Kwanini Mchezaji akitoka Yanga kwenda Timu Nyingine Lazma Achemshe

Kwanini Mchezaji akitoka Yanga kwenda Timu Nyingine Lazma Achemshe

Je Yanga ni wachawi? Je huwa wanatoa laana kwa wachezaji wanaohama klabu yao?

Mifano iko wazi kama ifuatavyo...

Frank Domayo alitoka Yanga akiwa fomu sana akaenda Azam Fc. Kila mmoja ni shahidi juu ya kilichomkuta Domayo. Goti linamuuma mpaka kesho, na hajawahi kurudi katika ubora wake.

Mrisho Ngassa alipoihama Yanga na kwenda Azam Fc uwezo ukaisha hapohapo.

Dider Kavumbagu alipoondoka Azam Fc kutoka Yanga aliishia kuchemsha.

Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima "Fabregas" alipoihama Yanga kwa mbwembwe na kutua Simba, hakuna asiyejua kinachomsibu kiungo huyo fundi wa mpira, amekuwa mchezaji.wa kawaida sana.

Yanga punguzeni misumari, msiwabanie wachezaji, wenzenu wanatafuta maisha
Nonda Shaaban alichemsha eeh?
 
Je Yanga ni wachawi? Je huwa wanatoa laana kwa wachezaji wanaohama klabu yao?

Mifano iko wazi kama ifuatavyo...

Frank Domayo alitoka Yanga akiwa fomu sana akaenda Azam Fc. Kila mmoja ni shahidi juu ya kilichomkuta Domayo. Goti linamuuma mpaka kesho, na hajawahi kurudi katika ubora wake.

Mrisho Ngassa alipoihama Yanga na kwenda Azam Fc uwezo ukaisha hapohapo.

Dider Kavumbagu alipoondoka Azam Fc kutoka Yanga aliishia kuchemsha.

Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima "Fabregas" alipoihama Yanga kwa mbwembwe na kutua Simba, hakuna asiyejua kinachomsibu kiungo huyo fundi wa mpira, amekuwa mchezaji.wa kawaida sana.

Yanga punguzeni misumari, msiwabanie wachezaji, wenzenu wanatafuta maisha
Wala hakuna uchawi wowote, Msuva, Harieth Makambo walitoka Yanga na wanaendelea vizuri, bila kumsahau Nonda Shaaban Papii aliyetoka Yanga akakipiga mpaka Monaco.
 
Je Yanga ni wachawi? Je huwa wanatoa laana kwa wachezaji wanaohama klabu yao?

Mifano iko wazi kama ifuatavyo...

Frank Domayo alitoka Yanga akiwa fomu sana akaenda Azam Fc. Kila mmoja ni shahidi juu ya kilichomkuta Domayo. Goti linamuuma mpaka kesho, na hajawahi kurudi katika ubora wake.

Mrisho Ngassa alipoihama Yanga na kwenda Azam Fc uwezo ukaisha hapohapo.

Dider Kavumbagu alipoondoka Azam Fc kutoka Yanga aliishia kuchemsha.

Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima "Fabregas" alipoihama Yanga kwa mbwembwe na kutua Simba, hakuna asiyejua kinachomsibu kiungo huyo fundi wa mpira, amekuwa mchezaji.wa kawaida sana.

Yanga punguzeni misumari, msiwabanie wachezaji, wenzenu wanatafuta maisha
Mbn Makapu hajachemsha na Kaenda ndani ya 2 months kachukua Ndoo Zambia?..
Gadiel Michael na Ajib Migomba mbn wanakipig na wameshachukua ndoo nyng mno na wana maisha ..magar mijengo madem etc au unazungumzia mafanikio yapi
 
Amri Kiemba timu aliyochezea mda mrefu ni Simba.
Amri, alitoka Simba akaenda Yanga Akacheza mwaka mmoja, akarudi Simba.
Labda umepoteza kumbukumbu.
Wewe ndio hauna kumbukumbu Kiemba alianzia yanga kabla ya kwenda timu nyongine na kusajiliwa simba
 
Mbona hamumsemi Dilunga alichemsha yanga lakini yuko Simba anang'ara kuliko alipokuwa yanga au Nchimbi alipokuwa polisi na sasa yanga
 
Mashabiki wa Yanga huwa wanajua sana kuwapenda wachezaji wao huwa wavumilivu sana kwa wachezaji wao, Sasa akihama kwa kejeli nahisi huwa kama Kuna laana flani hivi wanampa
Mpaka kwa vilabu vikubwa ni Simba na Azam pekee ndiyo zina wachezaji ambao walau wamedum klabuni hapa kwa misimu mitano na kuendelea.

Yanga mnawapenda vipi wachezaji wenu ambao hawadumu zaidi ya misimu mitatu ?
 
Back
Top Bottom