Kwanini Mchezaji akitoka Yanga kwenda Timu Nyingine Lazma Achemshe

😁😂
 
HUuu Uzi utaishi miaka Elfu.
Utopolo siyo sehemu sahihi kwa Mchezaji mwenye malengo tulishasema na tutaendelea kusema. Kuanzia Viongozi na Mashabiki ni watu wenye akili kisoda na husda sana. Hizi aibu zitaendelea kuwaandama wasipo badilika
 
HUuu Uzi utaishi miaka Elfu.
Utopolo siyo sehemu sahihi kwa Mchezaji mwenye malengo tulishasema na tutaendelea kusema. Kuanzia Viongozi na Mashabiki ni watu wenye akili kisoda na husda sana. Hizi aibu zitaendelea kuwaandama wasipo badilika
Endeleeni hivyo hivyo na ujinga wenu
 
Usisahau msuva alitoka yangu
Vipi upande wa simba
Luis Micquison alienda Al ahaly
Chama alitoka simba kwenda al ahly pia, mkude alitoka simba kaenda yanga
Nasoro Kapama saivi sijui yupo wapi yule jamaa.

Sio kwa ubaya lakini tuweke kumbukumbu sawa
 
baada ya miaka mitano jibu ndio limepatikana, mayele amesema utopolo Wana majini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…