Kwanini Membe alazimishwe kumsamehe Musiba wakati maaskofu hao walikaa kimya Musiba alipomtukana Membe?

Kwani kuna mwenye kuishi milele? Au kumsamehe msiba kungempa guarantee ya kuishi. Mbona takataka yenu iliondoka?
Amsamehe musiba kwa kosa gani alilo fanya acha upumbavu wa kunusa chypiii za wanawake ...zuzu wa head mkubwa ww
 
Huyu kachero kajifia kirahisi sana
 
Perhaps was his last chance Ila akakaza fuvu
 
Mkuu relax..!
Huu ni ukumbi wa hoja kujibiwa kwa hoja. Matusi hayaongezi uzito wa comment yako bali yanakuondolea weledi.
Shangilia wewe boya wacha ufala [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji117][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1787][emoji95][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji125][emoji125][emoji91][emoji95][emoji95][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
 
Mmemponza!
 
Watoto wa mjini (Mafia)hawajawahi kushindwa kitu.

Walitakalo huwa,ile timu moja haina Dola zaidi ya uchawi,timu nyingine na Dola na uchawi,ukishindwa kusamehe revenge,tutasoma Tanzia mpaka tuseme poo
 
Watoto wa mjini (Mafia)hawajawahi kushindwa kitu.

Walitakalo huwa,ile timu moja haina Dola zaidi ya uchawi,timu nyingine na Dola na uchawi,ukishindwa kusamehe revenge,tutasoma Tanzia mpaka tuseme poo
Nilijua tuu utaibuka , hatuna cha kupoteza Sisi , cha msingi anayekatiza mbele yetu huyo ni Halali yetu
 
Watoto wa mjini (Mafia)hawajawahi kushindwa kitu.

Walitakalo huwa,ile timu moja haina Dola zaidi ya uchawi,timu nyingine na Dola na uchawi,ukishindwa kusamehe revenge,tutasoma Tanzia mpaka tuseme poo
Huijui Gamboshi wewe!! Kwanza wewe ulileta uzi huu kesho saa 7.39 mchana unafariki!!!

Sasa hao watakofuatia mtakutana nao motoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…