Kwanini Mchezaji akitoka Yanga kwenda Timu Nyingine Lazma Achemshe

Kwanini Mchezaji akitoka Yanga kwenda Timu Nyingine Lazma Achemshe

Hiyo hali hiyo inasababishwa na Simba kuwa na timu mzuri zaidi, kuliko yanga, ama unadhani Yanga ni wachawi sana, kuwa wanaroga ili waendako wasicheze vizuri.

Kwa mfano sasa sioni mchezaji yeyote wa Yanga, anaecheza kwenye nafasi yake, wakumuweka benchi mchezaji wa Simba anaecheza kwa nafasi hiyo hiyo.
Ila simba wapo wa kuwaweweka Benchi wa Yanga. Sasa unategemea mchezaji aji Simba alafu ang'ae.
Yaani Wawa na Onyango wanamuweka benchi Nondo na Lamine? Muwage serious....
 
Niyonzima ndiye anayenishangaza zaidi! Jamaa walitoa hela ndefu ya kumsajili na anakula bonge la mshahara! Ukiondoka Yanga kwa adabu kama Msuva huwezi shindwa huko uendako
Yanga inauza wachezaji waliochoka, wakati simba unauza wachezaji ambao bado wako kwenye 'form'.
 
Nadhani ni kwa sababu huwa wanajiko la gesi so kuchemsha inakuwa simple
 
Je Yanga huwa wanatoa laana kwa wachezaji wanaohama klabu yao?

Mifano iko wazi kama ifuatavyo...

Frank Domayo alitoka Yanga akiwa fomu sana akaenda Azam Fc. Kila mmoja ni shahidi juu ya kilichomkuta Domayo. Goti linamuuma mpaka kesho, na hajawahi kurudi katika ubora wake.

Mrisho Ngassa alipoihama Yanga na kwenda Azam Fc uwezo ukaisha hapohapo.

Dider Kavumbagu alipoondoka Azam Fc kutoka Yanga aliishia kuchemsha.

Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima "Fabregas" alipoihama Yanga kwa mbwembwe na kutua Simba, hakuna asiyejua kinachomsibu kiungo huyo fundi wa mpira, amekuwa mchezaji.wa kawaida sana.

Yanga msiwabanie wachezaji, wenzenu wanatafuta maisha
Yanga ni Mpili watupu. Wanawaroga wachezaji.
Hii tabia waiache

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Je Yanga huwa wanatoa laana kwa wachezaji wanaohama klabu yao?

Mifano iko wazi kama ifuatavyo...

Frank Domayo alitoka Yanga akiwa fomu sana akaenda Azam Fc. Kila mmoja ni shahidi juu ya kilichomkuta Domayo. Goti linamuuma mpaka kesho, na hajawahi kurudi katika ubora wake.

Mrisho Ngassa alipoihama Yanga na kwenda Azam Fc uwezo ukaisha hapohapo.

Dider Kavumbagu alipoondoka Azam Fc kutoka Yanga aliishia kuchemsha.

Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima "Fabregas" alipoihama Yanga kwa mbwembwe na kutua Simba, hakuna asiyejua kinachomsibu kiungo huyo fundi wa mpira, amekuwa mchezaji.wa kawaida sana.

Yanga msiwabanie wachezaji, wenzenu wanatafuta maisha
Msuva alichemsha wapi?halafu domayo mbona azam alicheza kwa mafanikio tu
 
Kipimo cha mafanikio ni kipi?
Kibinafsi domayo alifanikiwa sana azam ila kitimu labda unaweza kusema akufanikiwa sababu hajawahi kushinda taji la maana zaidi ya mapinduzi cup,domayo alikiwasha sana azam mpaka mwaka juzi walipomuacha sababu ya kushuka kiwango na umri pia ushaanza kumuacha,kwa msuva alipokua al jadida alikiwasha hadi wydad wakamnunua kwa pesa nyingi wydad ile ilichukua baroka cup na klabu bingwa africa japokua msuva baadae alisusa na kurudi TZ sababu za kimaslahi,upande wa pili kuna chama na mikson nadhani unafahamu kilichowakuta
 
Kibinafsi domayo alifanikiwa sana azam ila kitimu labda unaweza kusema akufanikiwa sababu hajawahi kushinda taji la maana zaidi ya mapinduzi cup,domayo alikiwasha sana azam mpaka mwaka juzi walipomuacha sababu ya kushuka kiwango na umri pia ushaanza kumuacha,kwa msuva alipokua al jadida alikiwasha hadi wydad wakamnunua kwa pesa nyingi wydad ile ilichukua baroka cup na klabu bingwa africa japokua msuva baadae alisusa na kurudi TZ sababu za kimaslahi,upande wa pili kuna chama na mikson nadhani unafahamu kilichowakuta
Msuva hakuchukua CAF Champions League na Wydad.

Wydad ya kina Msuva ilitolewa Semi final na Al Ahly na msimu uliofuata ilitolewa na Kaizer chiefs.
 
Umeweka hapa hoja ya msingi sana siyo akienda Azam tu bali hata Simba...huo ndio ukweli na sijui kuna nini, binafsi huwa sielewi pia... historia inaonyesha hivyo...Ezeckiel Greyson ilikuwa hivyo aliwika Yanga miaka ya 70 na alipokwenda Simba ikawa nidyo mwisho wa enzi...wapo wengi tu akina Omari Hussein, Maulid Dilunga, Edibily Lunyamila na kadhalika na kadhalika...Baadhi yao kama akina Omari Hussein, Said Mwamba na Lunyamila na pia Mohammed Hussein walirudi tena Yanga na wakatulia...

Ila mchezaji akitoka Simba na kuja Yanga nyota yake huwaka maradufu...Kama akina Method Mogella, Yondan, Deo Munishi, Ajib na wengine wengi tu...

Ukiona mchezaji ametoka Yanga na kwenda Simba wewe mhurumie tu....ni sawa na wachezaji wa Arsenal wengi wao wakitoka timu hiyo na kwenda timu nyingine hucheza kwa msimu mmoja tu na kupotea...
Sikuwa nafahamu kuwa ni tokea kitambo. Halafu wanamtukana Mayele.

Kweli lisemwalo lipo.
 
Back
Top Bottom