masozist
JF-Expert Member
- Nov 19, 2019
- 352
- 316
Msuva hajacheza simbaAkili za kibongo zinaamini ushirikina tu. Mbona humsemi Msuva.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msuva hajacheza simbaAkili za kibongo zinaamini ushirikina tu. Mbona humsemi Msuva.?
Haka kajamaa ndio basiGadiel Michael
Nonda Shaaban alichemsha eeh?Je Yanga ni wachawi? Je huwa wanatoa laana kwa wachezaji wanaohama klabu yao?
Mifano iko wazi kama ifuatavyo...
Frank Domayo alitoka Yanga akiwa fomu sana akaenda Azam Fc. Kila mmoja ni shahidi juu ya kilichomkuta Domayo. Goti linamuuma mpaka kesho, na hajawahi kurudi katika ubora wake.
Mrisho Ngassa alipoihama Yanga na kwenda Azam Fc uwezo ukaisha hapohapo.
Dider Kavumbagu alipoondoka Azam Fc kutoka Yanga aliishia kuchemsha.
Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima "Fabregas" alipoihama Yanga kwa mbwembwe na kutua Simba, hakuna asiyejua kinachomsibu kiungo huyo fundi wa mpira, amekuwa mchezaji.wa kawaida sana.
Yanga punguzeni misumari, msiwabanie wachezaji, wenzenu wanatafuta maisha
Wala hakuna uchawi wowote, Msuva, Harieth Makambo walitoka Yanga na wanaendelea vizuri, bila kumsahau Nonda Shaaban Papii aliyetoka Yanga akakipiga mpaka Monaco.Je Yanga ni wachawi? Je huwa wanatoa laana kwa wachezaji wanaohama klabu yao?
Mifano iko wazi kama ifuatavyo...
Frank Domayo alitoka Yanga akiwa fomu sana akaenda Azam Fc. Kila mmoja ni shahidi juu ya kilichomkuta Domayo. Goti linamuuma mpaka kesho, na hajawahi kurudi katika ubora wake.
Mrisho Ngassa alipoihama Yanga na kwenda Azam Fc uwezo ukaisha hapohapo.
Dider Kavumbagu alipoondoka Azam Fc kutoka Yanga aliishia kuchemsha.
Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima "Fabregas" alipoihama Yanga kwa mbwembwe na kutua Simba, hakuna asiyejua kinachomsibu kiungo huyo fundi wa mpira, amekuwa mchezaji.wa kawaida sana.
Yanga punguzeni misumari, msiwabanie wachezaji, wenzenu wanatafuta maisha
kweli anang'ara ndevuMorrison mbona anangara bado
Mbn Makapu hajachemsha na Kaenda ndani ya 2 months kachukua Ndoo Zambia?..Je Yanga ni wachawi? Je huwa wanatoa laana kwa wachezaji wanaohama klabu yao?
Mifano iko wazi kama ifuatavyo...
Frank Domayo alitoka Yanga akiwa fomu sana akaenda Azam Fc. Kila mmoja ni shahidi juu ya kilichomkuta Domayo. Goti linamuuma mpaka kesho, na hajawahi kurudi katika ubora wake.
Mrisho Ngassa alipoihama Yanga na kwenda Azam Fc uwezo ukaisha hapohapo.
Dider Kavumbagu alipoondoka Azam Fc kutoka Yanga aliishia kuchemsha.
Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima "Fabregas" alipoihama Yanga kwa mbwembwe na kutua Simba, hakuna asiyejua kinachomsibu kiungo huyo fundi wa mpira, amekuwa mchezaji.wa kawaida sana.
Yanga punguzeni misumari, msiwabanie wachezaji, wenzenu wanatafuta maisha
Wewe ndio hauna kumbukumbu Kiemba alianzia yanga kabla ya kwenda timu nyongine na kusajiliwa simbaAmri Kiemba timu aliyochezea mda mrefu ni Simba.
Amri, alitoka Simba akaenda Yanga Akacheza mwaka mmoja, akarudi Simba.
Labda umepoteza kumbukumbu.
Dilunga mwingine alikuwa yanga sio huyuMbona hamumsemi Dilunga alichemsha yanga lakini yuko Simba anang'ara kuliko alipokuwa yanga au Nchimbi alipokuwa polisi na sasa yanga
Endelea kubaki hivyo hivyo usifate ushabiki wa mkumbo kabla ya kwenda mtibwa unajua alikuwa anachezea timu ganiDilunga mwingine alikuwa yanga sio huyu
Si unielekeze boss nilijua mwingineEndelea kubaki hivyo hivyo usifate ushabiki wa mkumbo kabla ya kwenda mtibwa unajua alikuwa anachezea timu gani
Mpaka kwa vilabu vikubwa ni Simba na Azam pekee ndiyo zina wachezaji ambao walau wamedum klabuni hapa kwa misimu mitano na kuendelea.Mashabiki wa Yanga huwa wanajua sana kuwapenda wachezaji wao huwa wavumilivu sana kwa wachezaji wao, Sasa akihama kwa kejeli nahisi huwa kama Kuna laana flani hivi wanampa