoma.

Inaonekana wewe hufuatilii mambo ya msingi, hujitambui au ni kijana wa ovyo sana wewe.
 
Hebu watu wa Mara mlioko Mara mmechangia hapa hebu njoeni tena

Mara haina chuo kikuu je mikoa yote inachuo kikuu thou ina chuo lakini sio kama vya kina udsm kitu nyerere alikosea alitaka kuwa socialist kitu ambacho sio all african countries can na kila rais aliyekuja baada ake it was like kwangu kwanza kwako baadae

Mara haina hoteli nzur mmefika musoma mjini lakini au na ile expensive luxury hoteli ya grumeti iko dar nayo

Mara ni tarime au mnaisema kwasababu ya mgodi( tarime ni wilaya inayochangia mapato makubwa kwa mkoa huu).

Unaesema majita kuna umaskini mmh nmechoka akat majita wanafikiwa umeme ambao tarime vijijin awana au umaskini upi unasema tena.

Mara awalimi seriously au mnaongea mkiwa dar ukitoka bunda kuja musoma amuoni majaruba yabmashamba au.

Mara sio mji wa kuhamia guys let's be serious akat mkoa huu umebadilika sababu ya mwingiliano wa watu ambao sio wa uku kidogo ideology zao zimebadilika.

Mnasema watu wa mara wana roho mbaya mmh kitu ambacho si kweli nilivo kaa na awa watu wana ile there is limit to everything kaa kwa mipaka yako tutaishi vizuri zaidi ya apo ni watu poa sana.

Usicategorise sehemu yote kwa sababu ya sehemu ndogo uzuri huu mkoa ni mdogo aje mtu tuzunguke tarime na musoma yote afu turejeshe apa mrejesho.

Nimalizie tu kwa kusema wakati tokea nmefika huu mkoa mara umeme umekata nadra sana kutokea na 10 minutes unarud thou jana tu na ile siku mtu alipanda kwa nyaya za umeme ndo ilichukua 4hrs zaidi ya hapo umeme ni 24/7.

Hali ya hewa safi karibuni sana uku achaneni na habari za media uku tunanunua samaki bado anarukaruka na dagaa fresh ata azijakauka vizuri vegetables na vitu ksma nyanya etc vyote fresh from shamba.
Muraaa, hariri ulichoandika ili tuelewe vizuri (una hoja nzuri).
 
Hapana acha uongo wachaga wawe na Coaster nyingi huko Tarime na Bunda?
Huko wakurya na wasukuma ndio wanacoaster nyingi mpaka ufike Mwanza coasted nyingi ni zal hata hapo stendi ya Nyamhongolo wenye magari mengi ni hao watu wa Mwanza na Tarime!
Kuna coaster zinaend mwanza kutoka musoma au umeandika basi tu sema unaongelea yale madcm na mabasi makubwa

ili uende tarime au sirari kutoka musoma unatumia coaster ziko stendi ya bweri kutoka na mabasi ayafiki uku yakifika makutano yenyewe yanaend direct tarime

Then kuna short trips za coaster zenye route za bunda to musoma pamoja na zile michomoko
 
Kuna coaster zinaend mwanza kutoka musoma au umeandika basi tu sema unaongelea yale madcm na mabasi makubwa

ili uende tarime au sirari kutoka musoma unatumia coaster ziko stendi ya bweri kutoka na mabasi ayafiki uku yakifika makutano yenyewe yanaend direct tarime

Then kuna short trips za coaster zenye route za bunda to musoma pamoja na zile michomoko
Tatizo mnapenda sana sifa za kijinga!
 
MADA: "Kwanini mbuga ya Serengeti haiunufaishi mkoa wa Mara badala yake inanufaisha Arusha? "
Tuseme mikataba but sababu kuu ni serenget ya mara iko managed na grumeti(owner ni mmarekani) tokea miaka ya nyuma so ni kama ameimonopolise kwa uku mara ambao wanaifidika ni serikali na wao wenyewe landa tusubiri baada ya miaka 99 kuisha

na ukiangalia ughali wa ile hotel ametarget world celebrities na ambao wanauwez wa kuafford all luxuries kama private jet to grumet


Mtanzania wa kawaida kuafford 2500dollar per night kwa mbuga ni wachache wengine tunategemea izi tour za 150k n so on

Ukifika kijiji natta around
grumeti ndo utakuta maendeleo ambayo ni kwa benefit ake remember grumeti ana own 250k+ acres za Serengeti
 
Wasaalam!

Kwa fikra pana sana na hofu ya Mungu iliotukuka ningependa kulileta suala hili mbele yenu tulijadili kwa mapana zaidi bila ya chuki za ukanda wala ukabila.

Kwanini mbuga ya Serengeti haiunufaishi mkoa wa Mara?
Hiyo ni mali taifa sio mali ya mara
 
Kwasababu kanda ya ziwa hakuna international airport, kama ilivyo KIA kwa Kilimanjaro ndio maana Arusha inanufaika.

Pambaneni Mwanza kuwe na international airport ndio hiyo Mara itafaidika; tofauti na hapo ni ndoto.
Hotel ziko sasa za kulaza hao wageni huko mwz na mara
 
Back
Top Bottom