Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Je Yanga huwa wanatoa laana kwa wachezaji wanaohama klabu yao?
Mifano iko wazi kama ifuatavyo...
Frank Domayo alitoka Yanga akiwa fomu sana akaenda Azam Fc. Kila mmoja ni shahidi juu ya kilichomkuta Domayo. Goti linamuuma mpaka kesho, na hajawahi kurudi katika ubora wake.
Mrisho Ngassa alipoihama Yanga na kwenda Azam Fc uwezo ukaisha hapohapo.
Dider Kavumbagu alipoondoka Azam Fc kutoka Yanga aliishia kuchemsha.
Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima "Fabregas" alipoihama Yanga kwa mbwembwe na kutua Simba, hakuna asiyejua kinachomsibu kiungo huyo fundi wa mpira, amekuwa mchezaji.wa kawaida sana.
Yanga msiwabanie wachezaji, wenzenu wanatafuta maisha
Mifano iko wazi kama ifuatavyo...
Frank Domayo alitoka Yanga akiwa fomu sana akaenda Azam Fc. Kila mmoja ni shahidi juu ya kilichomkuta Domayo. Goti linamuuma mpaka kesho, na hajawahi kurudi katika ubora wake.
Mrisho Ngassa alipoihama Yanga na kwenda Azam Fc uwezo ukaisha hapohapo.
Dider Kavumbagu alipoondoka Azam Fc kutoka Yanga aliishia kuchemsha.
Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima "Fabregas" alipoihama Yanga kwa mbwembwe na kutua Simba, hakuna asiyejua kinachomsibu kiungo huyo fundi wa mpira, amekuwa mchezaji.wa kawaida sana.
Yanga msiwabanie wachezaji, wenzenu wanatafuta maisha