Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
- #21
Sasa si ndio nauliza kwa nini aondolewe kipindi ambacho alikuwa akifanya vizuri?Jibu swali. Ile ni ofisi kuna job allocation na job rotation. Una barua yake ya ajira?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si ndio nauliza kwa nini aondolewe kipindi ambacho alikuwa akifanya vizuri?Jibu swali. Ile ni ofisi kuna job allocation na job rotation. Una barua yake ya ajira?
Kwa nini umeuliza kafukuzwa badala ya kahamishwa kipindi?Sasa si ndio nauliza kwa nini aondolewe kipindi ambacho alikuwa akifanya vizuri?
Msamiati tu, pointi ni kwamba aliondolewaKwa nini umeuliza kafukuzwa badala ya kahamishwa kipindi?
Mchizi mmbea sana , angalia post zake huko mjini Instagram
HahahahqIla ni raha sana ukitetewa na mke wako kama hivi....
Mbona wewe ni mke wa mtu nasi hatuna tatizo juu ya ndoa Yako!!Ila ni raha sana ukitetewa na mke wako kama hivi....
Bila kumuweka ticha, Tigana lukinja hiyo list yako ni ya mchongoOscar Oscar hajawahi kuwa mchamuzi mahiri wa soka.
Wachambuzi mahiri wa soka Tanzania ni....
1.Theogenes Alex kASHASHA.
2. George Ambangile
3. Jemedari said Kazumari.
Wengine wooote unaowajua ni wapiga kelele wa soka.
Mkuu, huyo namba 3 ndio sahihi haswa na mwengine ni Amri Kiemba.Oscar Oscar hajawahi kuwa mchamuzi mahiri wa soka.
Wachambuzi mahiri wa soka Tanzania ni....
1.Theogenes Alex kASHASHA.
2. George Ambangile
3. Jemedari said Kazumari.
Wengine wooote unaowajua ni wapiga kelele wa soka.
Kulitokea Ugomvi wa Maneno na Kuchukiana kati yake na Mchambuzi Mwenzake Jemedari Said.Wakuu nini kilichopelekea mchambuzi mahiri wa soka, Oscar Oscar kutimuliwa kwenye kipindi cha michezo cha E FM na kupelekwa vipindi vya wanawake vinavyozungumzia umbea?
Maana sasa hivi anatangaza kipindi kimoja na Dina Marios!
Mpaka sasa katika Historia hakuna Wachambuzi wa Soka waliowahi kuwafikia au hata tu Kuwazidi hawa Nguli wafuatao.....Oscar Oscar hajawahi kuwa mchamuzi mahiri wa soka.
Wachambuzi mahiri wa soka Tanzania ni....
1.Theogenes Alex kASHASHA.
2. George Ambangile
3. Jemedari said Kazumari.
Wengine wooote unaowajua ni wapiga kelele wa soka.
Jemedari mtoe hapoOscar Oscar hajawahi kuwa mchamuzi mahiri wa soka.
Wachambuzi mahiri wa soka Tanzania ni....
1.Theogenes Alex kASHASHA.
2. George Ambangile
3. Jemedari said Kazumari.
Wengine wooote unaowajua ni wapiga kelele wa soka.
Dr leaky abdallah alikua anajua story za mpira,hakuwa mchambuzi wa mpira...kipindi kile hatukujua vya kutosha kuhusu mpira tukamuona mwambaMpaka sasa katika Historia hakuna Wachambuzi wa Soka waliowahi kuwafikia au hata tu Kuwazidi hawa Nguli wafuatao.....
1. Dk. Leakey Abdallah
2. Haji Manara
3. Sapi
Na hawa ndiyo Waanzilishi wa 99% ya Wachambuzi wote wa Soka Tanzania kuanzia kwa akina Shaffih Dauda, Saleh Ally, Ali Mayai na hawa Uliowataja hapa.
Kama mwana Simba SC nina Bifu na Haji Manara ( Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC ) ila GENTAMYCINE nikiacha Unafiki na Chuki huyu Jamaa ( Haji Manara ) yuko vizuri sana Kiuchambuzi na anajua mno Mpira wa Tanzania na huko Duniani.
Edo hajui mpira,ambangile anajuaEdo kumwembe ni kiboko ya wote
Naheshimu Maoni yako kama ambavyo nawe unatakiwa Kuyaheshimu yangu.Dr leaky abdallah alikua anajua story za mpira,hakuwa mchambuzi wa mpira...kipindi kile hatukujua vya kutosha kuhusu mpira tukamuona mwamba
SureNaheshimu Maoni yako kama ambavyo nawe unatakiwa Kuyaheshimu yangu.
Huyo nae Ni mchambuzi gani mahiri yule bangi mbuz kbsa HV unaaka nawew unamsikikiza oscar redioniWakuu nini kilichopelekea mchambuzi mahiri wa soka, Oscar Oscar kutimuliwa kwenye kipindi cha michezo cha E FM na kupelekwa vipindi vya wanawake vinavyozungumzia umbea?
Maana sasa hivi anatangaza kipindi kimoja na Dina Marios!
Mtoe jemedari hapo mganga yule siyo mchambuziOscar Oscar hajawahi kuwa mchamuzi mahiri wa soka.
Wachambuzi mahiri wa soka Tanzania ni....
1.Theogenes Alex kASHASHA.
2. George Ambangile
3. Jemedari said Kazumari.
Wengine wooote unaowajua ni wapiga kelele wa soka.
Mm mwenyewe nimemshangaa snaaYani Kazumari unamweka miongoni mwa wachambuzi mahiri? Aisee. Kweli Mungu katuumba tofautitofauti.