Yaani Wawa na Onyango wanamuweka benchi Nondo na Lamine? Muwage serious....Hiyo hali hiyo inasababishwa na Simba kuwa na timu mzuri zaidi, kuliko yanga, ama unadhani Yanga ni wachawi sana, kuwa wanaroga ili waendako wasicheze vizuri.
Kwa mfano sasa sioni mchezaji yeyote wa Yanga, anaecheza kwenye nafasi yake, wakumuweka benchi mchezaji wa Simba anaecheza kwa nafasi hiyo hiyo.
Ila simba wapo wa kuwaweweka Benchi wa Yanga. Sasa unategemea mchezaji aji Simba alafu ang'ae.
Yanga inauza wachezaji waliochoka, wakati simba unauza wachezaji ambao bado wako kwenye 'form'.Niyonzima ndiye anayenishangaza zaidi! Jamaa walitoa hela ndefu ya kumsajili na anakula bonge la mshahara! Ukiondoka Yanga kwa adabu kama Msuva huwezi shindwa huko uendako
Dilunga alikuwa timu ya jeshi kabla ya kuhamia yanga baada ya kuchemsha yanga akaenda mtibwa kabla ya kusajiliwa SimbaSi unielekeze boss nilijua mwingine
Dilunga alikuwa timu ya jeshi kabla ya kuhamia yanga baada ya kuchemsha yanga akaenda mtibwa kabla ya kusajiliwa Simba
Alipotoka Yanga alienda stand united baada ya hapo ndo akaenda mtibwaDilunga alikuwa timu ya jeshi kabla ya kuhamia yanga baada ya kuchemsha yanga akaenda mtibwa kabla ya kusajiliwa Simba
Yanga ni Mpili watupu. Wanawaroga wachezaji.Je Yanga huwa wanatoa laana kwa wachezaji wanaohama klabu yao?
Mifano iko wazi kama ifuatavyo...
Frank Domayo alitoka Yanga akiwa fomu sana akaenda Azam Fc. Kila mmoja ni shahidi juu ya kilichomkuta Domayo. Goti linamuuma mpaka kesho, na hajawahi kurudi katika ubora wake.
Mrisho Ngassa alipoihama Yanga na kwenda Azam Fc uwezo ukaisha hapohapo.
Dider Kavumbagu alipoondoka Azam Fc kutoka Yanga aliishia kuchemsha.
Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima "Fabregas" alipoihama Yanga kwa mbwembwe na kutua Simba, hakuna asiyejua kinachomsibu kiungo huyo fundi wa mpira, amekuwa mchezaji.wa kawaida sana.
Yanga msiwabanie wachezaji, wenzenu wanatafuta maisha
Majini babaBanks na Musso nimewashuhudia. Ila kwa kizazi cha sasa kiukweli wanachemsha sana
Mayele vipi?Akili za kibongo zinaamini ushirikina tu. Mbona humsemi Msuva.?
Msuva alichemsha wapi?halafu domayo mbona azam alicheza kwa mafanikio tuJe Yanga huwa wanatoa laana kwa wachezaji wanaohama klabu yao?
Mifano iko wazi kama ifuatavyo...
Frank Domayo alitoka Yanga akiwa fomu sana akaenda Azam Fc. Kila mmoja ni shahidi juu ya kilichomkuta Domayo. Goti linamuuma mpaka kesho, na hajawahi kurudi katika ubora wake.
Mrisho Ngassa alipoihama Yanga na kwenda Azam Fc uwezo ukaisha hapohapo.
Dider Kavumbagu alipoondoka Azam Fc kutoka Yanga aliishia kuchemsha.
Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima "Fabregas" alipoihama Yanga kwa mbwembwe na kutua Simba, hakuna asiyejua kinachomsibu kiungo huyo fundi wa mpira, amekuwa mchezaji.wa kawaida sana.
Yanga msiwabanie wachezaji, wenzenu wanatafuta maisha
Kipimo cha mafanikio ni kipi?Msuva alichemsha wapi?halafu domayo mbona azam alicheza kwa mafanikio tu
Uzi umefufuka
Kibinafsi domayo alifanikiwa sana azam ila kitimu labda unaweza kusema akufanikiwa sababu hajawahi kushinda taji la maana zaidi ya mapinduzi cup,domayo alikiwasha sana azam mpaka mwaka juzi walipomuacha sababu ya kushuka kiwango na umri pia ushaanza kumuacha,kwa msuva alipokua al jadida alikiwasha hadi wydad wakamnunua kwa pesa nyingi wydad ile ilichukua baroka cup na klabu bingwa africa japokua msuva baadae alisusa na kurudi TZ sababu za kimaslahi,upande wa pili kuna chama na mikson nadhani unafahamu kilichowakutaKipimo cha mafanikio ni kipi?
Hatimaye imebainika ni majiniMajini baba
Mind game hiyo nyie mmebebwa na mkabebekaMayele vipi?
Msuva hakuchukua CAF Champions League na Wydad.Kibinafsi domayo alifanikiwa sana azam ila kitimu labda unaweza kusema akufanikiwa sababu hajawahi kushinda taji la maana zaidi ya mapinduzi cup,domayo alikiwasha sana azam mpaka mwaka juzi walipomuacha sababu ya kushuka kiwango na umri pia ushaanza kumuacha,kwa msuva alipokua al jadida alikiwasha hadi wydad wakamnunua kwa pesa nyingi wydad ile ilichukua baroka cup na klabu bingwa africa japokua msuva baadae alisusa na kurudi TZ sababu za kimaslahi,upande wa pili kuna chama na mikson nadhani unafahamu kilichowakuta
Sikuwa nafahamu kuwa ni tokea kitambo. Halafu wanamtukana Mayele.Umeweka hapa hoja ya msingi sana siyo akienda Azam tu bali hata Simba...huo ndio ukweli na sijui kuna nini, binafsi huwa sielewi pia... historia inaonyesha hivyo...Ezeckiel Greyson ilikuwa hivyo aliwika Yanga miaka ya 70 na alipokwenda Simba ikawa nidyo mwisho wa enzi...wapo wengi tu akina Omari Hussein, Maulid Dilunga, Edibily Lunyamila na kadhalika na kadhalika...Baadhi yao kama akina Omari Hussein, Said Mwamba na Lunyamila na pia Mohammed Hussein walirudi tena Yanga na wakatulia...
Ila mchezaji akitoka Simba na kuja Yanga nyota yake huwaka maradufu...Kama akina Method Mogella, Yondan, Deo Munishi, Ajib na wengine wengi tu...
Ukiona mchezaji ametoka Yanga na kwenda Simba wewe mhurumie tu....ni sawa na wachezaji wa Arsenal wengi wao wakitoka timu hiyo na kwenda timu nyingine hucheza kwa msimu mmoja tu na kupotea...
Wydad ya msuva ndio ilichukua klabu bingwa,ila yy akuwepo kikosini alisusa sababu ya kimaslahiMsuva hakuchukua CAF Champions League na Wydad.
Wydad ya kina Msuva ilitolewa Semi final na Al Ahly na msimu uliofuata ilitolewa na Kaizer chiefs.